U ujuguhapa Member Jul 28, 2020 30 36 Jul 31, 2020 #1 Habari mabibi na mabwana, Nahitaji kijana wa kazi ya kuchoma mishikaki, kuku, (bbq) na kukaanga pia. Sifa Awe Dar es Salaam maeneo ya Mabibo au karibu Awe na nidhamu ya kazi Awe mwaminifu Mchapakazi Aliye tayari ani PM Soon project inaanza
Habari mabibi na mabwana, Nahitaji kijana wa kazi ya kuchoma mishikaki, kuku, (bbq) na kukaanga pia. Sifa Awe Dar es Salaam maeneo ya Mabibo au karibu Awe na nidhamu ya kazi Awe mwaminifu Mchapakazi Aliye tayari ani PM Soon project inaanza
cocastic JF-Expert Member Nov 30, 2019 85,590 137,257 Jul 31, 2020 #2 Wenye mnahitaji ajira mkuje huku,
nitazoea Senior Member Mar 15, 2017 195 237 Jul 31, 2020 #4 Nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi ya kuchoma chips,mishikaki na kuku,tatizo naishi Kisarawe.