Rita Warobi
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 343
- 574
Haha ila kuna watu mna masihara jamaniMmmh Mara nne?
BASHITE WA Zimbabwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha ila kuna watu mna masihara jamaniMmmh Mara nne?
BASHITE WA Zimbabwe
Yule ni afisa mitihani.hahahahahaahmu kukamata watu wanaofanyiana mtihani ni kawaida (wako vizuri kwenye kufatilia) SOB Kuna mzee mmoja (prof.) anavaa miwani yenye lenzi mbili nae balaaa
yote tisa kumi yupo mzee flani huwa anavaa suti na huonekana siku ya mitihani tu hahahahha yule mzee ajawahi toka kapa kwenye kukamata wale wanao piga chabo, wazee wa migi, kufanyiana mitihani
ninesoma hadi namaliza yule mzee sijawahi mfahamu ni nani (kwa jina na kazi)
hahahahahahahha, sikutaka kukisema chuo changu hadharani, hahahahaahhmbona ulidai si mzumbe chiki?
haha, pole sana chiki,hahahahahahahha, sikutaka kukisema chuo changu hadharani, hahahahaahh
Mmmh Mara nne?
BASHITE WA Zimbabwe
mmmh! labda ndio mie,hahahahahaahhahaha, pole sana chiki,
nilikuwa na mrembo wangu huku aliitwa jina kama lako..
njoo inbox basi tuambiane ya moyoni lolmmmh! labda ndio mie,hahahahahaahha
hahahahahaahnjoo inbox basi tuambiane ya moyoni lol
Wameendana huon hata bwana sura kavukademu kenyewe hako? Hata kwa dawa.... kabovu
Mjomba wewe kama una mla Beyonce ni wewe mimi mwenyewe na demu kama huyo unamwita mbovukademu kenyewe hako? Hata kwa dawa.... kabovu
mkuu umenena vema sanaaaaaKwani lazima kuajiriwa?
Hakuna mashamba huko?
Ni mtu wa quaity assuarance...kaz ni kuhakikisha mitihan imetungwa standard na no cheating at allYule ni afisa mitihani.hahahahahaah
yule bwana yuko vizuri sana kwenye ukamataji, ila kuna siku demu wa law mwaka wa 2 (2013 iyo nah kabla aijaitwa sijui jina gani) aliwatoa jasho.Ni mtu wa quaity assuarance...kaz ni kuhakikisha mitihan imetungwa standard na no cheating at all
wewe ujasoma pale itakuwa ulikuwa una hadithiwa tu, maana umesema ulisomea hotel management pale hamna iyo.hahahahahahahha, sikutaka kukisema chuo changu hadharani, hahahahaahh
Unashangaa sisimizi kumuangusha tembo? Sio udogo wa kiungoHivi hako kakiungo kenu mbona kanaiyumbisha dunia hivi!!??