Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,834
Maisha sio magumu kihivyo ila sisi tunatafuta pesa kwa jasho bila kutumia akili. Huyu jamaa yupo morogoro road yeye asubuhi huwa anauza magazeti magomeni kuanzia mwembechai hadi mapipa yani yale magazeti anakuwa ameyashika mkononi halafu yupo barabarani kwenye foleni za magari akiwauzia watu wa magari na makonda wa dalalada.
Ninachokujaga kucheka zaidi ni pale ambapo mtu kachukua gazeti halafu mataa yakaruhusu magari jamaa huwa anakimbizia Gari kufuata pesa yake hadi huruma dah , anajichosha sana halafu mbaya zaidi dalalada hawampi pesa mda huo mpaka jioni. Pesa haiko serious kiasi hicho.
Ninachokujaga kucheka zaidi ni pale ambapo mtu kachukua gazeti halafu mataa yakaruhusu magari jamaa huwa anakimbizia Gari kufuata pesa yake hadi huruma dah , anajichosha sana halafu mbaya zaidi dalalada hawampi pesa mda huo mpaka jioni. Pesa haiko serious kiasi hicho.