britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
- Thread starter
- #41
KabisaVery interesting, na haya wengi wetu huyapuuza
KabisaVery interesting, na haya wengi wetu huyapuuza
Ni wazo zuri tatizo wengi hawana cha kuridhisha wana hali duni mno!!! Hebu fikiria vijana wengi up to 35 bado ni tegemezi ataridhisha nn!??Very interesting, na haya wengi wetu huyapuuza
Very interesting, na haya wengi wetu huyapuuza
Ya mengi hukuyaonamtaalam Britannica.
kwa kweli Mimi siwezi.
yaani niwarithishe watu kabla sijafa?
HAPANA.
acha nife ndo wagawane.Mimi muislam.
sharia ya miradhi ya kiislam ndo itatumika.
Ya mengi hukuyaona