JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama ya Wilaya ya Iringa, inadaiwa Magoda aliyekuwa akiishi jirani na mtoto huyo, alimbaka Mei 20, 2021 saa moja usiku wakati mama mtoto akiwa ametoka.
Mara baada ya mama kurejea, mtoto akamueleza mama yake na taratibu za kumkamata zikafanyika. Akiwa Mahakamani alipewa nafasi ya kujitetea lakini Magoda hakusema lolote.