Kijana wa kiume ambae upo 30's mwanamke wa kuoa ni mwenye miaka 18-23

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Mar 25, 2020
9,737
26,693
Nyakati ambazo kwa kawaida wanaume wengi wanaoa kwa mara ya kwanza ni pale kwenye 30's, kwa sababu 20's ni kipindi ambacho mwanaume bado anajitafuta, sasa utakapoingia hapo third floor na kuona kuna haja ya kuoa, mwanamke anaekufaa ni yule mwenye miaka 18-23.

Mwanamke ambae ni agemate wako kibaiolojia amekuzidi miaka mitano, mfano wewe una miaka 31 umeoa mwanamke mwenye miaka 29 kibaolojia mwanamke huyu kakuzidi miaka mitatu. Mtu yoyote akikuambia umri ni namba tu, uyo ni muongo. Huo ni msemo wa simps na 30+ wasted women.

Vilevile mwanamke anawahi kuingia menopause. Miaka 40 tu mwanamke tayari, wakati mwanaume menopause/andropause inaenda kukuta upo 55 uko. Utaweza vumilia kupata sex mara moja kila baada ya miezi miwili?

Umepambana peke ako bila msaada wa mwanamke yoyote, maisha yamekaa kwenye mstari then go for 18-23 young women with innocence and possibly virginity. Don't settle for 30+ woman that has been overused and went through so many relationship heartbreaks which made her toxic .

Hivi utajisikiaje nikikuuzia volvo ya mwaka 95 kwa bei ambayo unaweza kupata mercedes GLC 300? iyo ndio biashara utakayoifanya kijana wa kiume ukioa mwanamke wa miaka 30+

By marrying a retired veteran you are not getting value for your money. You didn't hustle bulding your life to end up with a left-over.

Don't be a simp.
 
Uzuri we ni binadamu, Mungu ndio muamuzi wa yote
Mungu anaingiza mkono wake baada ya binadamu kufanya kile anachowajibika kukifanya, mfano una matarajio ya kuwa na watoto oa mwanamke mwenye umri mdogo ambae kizazi chake bado kipo active halafu baada ya hapo muombe Mungu akujalie watoto, sasa unaoa mwanamke wa miaka 30+ ambaye mayai yashakauka hapa ni kumpa Mungu kazi ya ziada.
 
Inauma wana ,kuoa single mother hauna uhakika na jamaa yake kama wako vizuri au laah...Pia anakuwa mzoefu sana hawezi kukupena ,moyo uko kwa mtoto ndiye tegemeo lake.
Na mtoto hauna Authority nae.. pia kuna safari za mara kwa mara Mtoto akamuone Baba ake.. au Baba amuone Mtoto wake..

Mtoto akitoka hapo hujui anaambiwa nini.. anakuona kama fala mmoja hivi
 
Nyakati ambazo kwa kawaida wanaume wengi wanaoa kwa mara ya kwanza ni pale kwenye 30's, kwa sababu 20's ni kipindi ambacho mwanaume bado anajitafuta, sasa utakapoingia hapo third floor na kuona kuna haja ya kuoa, mwanamke anaekufaa ni yule mwenye miaka 18-23.

Mwanamke ambae ni agemate wako kibaiolojia amekuzidi miaka mitano, mfano wewe una miaka 31 umeoa mwanamke mwenye miaka 29 kibaolojia mwanamke huyu kakuzidi miaka mitatu. Mtu yoyote akikuambia umri ni namba tu, uyo ni muongo. Huo ni msemo wa simps na 30+ wasted women.

Vilevile mwanamke anawahi kuingia menopause. Miaka 40 tu mwanamke tayari, wakati mwanaume menopause inaenda kukuta upo 55 uko. Utaweza vumilia kupata sex mara moja kila baada ya miezi miwili?

Umepambana peke ako bila msaada wa mwanamke yoyote, maisha yamekaa kwenye mstari then go for 18-23 young women with innocence and possibly virginity. Don't settle for 30+ woman that has been overused and went through so many relationship heartbreaks which made her toxic .

Hivi utajisikiaje nikikuuzia volvo ya mwaka 95 kwa bei ambayo unaweza kupata mercedes GLC 300? iyo ndio biashara utakayoifanya kijana wa kiume ukioa mwanamke wa miaka 30+

By marrying a retired veteran you are not getting value for your money. You didn't hustle bulding your life to end up with a left-over.

Don't be a simp.
Hii kali kumbe wanaume siku hizi wanaingia menopause?
 
Mungu anaingiza mkono wake baada ya binadamu kufanya kile anachowajibika kukifanya, mfano una matarajio ya kuwa na watoto oa mwanamke mwenye umri mdogo ambae kizazi chake bado kipo active halafu baada ya hapo muombe Mungu akujalie watoto, sasa unaoa mwanamke wa miaka 30+ ambaye mayai yashakauka hapa ni kumpa Mungu kazi ya ziada.
Hii biology yal
Nyakati ambazo kwa kawaida wanaume wengi wanaoa kwa mara ya kwanza ni pale kwenye 30's, kwa sababu 20's ni kipindi ambacho mwanaume bado anajitafuta, sasa utakapoingia hapo third floor na kuona kuna haja ya kuoa, mwanamke anaekufaa ni yule mwenye miaka 18-23.

Mwanamke ambae ni agemate wako kibaiolojia amekuzidi miaka mitano, mfano wewe una miaka 31 umeoa mwanamke mwenye miaka 29 kibaolojia mwanamke huyu kakuzidi miaka mitatu. Mtu yoyote akikuambia umri ni namba tu, uyo ni muongo. Huo ni msemo wa simps na 30+ wasted women.

Vilevile mwanamke anawahi kuingia menopause. Miaka 40 tu mwanamke tayari, wakati mwanaume menopause inaenda kukuta upo 55 uko. Utaweza vumilia kupata sex mara moja kila baada ya miezi miwili?

Umepambana peke ako bila msaada wa mwanamke yoyote, maisha yamekaa kwenye mstari then go for 18-23 young women with innocence and possibly virginity. Don't settle for 30+ woman that has been overused and went through so many relationship heartbreaks which made her toxic .

Hivi utajisikiaje nikikuuzia volvo ya mwaka 95 kwa bei ambayo unaweza kupata mercedes GLC 300? iyo ndio biashara utakayoifanya kijana wa kiume ukioa mwanamke wa miaka 30+

By marrying a retired veteran you are not getting value for your money. You didn't hustle bulding your life to end up with a left-over.

Don't be a simp.
Sema usisahau kuwa na nguvu za kiume na kiuchumi maana muda huo huyo demu anakuwa anataka kula ujana wakati huo wewe unataka kuacha kula ujana ujenge uchumi
 
Back
Top Bottom