BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,040
- 10,459
Nikiwa mmoja wa vijana wa karne hii (21st century) nalipanda jukwaa la JamiiForums ili kupata jawabu na ufafanuzi unaoweza kunibadilisha kifikra na kimatendo katika hali chanya na yenye tija zaidi.
Vijana tumekuwa na kasumba ya kujikubali na kuwaona wale wanaoenda kinyume na tabia tunazozikubali kuwa ni washamba (wakuja) na sio vijana wanaoenda na trend (sio wa kisasa) so kijana wa kisasa ni yupi?
1. Yule anayenyoa kiduku na kuvaa vipusa na modo huku akiwa na mahusiano na mabinti zaidi ya watano.
2. Anayevuta bangi, mirungi na kunywa pombe huku akijisifia kuwa yeye ni hustler (Thug life)
3. Au ni yule mwenye followers wengi kwenye mitandao ya kijamii ambaye anajua habari A-Z za watu maarufu mjini.
4. Labda ni huyu mwenye degree ya UDOM ambaye ana laptop yenye Movies na Series kibao huku akichagua kazi kwa madai zinashusha status yake.
5. Nahisi anaweza kuwa huyu ambaye anakula vumbi la Congo huku akitegemea kulishwa na kulelewa na wamama wa town.
6. Vipi kwa huyu anayeshinda kanisani kuomba ambaye ni kiongozi wa kwaya.
7. Atakuwa ni huyu anayejihusisha na siasa za kumsifia mkulu stone na kumponda Freehuman.
Natamani kuwa kijana wa kisasa tatizo ni kuwa sijui kijana wa kisasa ni yupi.
Vijana tumekuwa na kasumba ya kujikubali na kuwaona wale wanaoenda kinyume na tabia tunazozikubali kuwa ni washamba (wakuja) na sio vijana wanaoenda na trend (sio wa kisasa) so kijana wa kisasa ni yupi?
1. Yule anayenyoa kiduku na kuvaa vipusa na modo huku akiwa na mahusiano na mabinti zaidi ya watano.
2. Anayevuta bangi, mirungi na kunywa pombe huku akijisifia kuwa yeye ni hustler (Thug life)
3. Au ni yule mwenye followers wengi kwenye mitandao ya kijamii ambaye anajua habari A-Z za watu maarufu mjini.
4. Labda ni huyu mwenye degree ya UDOM ambaye ana laptop yenye Movies na Series kibao huku akichagua kazi kwa madai zinashusha status yake.
5. Nahisi anaweza kuwa huyu ambaye anakula vumbi la Congo huku akitegemea kulishwa na kulelewa na wamama wa town.
6. Vipi kwa huyu anayeshinda kanisani kuomba ambaye ni kiongozi wa kwaya.
7. Atakuwa ni huyu anayejihusisha na siasa za kumsifia mkulu stone na kumponda Freehuman.
Natamani kuwa kijana wa kisasa tatizo ni kuwa sijui kijana wa kisasa ni yupi.