REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,449
- 9,372
Habari zenu wapendwa
Leo naitaji wambia vijana ambao bado hawajaoa ila wanampango wa kuoa, nasema haya kutokana na uzoefu na changamoto tunazokutana nazo katika maisha ya kila siku
Ukiwa wewe ni kijana ambaye bado ujaoa na unampango wa kuoa basi kama huna mipango ya kujenga basi waza kupanga nyumba nzima ili ukija uishi wewe na familia yako tu pasipo mwingiliano na wapangaji wengine
Kwanini nasema hivi nyumba za kupanga na wapangaji wengine zinachangamoto kubwa sana , tena ukiwa na watoto ndio balaa
Mtoto ataitaji kucheza kuwa huru kwakua mtoto basi kwenda vyumba vya jirani ni suala la kufikia tu, hivyo kama jirani apendi watoti nk utakwazika kwa mwanao kupigwa, kufokewa fokewa nk
Ukipanga nyumba ambayo wengine si wana ndoa tatizo napo vimaneno maneno kibao utasikia hata ukipuuzia ipo siku utakwazika utapiga mtu.
Leo naitaji wambia vijana ambao bado hawajaoa ila wanampango wa kuoa, nasema haya kutokana na uzoefu na changamoto tunazokutana nazo katika maisha ya kila siku
Ukiwa wewe ni kijana ambaye bado ujaoa na unampango wa kuoa basi kama huna mipango ya kujenga basi waza kupanga nyumba nzima ili ukija uishi wewe na familia yako tu pasipo mwingiliano na wapangaji wengine
Kwanini nasema hivi nyumba za kupanga na wapangaji wengine zinachangamoto kubwa sana , tena ukiwa na watoto ndio balaa
Mtoto ataitaji kucheza kuwa huru kwakua mtoto basi kwenda vyumba vya jirani ni suala la kufikia tu, hivyo kama jirani apendi watoti nk utakwazika kwa mwanao kupigwa, kufokewa fokewa nk
Ukipanga nyumba ambayo wengine si wana ndoa tatizo napo vimaneno maneno kibao utasikia hata ukipuuzia ipo siku utakwazika utapiga mtu.