Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Sijaandika huu uzi kwa lengo la kumkebehi mtu,
Dar kuna mifereji na mito mingi ambayo ikinyesha mvua kubwa kiasi tu inafunga mawasiliano kati ya watu wa huku na kule kwa dk kadhaa.
Unajitega unavusha masharobaro kwa jero, buku mpaka mia mbili. Usiache kichwa.
Jioni ukiingia mfukoni una 20.
Pesa ya kununulia bando na chai katika harakati za kusaka ajira.
Mimi leo nimevushwa kwa jero.
Dar kuna mifereji na mito mingi ambayo ikinyesha mvua kubwa kiasi tu inafunga mawasiliano kati ya watu wa huku na kule kwa dk kadhaa.
Unajitega unavusha masharobaro kwa jero, buku mpaka mia mbili. Usiache kichwa.
Jioni ukiingia mfukoni una 20.
Pesa ya kununulia bando na chai katika harakati za kusaka ajira.
Mimi leo nimevushwa kwa jero.