kingzeddy
Senior Member
- Aug 20, 2015
- 185
- 200
Habari wanajamvi..!?
Napenda kuleta kwenu hii mada tajwa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Ni ukweli usiopingika dunia ya sasa mfumo una nataka haki sawa kwa kila jinsia. Na huu mfumo unawapa wanawake favour sana.semina za kutosha, elimu ya kujiamini,kutambua haki zako n.k
Ni wazi kabisa wanawake wa kizazi hiki wanaanza kuandaliwa mapema namna ya kijitambua na kujitegemea mwenyewe ukilinganisha na wanaume.
Mfumo dume ni jambo linalopigwa vikali na mfumo wa sasa. wanaume wengi wamekuwa wakiamini sana mfumo dume ndo unaowapa POWER.
swali : je waume wamejiandaa aje kuoa wanawake waliokuwa inspired tukilinganisha na tamaduni zetu.....?
Pia walio katika ndoa na wanawake waliokuwa inspired watusaidie tafadhali.
Karibuni tujadili
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kuleta kwenu hii mada tajwa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Ni ukweli usiopingika dunia ya sasa mfumo una nataka haki sawa kwa kila jinsia. Na huu mfumo unawapa wanawake favour sana.semina za kutosha, elimu ya kujiamini,kutambua haki zako n.k
Ni wazi kabisa wanawake wa kizazi hiki wanaanza kuandaliwa mapema namna ya kijitambua na kujitegemea mwenyewe ukilinganisha na wanaume.
Mfumo dume ni jambo linalopigwa vikali na mfumo wa sasa. wanaume wengi wamekuwa wakiamini sana mfumo dume ndo unaowapa POWER.
swali : je waume wamejiandaa aje kuoa wanawake waliokuwa inspired tukilinganisha na tamaduni zetu.....?
Pia walio katika ndoa na wanawake waliokuwa inspired watusaidie tafadhali.
Karibuni tujadili
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app