WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
mbona poa tu kwani hapo tatizo nini?jimama lenyewe linaita kinoma hata mimi ningekubali,kuliko ufe njaa na hawa vicheche wetu wa uswazi wakuongezee presha juu yanini unaenda kwa jimama unakula full kipupwe,maraha na kila kitu maisha yenyewe yako wapi?ukizingatia hiyo kenya yenyewe mademu wote wanaangalia chapaa,huna kitu hupati demu wa maana nakwambia,mayanki wangapi hapo bongo mademu zao machangu kabisa wakuuza billz,ambiance,bistro,lakini wako nao na wanaishi nao kabisa demu anaenda kiwanja jamaa anashinda skani anacheza pool demu akipata mchati akimuonga dola mia au 50 baada ya kushughulikiwa ipasavyo anarudi kwa jamaa yake na wanapika wanakula wanapumzika na jioni mama anaenda tena kazini,ikiwezekana jamaa anamsindikiza kabisa.yote maisha
Haya siyo maisha ndugu yangu! Huku ni kujidanganya tu.
Huyu mama kuoana na kijana ni tofauti na kijana anayejua mwanamke anajiuza ila kwa vile anataka dezo basi yuko radhi! Shame!