Kijana unayehangaika kutafuta mchongo wa kufanya pitia hapa, utakuja kunishukuru

Wangejibu wao sasa sio wew,, mmmh kaka kama kweli una nia ya kutusaidia tusaidiee tuu maana naona kama ni connection hewa hii
ww ndio umeniita baba wawili? mbona kama umetumia msemo wa ke nikajua pengine ke ila sory am kiding,,,, go pm mekujibu
 
Shukrani sana mkuu kwa maarifa haya.....

Jamaa anasema umemroga tatizo ni starehe zake(kuchafua meza).....

Nakumbuka niliwahi kukaa kwenye goli moja la kaka yangu itoshe kusema wafanyabiashara wenye nidhamu wanamaono .....
 
UmemalIzia vyMa mwishoni anyway natoa summary ya yote hapa

-N kijana aliepambana
-aliekuza faida yake kidogo kidogo
-anajivunia ktk kujiajiri
-mfuate Dm akupe list ya bidhaa za kuuza ambazo faida ni kubwa
-ye alipewa mchongo bure nae kaamua kuutoa bure

Hakupewa bure
 
Habari wakuu,

Nimekaa na mada hii ni takribani miaka miwili kila nikianza kuandika uzi hapa najikuta naufuta na kwenda kwenye jukwaa cha chitchati na mahusiano kuandika stori za kusadikika, Ila sio kwamba huwa nashindwa kuandika lah hasha, huwa nashindwa kutoa connection bure bila malipo, Connection ambayo ilipaswa niitoe kwa galama kubwa, kama mnavyopewa connection za ajira, ila connection hii hapa ni zaidi ya ajira maana kufanikiwa ni 100% kwa atakaeifanya kwa malengo, na ninarudia tena HII ITAKUFANIKISHIA NDOTO ZAKO KAMA UKIIFANYA KWA MALENGO,

Kwanza kabla ya yote natoa angalizo kuwa uzi huu utakuwa mrefu sana, ili wale wanaopenda shortcut wapite kushoto tubaki na wanaoamini katika maisha hakuna mkato, ili wapate kusoma uzi huu hatua kwa hatua na waelewe

Ndani ya uzi huu kutakuwa na falsafa mbalimbali ambazo ingefaa kwa yeyote atakaechukua maamzi yampasa azifuate ili afanikiwe, Pia nawatahadharisha kuwa hakuna shortcut katika maisha na hakuna mafanikio ya urahisi.

Pia hakuna Dunia ya wasomi wala maisha ya wasomi kwa maana hiyo namaanisha hata ukisoma ukapata madegree 300 mwisho wa siku hautapata dunia yako peke yako bali maisha utakayoishi ni hayahaya ya jamii ambayo wanaishi akina Pwagu na Pwaguzi ambao hata darasa la kwanza hawakuingia na michongo mtakayofanya ni hii hii tu ambayo na hao akina Pwagu wanafanya ila tungetegemea kuona elimu yako inakupa uziada yaani ujitofautishe kidogo kwa maana kwamba ufanye kazi hizohizo wanazofanya wao ila wewe uweke uziada wa elimu yako kujitofautisha na wao na hapo wataona vumbi tu hakuna atakaekuwa karibu na wewe kimafanikio niaminini mafanikio sio uchawi japokuwa pia sikatai kuwa hakuna mafanikio ya uchawi, ila swali ni kwanini uroge na huku pesa ipo ukipata connection nzuri?

Yaani hilo la kuroga inatakiwa uliweke last periolity kuwa umepambana kwa kila njia umeshindwa hapo kama ni kuroga karoge bro Umasikini ni laana, Umasikini ni wakukimbiwa na kuogopwa, hata kabla hujaogopa simba na wanyama wote wa kutisha cha kwanza ogopa Umasikini bro, nakuruhusu karoge kama ukishindwa kabisa kwa kila namna kama unaamini mafanikio yapo katika uchawi basi roga boss wangu mara kumi kutembea mtaani uchi badae ukivaa nguo upate pesa ya kutosha kuliko kutembea uchi na kishinda njaa kisa hauna hela ya mavazi na chakula ukiona mtu anakuambia kuwa bora yeye na umasikini wake ila anaishi kwa amani mhurumie maana hajui alinenalo wala atendayo hakuna masikini wenye amani dunia hii.

Tuendelee na kipengere cha Connection ila kabla ya connection yenyewe napenda kuwafumbua macho kwa wasiojua kuwa
KUNA BIASHARA NA KUNA MICHONGO YA HELA. Yaani kuna biashara na kuna michongo ya hela, hivi ni vitu viwili tofauti na havifanani kabisa, na moja ya tofauti zilizopo kati ya hivi vitu ni kwamba Biashara zipo wazi sana yaani biashara zipo katika kila kichwa cha mtu, ila michongo ya hela imejificha na sio rahisi sana mtu kuwazia kuwa kupitia hio shughuli atapata pesa nzuri.

Pia biashara haihitaji connection maana kila mtu anaona na anamawazo ya biashara ila michongo ya hela lazima connection maana watu wengi hawawazii shughuli hizo, Biashara ni rahisi kuheshimisha mtu katika jamii hata kama anaugulia maumivu ya hasara lakini jamii itamuona shujaa hadi siku atakayofunga biashara baada ya kufiriska kwa kukosa masirahi ila michongo ya hela haiheshimishi mhusika hadi atakapofanya makubwa katika jamii ndio watashtuka na watakuwa washachelewa na huishia kusema ameroga, Utofauti wa mwisho ni kwamba biashara hukabiliwa na changamoto za macho ya husda na wivu ila michongo ya pesa haikabiliwi na macho ya husda na wivu maana wenye husda wenyewe wanaweza kuwa side ya kukuombea ufanikiwe au kukuhurumia, nadhani hapa mtanielewa vizuri mkiendelea na huu uzi.

Hapa tuendelee na mada yetu ila kwa sasa turudi kwanza kwenye wasfu binafsi wa mtoa uzi.

Yaani lengo langu ni kuwakera wapenda shotcuts ili wasiendelee na uzi maana watu wa aina hii wavivu wa kusoma ndio haohao wavivu wa kufikiria na ndio wepesi wa kuropoka na kuongea vitu pasipo reference sasa dawa yao ni ndogo tu ni kwenda nao route ndefu wakipumua wakiishiwa pumzi njiani ndio ushindi wenyewe tunatangazwa wanabaki hukohuko sisi tunalisongesha mbele, Mpambanaji hachoki sasa wewe unachokaje kirahisi hivyo bro!

OK tuendelee, Miaka kadhaa nilichaguliwa kusoma chuo kikuu maarufu sana hapa Bongoland kozi Ilikuwa inaitwa BACHELOR OF ARTS IN KISWAHILI LITERATURE kama sikosei maana hiyo kozi yenyewe nimeandika kizungu na kama mlivyoona kozi yenyewe ni ya waswahili kwa hiyo kama nimekosea uandishi turekebishane kwa wema kama na mimi nilivyodhamiria kuandika kwa wema, Kozi zipo nyingi bwana mkiona wadogo zenu wanasoma vyuo vikuu mjue kuwa huko kuna masomo mengi sana.

Ila kibarua binafsi wasomi wa kozi hiyo ukiwauliza wamesomea nini kwa maana ya kazi gani wakiwa pamoja wawili lazima kila mtu atakupa majibu kulingana na mtazamo wake binafsi, yaani ninavyodhani ni miongoni mwa kozi ambazo wasomi wake kila mtu anajua alichokisomea kwa mtazamo wake binafsi, japokuwa kozi kama hizi zipo nyingi sana pale UDSM.

Mwanzoni kipindi nalipoti nilijua naenda kusomea ualimu wa kiswahili ila kufika huko mambo yalibadilika kumbe nilikuwa nimeingia cha kike ila sikujilaumu sana maana tulikuwa wengi kwa hiyo kwa kipindi kile tulikuwa tunatiana mioyo kuwa tukisoma Masters na kuendelea tutakuja kwenda ulaya kufundisha kiswahili huko, ila hizi zilikuwa akili za kitoto maana kila mtu alikuwa anajua tunasema vile kwa sababu ya nguvu ya mkopo, Tulijua na mastars tutapata mkopo.anyway tuachane na hayo yashapita.

Tulikula msuli miaka kama miwili yaani ile funika funua sup zinakuja tunarudi tunazichomoa kama kawaida maisha ya chuo ni kukamiana sup ni kawaida sana kwa mwanachuo hasa sisi tuliokuwa mabishoo, Pia hapa niwapongeze ndugu zangu wasukuma wako vizuri sana kwa kweli huwa sio wepesi kusarrenda yaani mpe hata sup hata 5 kikubwa tu asiwe na bellow GPA ujue hizo sup zote zimeumia yaani akirudi anazichomoa zote anarudi piruu piruru kabisa anabaki anasubiria module za next semista, Heshima yenu ndugu zetu wasukuma. Tumekimbiza module hadi ikafika mwaka wa pili tunatakiwa kwenda fild au elimu ya vitendo, ila kabla twende mbali kote naomba niwarejeshe nyuma kidogo kuna kitu nimekisahau hapa.

Nakumbuka mwaka wa kwanza tu nikawa nimemtundika mimba mtoto wawatu, mda tumerudi rikizo ya mwaka wa kwanza kujiandaa kurudi mwaka wa pili Binti alirudi kwao na zygote kama miezi mitatu hivi ile tapikatapika alikumbana nayo akiwa rikizo kwao japokuwa yeye alikuwa kozi tofauti na mimi kwa mwaka ule alikuwa na fild huko kwao, Kibaya zaidi kumbe yule mtoto alikuwa ashafanyiwa booking kitambo kwao walishakula vya watu na kule chuoni jamaa ndie anawajibika anasomesha cha ajabu manzi karudi kwao na zygote ni balaa kwao hawamtaki na kwenda kwa jamaa manzi hataki tena kikawa kimbembe, Wanasema siku ya kufa nyani miti yote huteleza yule manzi kwa kuwa alikuwa na ile pesa ya kujikimu fild akaona isiwe noma akapanga mtaani ili amalize fild arudi zake chuo, ila matokeo yametoka manzi yupo Bellow GPA inamaana chuo kwake tena imebaki stori.

Tegemeo lake limebaki kwangu na mimi kwao na yule jamaa kanipiga kanichimba mkwara ile mbaya kasema anakuja chuo kunishtaki kwa kumpa mimba mke wake, yaani imekuwa mvurugano tupu, Manzi anadai anataka kuja hom na hom nikiangalia sina kitanda wala pakulala kuna chumba kimoja tu tena nyumba ya majani na hiko kibanda tunashare na bro zangu wawili, pili hom kuna bro wangu watatu mbele hawajaoa kiutamaduni hairuhusiwi niowe kabla ya kaka zangu, kwa hiyo ni balaa tupu kila ninapogusa pagumu, hamna unafuu, Mungu saidia kwenye matokeo nikawa nimelamba sup kama mbili hivi hii nilimshukuru mungu maana ililazimu niondoke hom mapema ili nikapige sup, hapo nikachangiwa na familia nikaondoka mwezi wa tisa kurudi chuo, kufika nikapanga chumba kwa mda kigodoro nchi mbili chini na sahani moja na kakomputor kangu over!

Nikawaza nikawazua nimemharibia maisha mtoto wawatu japokuwa kwa upande mwingine ningemlaumu kwa kuwa hakuwahi kuniambia kuwa alikuwa ana mchumba anaemsomesha, ila nilijijibu mwenyewe kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu na sikuona haja ya kuendelea kumlaumu na kumtesa, kwao wamempa option ya kutoa ile mimba aende kwa jamaa na mtoto kagoma kutoa ikafkia mda akawa analala hadi nje kwao hawamtaki na kwa jamaa hataki kwenda, japokuwa jamaa alikubali hata kulea mimba ila mwanamke ndio akawa hamtaki tena(mungu amzidishie yule mwamba kwa upendo aliokuwa nao maana kuna kipindi alikuwa ananipigia hadi analia nimemharibia familia)

Nikaona isiwe tabu nikamtumia nauli akatimba geto na maisha yakaanza kama utani ndio ikawa ndoa hivyo hadi leo tuna watoto wawili, na ni mwanamke mwema sana na mwelewa na sijawai kuona hata chembe ya usaliti kwake japo nilimpata kwa njia ya usaliti kwa mtu wake. Hapa maisha yalibadilika ubishoo ukaniisha nikawa sina furaha tena chuoni, mahudhurio yakawa hafifu kwenye disscussions nikawa sio mhudhuriaji nikakonda sana hadi watu walihisi ninaumwa kuna wana niliwapoteza kabisa kwa kuoan nimewahi maisha, ilifikia mda nikawa nalia peke yangu, ishalah wife akaja akajifungua mtoto wa kiume ndio akawa fuhaya yangu japokuwa kwa upande mwingine ndio ugumu ukaongezeka

Bum likitoka unaligawa ila kabla ya miezi miwili linakata najikuta nimekopa nakosa kula hata siku mbili na wife na kichanga, huku nyuma kwao wife mambo safi ila keshanyea kambi hawana msaada nae wala hawamtaki hom ndio hivyo hamna chochote hata ni aibu kuomba msaada kwake, Kwa kweli kipindi hiki hata nywele nilikuwa sichani wala kupiga mswaki yaani nikienda darasani naona kila mtu ananicheka nilipoteza mvuto kabisa imagine handsom wa darasa leo hii mimi ndio zoba wa darasa sina cha nguo mpya wala smartphone ilifikia mda nikawa nawatamani hadi wale waliokuwa wakinitamani zamani,

Turejee kwenye kwenda fild mwaka wa pili mwishoni, yani mda wote huo nilikuwa sina wazo la kuwazia maisha baada ya chuo kwa maana ajira bado nilikuwa nasomea kitu nisichokijua, ila walipoleta form za kujaza sehemu za kwenda kufanyia fild ndio ikawa balaa hakuna anaejua wapi twende hadi mwalimu mlezi wa darasa nae hajui baada ya majadiliano ikabidi wengine waende Mwanainchi uhariri na wengine ofisi za utamaduni japokuwa nafasi zilikuwa ngumu sana, yaani nafasi ya kwenda kufanya fild tulizipata kwa connection, na kuanzia hapo ndio nikaanza kuwaza maisha yangu nilivyojitowa kusomea kitu ambacho sijui ni kitu gani

Hapo nilienda fild ila hela ya kujikimu kipindi cha fild niliibana na fild niliomba sehem ambayo nilikaa kwa ndugu, baada ya fild ikabidi nitafte pikipiki used nilinunua pikipiki laki sita yaani ilikuwa imechoka balaa nikaipiga service nikawa naendea chuo na mida ya jioni napiga bodaboda mjini, mimi nilikuw aningia kupiga bodaboda usiku kuanzia saamoja jioni hadi saa nane usiku narud kulala na ninarudi na hela nzuri kidogo kwa kipindi kile nilikuwa naweza kuingiza elfu 30 hadi 40 dili likikaa vzuri, ukilinganisha na maisha ya awali nilianza kuona kaunafuu kidogo na tabasamu likaanza kurudi kwa mbaali.

Ila hapa sasa utoro uliongezeka chuoni maana tayari nilikuwa nishaanza kuwa na mashaka kuhusu kitu ninachohangaikia,

Nakumbuka semista ya kwanza mwaka wa tatu tulipewa test ambayo ilikuwa inahusisha makundi nimepigiwa simu na jamaa yangu nimefika watu wameshaingia kwenye chumba cha mtihani ijapokuwa sikuchelewa ila jamaa wakanikataa ambao tulikuwa nao group moja na almost wote walikuwa washikaji zangu awali na tulijuana ila wakanifanyia roho mbaya, huwa kwa utamaduni wangu sijui kubembeleza mtu na huwa naogopa sana kujishushia utu wangu kwa mtu yeyote nikaamua kuondoka mda uleule nikatoka nje nikachukua pikipiki yangu nikaondoka nyumbani na ikawa ndio mwisho wa kurudi chuo na sikutaka kufuatilia chochote, ilifikia mda hadi napigiwa simu na mkuu wa idara ameona sijafanya mtihani na matokeo yangu yapo vzuri ila sikutaka tena kuendelea (nikikumbuka hii siku naondoka huwa nalia na inaniongezea hasira mara100 ya kutafta hela)

Nikaigia mtaani rasmi kupiga bodaboda ila napo ikawa changamoto kila sehemu ninayopaki wananifukuza kwa kigezo kuwa sina kijiwe, ikabid niwe nashinda zangu hom hadi mida ya usiku ndio naingia mjini kupiga bodaboda by the way it was too risk ukizingatia miaka ile matukio ya utekaji yalikuwa mengi sana na baridi za usiku zikawa ndio ndugu na ndio maisha yangu.

To the point, hapa sasa ndio kuna point ya mhimu na kama mnakumbuka awali niliwaambia katika maisha usomi sio vyeti ila ni application maana hamna dunia ya msomi wala wasomi, hapa ninamaanisha kuwa nilivyorudi mtaani nilikuwa bdodaboda kitu ambacho hata akina pwagu na pwaguzi wanakimiliki ila nilijiongeza kupitia pikipiki nikawa naweza kuingiza faida ya laki 2 hadi tatu kwa siku moja na hii ndio connection yenyewe,,

Pia nikumbushe kuwa uaminifu ni hazina na kuongea na watu ni hazina kubwa zaidi, Nakumbuka kuna jamaa flani nilikuwa namuona anatoka na bodaboda yake asubhi na anaweza kurudi baada ya siku mbili na akirudi anaweka kikao baa then baada ya mda anatoka,
Mwonekano wa jamaa akitoka anakuwa amevaa makoti matatu au manne na rainbut na box kubwa na akirudi akakuwa mwili mzima amejaa vumbi sana, Rejea awali niliwaambia mishe za pesa huwa hazifikiriki kirahisi alafu haziheshimishi na zinafanyika kwa connection tu!

Hapa kwa kuwa nilikuwa nipo tayari kwa lolote ilibidi nimfuate yule bro nikamuuliza bro huwa nakuona na mwonekano flani unapotea kama siku mbili au tatu na unarudi na ikirudi naona unaweka kikao baa naomba nipe ramani kaka, Jamaa alicheka sana akaniambia nyie wasomi someni tu hizi kazi hauziwezi, yaani jamaa alikataa kabisa akidai kuwa sitaweza kitu, na mwishoe aliagiza nipewe bia tano akalipia na kuondoka, kwa kweli iliniuma sana maana hata bora ile hela angenipa kuliko kunifanyia kufuru kuninunulia kitu ambacho sijamuomba na kibaya zaidi situmii,

Basi bana sikuchukua zile bia nikaamua kuondoka ila sikuchoka nilifuata tena na round hii nilimfuata kwake nikiamini jamaa nitamkuta akiwa hajala vyombo (ulevi) ila napo jamaa nilimkuta bado akanichomolea, Sasa hapa ambao hamjakata tamaa ya kufuatilia uzi huu ndio mjiulize yaani mimi nawapa connection bure tena kwa maumivu ya vidole na kusugua benchi natype alafu mjinga mmoja anataka apate connection ya shortcut ya kusoma aya mbili, hahahahaha mwafwaaaa! ngoja nimalizie, jamaa nilifuata kama mara tano hivi ila nakumbuka mara ya mwisho aliniambia tafta kama laki 3 au nne alafu uje nitakuelekeza kitu cha kufanya, kwa kweli nilichanganyikiwa wazee kwanza kuangalia jamaa kapanga ana bonge la flat TV sofa na vitu kibao ndan amepanga chumba na sebure huku mimi na elimu yangu nimepanga eneo ninalipa kodi ya efu20 napo ikifika mda wa kulipa kodi tunataftana na maza haose, Huyu mama nikipata mda nitakuja kuwaelezea visa vyake siku nikiamka poa sema hapa ngoja niwapumzishe vijana wenye uchu wa kutaka kujua connection

Bahati nzuri nilikuwa na kakibubu nadumbukiza bukubuku, buku mbili sikuwa na uhakika katakuwa na shi ngapi ila nilikua hakawezi kupungua laki 2, safari ikaanza chap hadi ndani breki ya kwanza nilipokavunja nikatafta utulivu nikahesabu hela nikajikuta nilikuwa na laki3 na thelathini na saba kama sikosei, hata sikukaa wala kula nikarudi kwa jamaa hata ule ujasiri na imani sijui niliutoa wapi asee, nilifika nikamkabidhi jamaa kisha nikakaa zangu kwenye koch sebureni kwake jamaaa akazihesabu alipomaliza akataja kiwango kilekile nilichokiona mimi, kisha akaingia chumbani baada ya mda akatoka bila kunisemesha akaingiza mkono mfukon mwake akatoa burungutu la hela akahesabu kumikumi mara kumi jumla laki moja akachanganya na kile kiashi nilichokuwa nimempa akanikabidhi, mda huo mimi sielewi ni biashara gani ya kumpa mtu hela kisha akakuongezea zingine, akaniambia nihesabu tena nami nikafanya hivyo baada ya mda nikamjibu zipo laki nne na thelathini akaniambia twende, tukaongozana na jamaa hadi mjini kariakoo kwenye duka flani la mwarabu nikaona jamaa anapick vitu mbalimbali hapa sitavitaja maana vitakuwa vingi anaehitaji atakuja pm nitamtumia orodha.

kisha tukarudi jamaa akanipa mchanganuo bei alizochukulia kisha akaniambia kesho njoo

Usiku ule nimelala hata sielewi ni biashara gani tunatakiwa kufanya ila nakumbuka jamaa aliniambia kuwa amenikopesha laki moja kwa kuwa ana uhakika 100% kuwa hela yake nitairudisha maana bishara anayoenda kunifundisha haijawahi kuwa na hasara, hivyo hana wasiwasi laki yake itarudi

Asubuhi imefika jamaa ndio alikuja kuniamsha tukafunga mzigo tukaingia barabarani chocho to chocho kijiji kwa kijiji mara kwa mbali tukaliacha jiji tukaingia barabara ya vumbi tukazidi kwenda tukafika kakijiji flani jamaa kasimama tukaenda dukani jamaa akashuka akanadi bidhaa nashangaa jamaa palepale amempa jamaa bidhaa kama 10 hivi tumetoka pale na kama efu 80, tukahamia duka la pili hapa jamaa aliniprove wrong maana nilijua tutaanza kuuza kitu kimoja kimoja mfano tochi mojamoja ila woundwerfull enough jamaa alikuwa nauza kabox kazima, Pale duka la pili napo tukalamba kama 120 kwa mtu mmoja ila pale napo nikajifunza kitu kuwa jamaa ni mcheshi kuliko maelezo alafu anongea sana hadi kuna mda watu wanamchukulia hana akili vzuri pia nikaona kuna watu wananunua kwa kumuonea huruma ila wanampa hela nyingi , nilishangaa jamaa anauza bidhaa aliyoichukulia efu kumi anauza hadi elfu17 tena kwa bei ya jumla yaani bidhaa moja inatoa faida ya buku saba, hela mabayo kwa bodaboda unabeba abilia trip saba kutoka kariakoo hadi msimbazi

Tuliendelea hadi jioni tukarudi hom jamaa akaniambia hesabu bidhaa ziliozorudi nikakuta nimerudi na bidhaa zenye thamani nkama laki 2 na sabini hivi na kisha kuangalia mauzo nimeuza kama laki tano na themanini hapo napiga kuna faida kama laki na ushee na bado mzigo upo na unapesa nyingi ambayo ni faida maana hela ya kuchukulia tayari isharudi, Baada ya hapo jamaa akanirushia kijembe kilichonipa hasira zaidi kuwa endelea na bodaboda mjini maana ndio kazi za wasomi wa vyuo vikuu acha sisi makuruta tusio na shule tukomae na vumbi, Aisee nilishangaa siku nzima kuingiza laki kwa siku moja tena kwa kazi rahisi tu ya kuendesha pikipiki na kupaki dukani na kujiokotea hela alafu unaendelea next

Kesho yake nikachukua mzigo mwenyewe maana behind writting jamaa alinisomesha kila kitu na namna ya kuishi na wateja na namna ya kubuni route, Kwakeli next day nikaingia mwenyewe bila jamaa nikapiga kazi nikarudi na faida kama laki na themanini, sio mauzo namaanisha faida, kwa kuwa mawazo yangu hadi leo yalikuwa ya kulipiza kisasi kwa wale jamaa pale chuo walionidharau hadi nikaamua kuwaachia chuo chao, nikapiga kazi ndani ya week moja nikajikuta nina one milion, najua hapa mtabisha ila siwalazimishi muamini maana ni hela yangu amini za kwako wewe,

nikapambana after mwezi mmoja nilikuwa na kibunda changu smart ambacho sikuwahi kutegemea katika maisha yangu kukipata, yaani hela mabayo nilikuwa nafikilia pengine inaweza kupatikana kwa maiaka 10 et nimeipata kwa mwezi mmoja, nikasema ngoja ninunue kiwanja, kweli nikafanikiwa kununua kiwanja bado wana wapo chuo wanakomaa na shule

Mimi hasira zangu hadi leo ni kuwakomeshea tu nikasema ngoja nirundike tofari najua pengine nitashindwa kujenga ila kikubwa tu wakitoka chuo niwaoneshe kuwa ninakiwanja mjini, na mimeanza harakati za kujenga, Basi nikarundika tofari kimasihara nakijikuta nina bank ya tofari kama bukumbili blocks kwa hapa mjini tunaunua tofari moja buku la block hadi site ni buku na mia ila kwa tofari buku mbili zilichukua only wiki tatu ikawa tayari, kiuoga nikamleta fundi akanipiga bajet nikaona ngoja nianze msingi ili jamaa wakija wakute msingi niwakomeshee, mungu sio asumani ndani ya miezi mtatu nikawa nishanyanyua nyumba na kupaua kabisa, (sikulazimishi uamini) jamaa wametoka chuo tayari nakaa kwangu, ila nikajikuta najiona wa kawaida sana tofauti na nilivyodhani awali yaani nilijua nitawakomeshea ila baada ya kumaliza nikaona kama nyumba sio deal bado wataniona wa kawaida japokuwa nilijidanganya ni kweli jamaa walinipiga salute

Nikaamua kuchukua flem, nikawa kila nikiingia pori nikirudi naweka mali, baada ya mda maana pia mali za dukani sikuwa naziruhusu kutoka kwa kuwa nilikuwa natafta msingi na kutaka kuwaonesha nilivyojaza kweli kwa mda kadhaa mungu kajalia bidhaa zipo za kumwaga duka linasoma kwa sasa kama 10m na uchafu saizi linajiendesha jenyewe,

Wife ndio msimamizi wa duka na mimi nakomaa pori, cha kushangaza jamaa yangu alienipa connection nashangaa gafla kaninunia hata salamu hanipi naskia za chinichini anadai nimemroga na kumharibia kazi, japokuwa sijawahi kufikiria kuroga mtu alienitoa matopeni huwa nikiamka asubuhi hata kabla sijamsalimia wife huwa namuombea popote alipo mungu muongezee mara miambili ya alivyonavyo ila ndio hivyo tena shetani keshaamua kuingilia urafiki wangu na huyu binadamu ambae kwa namna moja au nyingine naamini ndie malaika wa mungu aliepo hapa dunuani

Japokuwa pia kweli nikiri nilishawahi kupata ushawishi wa kuroga ili nipate pesa zaidi maana mnajua binadamu tumeumbiwa tamaa ila naogopa kufikia huko maana naweza kujaribu nikamroga jamaa angu kweli na ninampenda kuliko kitu chochote kile inabidi tu nivunge

Mwaka jana hao jamaa wa kusoma kuna mtoto mmoja wa kishua alinyea kambi kampa mtoto wa kilokole mimba na familia yake swala tano, wakaamua kumtenga na jamaa ndo kafa kaoza kwa mtoto wa kirokole, akaone sio mbaya mbona wengine tunasurvive tu ile hali tuliwahi kunyea kambi, akaja mtaani nikamtia moyo pambana ila nikiwa najua huyu mshamba atakimbilia biashara na ataagukia pua, kweli week moja kafungua glocelly maana kunaballance alikuwa nayo kwa account yake kabla hajawa betrayal in the city, alivyofulia akaweka gari lake bondi kwa laki tano ili aishi, kashindwa kulitoa BREVIS namba DTX ikabidi anifuate akitaka tuliuze ikabidi nimvue Kwa 7.5 hapa nikipita mtaani jamaa walionikazia kwenye disc chuo napishana nao wanakula vumbi huko kwa heavy work za saidia fund ili wapate kula nawapigia vumbi tu, Na mnaosema ninawalingia nawaombeni mnisamehe sana hawa kenge walinisemaga sana acha na mimi niwaseme kwanza

siazi hapa pori huwa siingii mara kwa mara ila nikihitaji hela ya fasta kama kawaida jasiri haachi asiri napaki kabrevis kangu hom natupia makoti na toyo yangu naingia chimbo nikirudi nina miambili yangu safi nafanyia kazi zangu kisha the rest product naweza ofsin untill the next season, Jamaa wa kusoma hadi sasa nimewapa wawili kati yao bodaboda za mkataba kila siku buku 10 kwa miezi kumi na tatu wakimaliza tuachane nao wakajipambanie wenyewe, na mwingine mwezi huu tunakamamilisha mkataba nimpe Bajaj TVS 7.6milion mkataba miaka miwili kila siku elfu 20, nategemea kuingiza karbia 14m kupita yeye.

Kuhusu familia ya wife kuna kupindi mawasiliano yalirudi na walivyoskia ninajenga maana niliwaambia tu nimefungua kaofisi kadogo na kibanda cha kujihifadhi hawakuona deal, ila mungu mkubwa kaka ake wife kahamia kikazi hapa mjini na alipokuja hom alikuwa suprised kukuta nakaa katika kamjengo flani ivii na usafir nje umepakiwa, na mtoto wao yuko vizuri baada ya wiki moja mama mkwe alinipigia mwenyewe anaomba msamaha.

Ushauri, kazi yeyote inaweza kukufanya ufikie malengo yako ikiwa unaiheshimu na kuithamini

atakaehitaji maelezo ya hii kazi aje pm
Fupisha tafadhali
 
Habari wakuu,

Nimekaa na mada hii ni takribani miaka miwili kila nikianza kuandika uzi hapa najikuta naufuta na kwenda kwenye jukwaa cha chitchati na mahusiano kuandika stori za kusadikika, Ila sio kwamba huwa nashindwa kuandika lah hasha, huwa nashindwa kutoa connection bure bila malipo, Connection ambayo ilipaswa niitoe kwa galama kubwa, kama mnavyopewa connection za ajira, ila connection hii hapa ni zaidi ya ajira maana kufanikiwa ni 100% kwa atakaeifanya kwa malengo, na ninarudia tena HII ITAKUFANIKISHIA NDOTO ZAKO KAMA UKIIFANYA KWA MALENGO,

Kwanza kabla ya yote natoa angalizo kuwa uzi huu utakuwa mrefu sana, ili wale wanaopenda shortcut wapite kushoto tubaki na wanaoamini katika maisha hakuna mkato, ili wapate kusoma uzi huu hatua kwa hatua na waelewe

Ndani ya uzi huu kutakuwa na falsafa mbalimbali ambazo ingefaa kwa yeyote atakaechukua maamzi yampasa azifuate ili afanikiwe, Pia nawatahadharisha kuwa hakuna shortcut katika maisha na hakuna mafanikio ya urahisi.

Pia hakuna Dunia ya wasomi wala maisha ya wasomi kwa maana hiyo namaanisha hata ukisoma ukapata madegree 300 mwisho wa siku hautapata dunia yako peke yako bali maisha utakayoishi ni hayahaya ya jamii ambayo wanaishi akina Pwagu na Pwaguzi ambao hata darasa la kwanza hawakuingia na michongo mtakayofanya ni hii hii tu ambayo na hao akina Pwagu wanafanya ila tungetegemea kuona elimu yako inakupa uziada yaani ujitofautishe kidogo kwa maana kwamba ufanye kazi hizohizo wanazofanya wao ila wewe uweke uziada wa elimu yako kujitofautisha na wao na hapo wataona vumbi tu hakuna atakaekuwa karibu na wewe kimafanikio niaminini mafanikio sio uchawi japokuwa pia sikatai kuwa hakuna mafanikio ya uchawi, ila swali ni kwanini uroge na huku pesa ipo ukipata connection nzuri?

Yaani hilo la kuroga inatakiwa uliweke last periolity kuwa umepambana kwa kila njia umeshindwa hapo kama ni kuroga karoge bro Umasikini ni laana, Umasikini ni wakukimbiwa na kuogopwa, hata kabla hujaogopa simba na wanyama wote wa kutisha cha kwanza ogopa Umasikini bro, nakuruhusu karoge kama ukishindwa kabisa kwa kila namna kama unaamini mafanikio yapo katika uchawi basi roga boss wangu mara kumi kutembea mtaani uchi badae ukivaa nguo upate pesa ya kutosha kuliko kutembea uchi na kishinda njaa kisa hauna hela ya mavazi na chakula ukiona mtu anakuambia kuwa bora yeye na umasikini wake ila anaishi kwa amani mhurumie maana hajui alinenalo wala atendayo hakuna masikini wenye amani dunia hii.

Tuendelee na kipengere cha Connection ila kabla ya connection yenyewe napenda kuwafumbua macho kwa wasiojua kuwa
KUNA BIASHARA NA KUNA MICHONGO YA HELA. Yaani kuna biashara na kuna michongo ya hela, hivi ni vitu viwili tofauti na havifanani kabisa, na moja ya tofauti zilizopo kati ya hivi vitu ni kwamba Biashara zipo wazi sana yaani biashara zipo katika kila kichwa cha mtu, ila michongo ya hela imejificha na sio rahisi sana mtu kuwazia kuwa kupitia hio shughuli atapata pesa nzuri.

Pia biashara haihitaji connection maana kila mtu anaona na anamawazo ya biashara ila michongo ya hela lazima connection maana watu wengi hawawazii shughuli hizo, Biashara ni rahisi kuheshimisha mtu katika jamii hata kama anaugulia maumivu ya hasara lakini jamii itamuona shujaa hadi siku atakayofunga biashara baada ya kufiriska kwa kukosa masirahi ila michongo ya hela haiheshimishi mhusika hadi atakapofanya makubwa katika jamii ndio watashtuka na watakuwa washachelewa na huishia kusema ameroga, Utofauti wa mwisho ni kwamba biashara hukabiliwa na changamoto za macho ya husda na wivu ila michongo ya pesa haikabiliwi na macho ya husda na wivu maana wenye husda wenyewe wanaweza kuwa side ya kukuombea ufanikiwe au kukuhurumia, nadhani hapa mtanielewa vizuri mkiendelea na huu uzi.

Hapa tuendelee na mada yetu ila kwa sasa turudi kwanza kwenye wasfu binafsi wa mtoa uzi.

Yaani lengo langu ni kuwakera wapenda shotcuts ili wasiendelee na uzi maana watu wa aina hii wavivu wa kusoma ndio haohao wavivu wa kufikiria na ndio wepesi wa kuropoka na kuongea vitu pasipo reference sasa dawa yao ni ndogo tu ni kwenda nao route ndefu wakipumua wakiishiwa pumzi njiani ndio ushindi wenyewe tunatangazwa wanabaki hukohuko sisi tunalisongesha mbele, Mpambanaji hachoki sasa wewe unachokaje kirahisi hivyo bro!

OK tuendelee, Miaka kadhaa nilichaguliwa kusoma chuo kikuu maarufu sana hapa Bongoland kozi Ilikuwa inaitwa BACHELOR OF ARTS IN KISWAHILI LITERATURE kama sikosei maana hiyo kozi yenyewe nimeandika kizungu na kama mlivyoona kozi yenyewe ni ya waswahili kwa hiyo kama nimekosea uandishi turekebishane kwa wema kama na mimi nilivyodhamiria kuandika kwa wema, Kozi zipo nyingi bwana mkiona wadogo zenu wanasoma vyuo vikuu mjue kuwa huko kuna masomo mengi sana.

Ila kibarua binafsi wasomi wa kozi hiyo ukiwauliza wamesomea nini kwa maana ya kazi gani wakiwa pamoja wawili lazima kila mtu atakupa majibu kulingana na mtazamo wake binafsi, yaani ninavyodhani ni miongoni mwa kozi ambazo wasomi wake kila mtu anajua alichokisomea kwa mtazamo wake binafsi, japokuwa kozi kama hizi zipo nyingi sana pale UDSM.

Mwanzoni kipindi nalipoti nilijua naenda kusomea ualimu wa kiswahili ila kufika huko mambo yalibadilika kumbe nilikuwa nimeingia cha kike ila sikujilaumu sana maana tulikuwa wengi kwa hiyo kwa kipindi kile tulikuwa tunatiana mioyo kuwa tukisoma Masters na kuendelea tutakuja kwenda ulaya kufundisha kiswahili huko, ila hizi zilikuwa akili za kitoto maana kila mtu alikuwa anajua tunasema vile kwa sababu ya nguvu ya mkopo, Tulijua na mastars tutapata mkopo.anyway tuachane na hayo yashapita.

Tulikula msuli miaka kama miwili yaani ile funika funua sup zinakuja tunarudi tunazichomoa kama kawaida maisha ya chuo ni kukamiana sup ni kawaida sana kwa mwanachuo hasa sisi tuliokuwa mabishoo, Pia hapa niwapongeze ndugu zangu wasukuma wako vizuri sana kwa kweli huwa sio wepesi kusarrenda yaani mpe hata sup hata 5 kikubwa tu asiwe na bellow GPA ujue hizo sup zote zimeumia yaani akirudi anazichomoa zote anarudi piruu piruru kabisa anabaki anasubiria module za next semista, Heshima yenu ndugu zetu wasukuma. Tumekimbiza module hadi ikafika mwaka wa pili tunatakiwa kwenda fild au elimu ya vitendo, ila kabla twende mbali kote naomba niwarejeshe nyuma kidogo kuna kitu nimekisahau hapa.

Nakumbuka mwaka wa kwanza tu nikawa nimemtundika mimba mtoto wawatu, mda tumerudi rikizo ya mwaka wa kwanza kujiandaa kurudi mwaka wa pili Binti alirudi kwao na zygote kama miezi mitatu hivi ile tapikatapika alikumbana nayo akiwa rikizo kwao japokuwa yeye alikuwa kozi tofauti na mimi kwa mwaka ule alikuwa na fild huko kwao, Kibaya zaidi kumbe yule mtoto alikuwa ashafanyiwa booking kitambo kwao walishakula vya watu na kule chuoni jamaa ndie anawajibika anasomesha cha ajabu manzi karudi kwao na zygote ni balaa kwao hawamtaki na kwenda kwa jamaa manzi hataki tena kikawa kimbembe, Wanasema siku ya kufa nyani miti yote huteleza yule manzi kwa kuwa alikuwa na ile pesa ya kujikimu fild akaona isiwe noma akapanga mtaani ili amalize fild arudi zake chuo, ila matokeo yametoka manzi yupo Bellow GPA inamaana chuo kwake tena imebaki stori.

Tegemeo lake limebaki kwangu na mimi kwao na yule jamaa kanipiga kanichimba mkwara ile mbaya kasema anakuja chuo kunishtaki kwa kumpa mimba mke wake, yaani imekuwa mvurugano tupu, Manzi anadai anataka kuja hom na hom nikiangalia sina kitanda wala pakulala kuna chumba kimoja tu tena nyumba ya majani na hiko kibanda tunashare na bro zangu wawili, pili hom kuna bro wangu watatu mbele hawajaoa kiutamaduni hairuhusiwi niowe kabla ya kaka zangu, kwa hiyo ni balaa tupu kila ninapogusa pagumu, hamna unafuu, Mungu saidia kwenye matokeo nikawa nimelamba sup kama mbili hivi hii nilimshukuru mungu maana ililazimu niondoke hom mapema ili nikapige sup, hapo nikachangiwa na familia nikaondoka mwezi wa tisa kurudi chuo, kufika nikapanga chumba kwa mda kigodoro nchi mbili chini na sahani moja na kakomputor kangu over!

Nikawaza nikawazua nimemharibia maisha mtoto wawatu japokuwa kwa upande mwingine ningemlaumu kwa kuwa hakuwahi kuniambia kuwa alikuwa ana mchumba anaemsomesha, ila nilijijibu mwenyewe kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu na sikuona haja ya kuendelea kumlaumu na kumtesa, kwao wamempa option ya kutoa ile mimba aende kwa jamaa na mtoto kagoma kutoa ikafkia mda akawa analala hadi nje kwao hawamtaki na kwa jamaa hataki kwenda, japokuwa jamaa alikubali hata kulea mimba ila mwanamke ndio akawa hamtaki tena(mungu amzidishie yule mwamba kwa upendo aliokuwa nao maana kuna kipindi alikuwa ananipigia hadi analia nimemharibia familia)

Nikaona isiwe tabu nikamtumia nauli akatimba geto na maisha yakaanza kama utani ndio ikawa ndoa hivyo hadi leo tuna watoto wawili, na ni mwanamke mwema sana na mwelewa na sijawai kuona hata chembe ya usaliti kwake japo nilimpata kwa njia ya usaliti kwa mtu wake. Hapa maisha yalibadilika ubishoo ukaniisha nikawa sina furaha tena chuoni, mahudhurio yakawa hafifu kwenye disscussions nikawa sio mhudhuriaji nikakonda sana hadi watu walihisi ninaumwa kuna wana niliwapoteza kabisa kwa kuoan nimewahi maisha, ilifikia mda nikawa nalia peke yangu, ishalah wife akaja akajifungua mtoto wa kiume ndio akawa fuhaya yangu japokuwa kwa upande mwingine ndio ugumu ukaongezeka

Bum likitoka unaligawa ila kabla ya miezi miwili linakata najikuta nimekopa nakosa kula hata siku mbili na wife na kichanga, huku nyuma kwao wife mambo safi ila keshanyea kambi hawana msaada nae wala hawamtaki hom ndio hivyo hamna chochote hata ni aibu kuomba msaada kwake, Kwa kweli kipindi hiki hata nywele nilikuwa sichani wala kupiga mswaki yaani nikienda darasani naona kila mtu ananicheka nilipoteza mvuto kabisa imagine handsom wa darasa leo hii mimi ndio zoba wa darasa sina cha nguo mpya wala smartphone ilifikia mda nikawa nawatamani hadi wale waliokuwa wakinitamani zamani,

Turejee kwenye kwenda fild mwaka wa pili mwishoni, yani mda wote huo nilikuwa sina wazo la kuwazia maisha baada ya chuo kwa maana ajira bado nilikuwa nasomea kitu nisichokijua, ila walipoleta form za kujaza sehemu za kwenda kufanyia fild ndio ikawa balaa hakuna anaejua wapi twende hadi mwalimu mlezi wa darasa nae hajui baada ya majadiliano ikabidi wengine waende Mwanainchi uhariri na wengine ofisi za utamaduni japokuwa nafasi zilikuwa ngumu sana, yaani nafasi ya kwenda kufanya fild tulizipata kwa connection, na kuanzia hapo ndio nikaanza kuwaza maisha yangu nilivyojitowa kusomea kitu ambacho sijui ni kitu gani

Hapo nilienda fild ila hela ya kujikimu kipindi cha fild niliibana na fild niliomba sehem ambayo nilikaa kwa ndugu, baada ya fild ikabidi nitafte pikipiki used nilinunua pikipiki laki sita yaani ilikuwa imechoka balaa nikaipiga service nikawa naendea chuo na mida ya jioni napiga bodaboda mjini, mimi nilikuw aningia kupiga bodaboda usiku kuanzia saamoja jioni hadi saa nane usiku narud kulala na ninarudi na hela nzuri kidogo kwa kipindi kile nilikuwa naweza kuingiza elfu 30 hadi 40 dili likikaa vzuri, ukilinganisha na maisha ya awali nilianza kuona kaunafuu kidogo na tabasamu likaanza kurudi kwa mbaali.

Ila hapa sasa utoro uliongezeka chuoni maana tayari nilikuwa nishaanza kuwa na mashaka kuhusu kitu ninachohangaikia,

Nakumbuka semista ya kwanza mwaka wa tatu tulipewa test ambayo ilikuwa inahusisha makundi nimepigiwa simu na jamaa yangu nimefika watu wameshaingia kwenye chumba cha mtihani ijapokuwa sikuchelewa ila jamaa wakanikataa ambao tulikuwa nao group moja na almost wote walikuwa washikaji zangu awali na tulijuana ila wakanifanyia roho mbaya, huwa kwa utamaduni wangu sijui kubembeleza mtu na huwa naogopa sana kujishushia utu wangu kwa mtu yeyote nikaamua kuondoka mda uleule nikatoka nje nikachukua pikipiki yangu nikaondoka nyumbani na ikawa ndio mwisho wa kurudi chuo na sikutaka kufuatilia chochote, ilifikia mda hadi napigiwa simu na mkuu wa idara ameona sijafanya mtihani na matokeo yangu yapo vzuri ila sikutaka tena kuendelea (nikikumbuka hii siku naondoka huwa nalia na inaniongezea hasira mara100 ya kutafta hela)

Nikaigia mtaani rasmi kupiga bodaboda ila napo ikawa changamoto kila sehemu ninayopaki wananifukuza kwa kigezo kuwa sina kijiwe, ikabid niwe nashinda zangu hom hadi mida ya usiku ndio naingia mjini kupiga bodaboda by the way it was too risk ukizingatia miaka ile matukio ya utekaji yalikuwa mengi sana na baridi za usiku zikawa ndio ndugu na ndio maisha yangu.

To the point, hapa sasa ndio kuna point ya mhimu na kama mnakumbuka awali niliwaambia katika maisha usomi sio vyeti ila ni application maana hamna dunia ya msomi wala wasomi, hapa ninamaanisha kuwa nilivyorudi mtaani nilikuwa bdodaboda kitu ambacho hata akina pwagu na pwaguzi wanakimiliki ila nilijiongeza kupitia pikipiki nikawa naweza kuingiza faida ya laki 2 hadi tatu kwa siku moja na hii ndio connection yenyewe,,

Pia nikumbushe kuwa uaminifu ni hazina na kuongea na watu ni hazina kubwa zaidi, Nakumbuka kuna jamaa flani nilikuwa namuona anatoka na bodaboda yake asubhi na anaweza kurudi baada ya siku mbili na akirudi anaweka kikao baa then baada ya mda anatoka,
Mwonekano wa jamaa akitoka anakuwa amevaa makoti matatu au manne na rainbut na box kubwa na akirudi akakuwa mwili mzima amejaa vumbi sana, Rejea awali niliwaambia mishe za pesa huwa hazifikiriki kirahisi alafu haziheshimishi na zinafanyika kwa connection tu!

Hapa kwa kuwa nilikuwa nipo tayari kwa lolote ilibidi nimfuate yule bro nikamuuliza bro huwa nakuona na mwonekano flani unapotea kama siku mbili au tatu na unarudi na ikirudi naona unaweka kikao baa naomba nipe ramani kaka, Jamaa alicheka sana akaniambia nyie wasomi someni tu hizi kazi hauziwezi, yaani jamaa alikataa kabisa akidai kuwa sitaweza kitu, na mwishoe aliagiza nipewe bia tano akalipia na kuondoka, kwa kweli iliniuma sana maana hata bora ile hela angenipa kuliko kunifanyia kufuru kuninunulia kitu ambacho sijamuomba na kibaya zaidi situmii,

Basi bana sikuchukua zile bia nikaamua kuondoka ila sikuchoka nilifuata tena na round hii nilimfuata kwake nikiamini jamaa nitamkuta akiwa hajala vyombo (ulevi) ila napo jamaa nilimkuta bado akanichomolea, Sasa hapa ambao hamjakata tamaa ya kufuatilia uzi huu ndio mjiulize yaani mimi nawapa connection bure tena kwa maumivu ya vidole na kusugua benchi natype alafu mjinga mmoja anataka apate connection ya shortcut ya kusoma aya mbili, hahahahaha mwafwaaaa! ngoja nimalizie, jamaa nilifuata kama mara tano hivi ila nakumbuka mara ya mwisho aliniambia tafta kama laki 3 au nne alafu uje nitakuelekeza kitu cha kufanya, kwa kweli nilichanganyikiwa wazee kwanza kuangalia jamaa kapanga ana bonge la flat TV sofa na vitu kibao ndan amepanga chumba na sebure huku mimi na elimu yangu nimepanga eneo ninalipa kodi ya efu20 napo ikifika mda wa kulipa kodi tunataftana na maza haose, Huyu mama nikipata mda nitakuja kuwaelezea visa vyake siku nikiamka poa sema hapa ngoja niwapumzishe vijana wenye uchu wa kutaka kujua connection

Bahati nzuri nilikuwa na kakibubu nadumbukiza bukubuku, buku mbili sikuwa na uhakika katakuwa na shi ngapi ila nilikua hakawezi kupungua laki 2, safari ikaanza chap hadi ndani breki ya kwanza nilipokavunja nikatafta utulivu nikahesabu hela nikajikuta nilikuwa na laki3 na thelathini na saba kama sikosei, hata sikukaa wala kula nikarudi kwa jamaa hata ule ujasiri na imani sijui niliutoa wapi asee, nilifika nikamkabidhi jamaa kisha nikakaa zangu kwenye koch sebureni kwake jamaaa akazihesabu alipomaliza akataja kiwango kilekile nilichokiona mimi, kisha akaingia chumbani baada ya mda akatoka bila kunisemesha akaingiza mkono mfukon mwake akatoa burungutu la hela akahesabu kumikumi mara kumi jumla laki moja akachanganya na kile kiashi nilichokuwa nimempa akanikabidhi, mda huo mimi sielewi ni biashara gani ya kumpa mtu hela kisha akakuongezea zingine, akaniambia nihesabu tena nami nikafanya hivyo baada ya mda nikamjibu zipo laki nne na thelathini akaniambia twende, tukaongozana na jamaa hadi mjini kariakoo kwenye duka flani la mwarabu nikaona jamaa anapick vitu mbalimbali hapa sitavitaja maana vitakuwa vingi anaehitaji atakuja pm nitamtumia orodha.

kisha tukarudi jamaa akanipa mchanganuo bei alizochukulia kisha akaniambia kesho njoo

Usiku ule nimelala hata sielewi ni biashara gani tunatakiwa kufanya ila nakumbuka jamaa aliniambia kuwa amenikopesha laki moja kwa kuwa ana uhakika 100% kuwa hela yake nitairudisha maana bishara anayoenda kunifundisha haijawahi kuwa na hasara, hivyo hana wasiwasi laki yake itarudi

Asubuhi imefika jamaa ndio alikuja kuniamsha tukafunga mzigo tukaingia barabarani chocho to chocho kijiji kwa kijiji mara kwa mbali tukaliacha jiji tukaingia barabara ya vumbi tukazidi kwenda tukafika kakijiji flani jamaa kasimama tukaenda dukani jamaa akashuka akanadi bidhaa nashangaa jamaa palepale amempa jamaa bidhaa kama 10 hivi tumetoka pale na kama efu 80, tukahamia duka la pili hapa jamaa aliniprove wrong maana nilijua tutaanza kuuza kitu kimoja kimoja mfano tochi mojamoja ila woundwerfull enough jamaa alikuwa nauza kabox kazima, Pale duka la pili napo tukalamba kama 120 kwa mtu mmoja ila pale napo nikajifunza kitu kuwa jamaa ni mcheshi kuliko maelezo alafu anongea sana hadi kuna mda watu wanamchukulia hana akili vzuri pia nikaona kuna watu wananunua kwa kumuonea huruma ila wanampa hela nyingi , nilishangaa jamaa anauza bidhaa aliyoichukulia efu kumi anauza hadi elfu17 tena kwa bei ya jumla yaani bidhaa moja inatoa faida ya buku saba, hela mabayo kwa bodaboda unabeba abilia trip saba kutoka kariakoo hadi msimbazi

Tuliendelea hadi jioni tukarudi hom jamaa akaniambia hesabu bidhaa ziliozorudi nikakuta nimerudi na bidhaa zenye thamani nkama laki 2 na sabini hivi na kisha kuangalia mauzo nimeuza kama laki tano na themanini hapo napiga kuna faida kama laki na ushee na bado mzigo upo na unapesa nyingi ambayo ni faida maana hela ya kuchukulia tayari isharudi, Baada ya hapo jamaa akanirushia kijembe kilichonipa hasira zaidi kuwa endelea na bodaboda mjini maana ndio kazi za wasomi wa vyuo vikuu acha sisi makuruta tusio na shule tukomae na vumbi, Aisee nilishangaa siku nzima kuingiza laki kwa siku moja tena kwa kazi rahisi tu ya kuendesha pikipiki na kupaki dukani na kujiokotea hela alafu unaendelea next

Kesho yake nikachukua mzigo mwenyewe maana behind writting jamaa alinisomesha kila kitu na namna ya kuishi na wateja na namna ya kubuni route, Kwakeli next day nikaingia mwenyewe bila jamaa nikapiga kazi nikarudi na faida kama laki na themanini, sio mauzo namaanisha faida, kwa kuwa mawazo yangu hadi leo yalikuwa ya kulipiza kisasi kwa wale jamaa pale chuo walionidharau hadi nikaamua kuwaachia chuo chao, nikapiga kazi ndani ya week moja nikajikuta nina one milion, najua hapa mtabisha ila siwalazimishi muamini maana ni hela yangu amini za kwako wewe,

nikapambana after mwezi mmoja nilikuwa na kibunda changu smart ambacho sikuwahi kutegemea katika maisha yangu kukipata, yaani hela mabayo nilikuwa nafikilia pengine inaweza kupatikana kwa maiaka 10 et nimeipata kwa mwezi mmoja, nikasema ngoja ninunue kiwanja, kweli nikafanikiwa kununua kiwanja bado wana wapo chuo wanakomaa na shule

Mimi hasira zangu hadi leo ni kuwakomeshea tu nikasema ngoja nirundike tofari najua pengine nitashindwa kujenga ila kikubwa tu wakitoka chuo niwaoneshe kuwa ninakiwanja mjini, na mimeanza harakati za kujenga, Basi nikarundika tofari kimasihara nakijikuta nina bank ya tofari kama bukumbili blocks kwa hapa mjini tunaunua tofari moja buku la block hadi site ni buku na mia ila kwa tofari buku mbili zilichukua only wiki tatu ikawa tayari, kiuoga nikamleta fundi akanipiga bajet nikaona ngoja nianze msingi ili jamaa wakija wakute msingi niwakomeshee, mungu sio asumani ndani ya miezi mtatu nikawa nishanyanyua nyumba na kupaua kabisa, (sikulazimishi uamini) jamaa wametoka chuo tayari nakaa kwangu, ila nikajikuta najiona wa kawaida sana tofauti na nilivyodhani awali yaani nilijua nitawakomeshea ila baada ya kumaliza nikaona kama nyumba sio deal bado wataniona wa kawaida japokuwa nilijidanganya ni kweli jamaa walinipiga salute

Nikaamua kuchukua flem, nikawa kila nikiingia pori nikirudi naweka mali, baada ya mda maana pia mali za dukani sikuwa naziruhusu kutoka kwa kuwa nilikuwa natafta msingi na kutaka kuwaonesha nilivyojaza kweli kwa mda kadhaa mungu kajalia bidhaa zipo za kumwaga duka linasoma kwa sasa kama 10m na uchafu saizi linajiendesha jenyewe,

Wife ndio msimamizi wa duka na mimi nakomaa pori, cha kushangaza jamaa yangu alienipa connection nashangaa gafla kaninunia hata salamu hanipi naskia za chinichini anadai nimemroga na kumharibia kazi, japokuwa sijawahi kufikiria kuroga mtu alienitoa matopeni huwa nikiamka asubuhi hata kabla sijamsalimia wife huwa namuombea popote alipo mungu muongezee mara miambili ya alivyonavyo ila ndio hivyo tena shetani keshaamua kuingilia urafiki wangu na huyu binadamu ambae kwa namna moja au nyingine naamini ndie malaika wa mungu aliepo hapa dunuani

Japokuwa pia kweli nikiri nilishawahi kupata ushawishi wa kuroga ili nipate pesa zaidi maana mnajua binadamu tumeumbiwa tamaa ila naogopa kufikia huko maana naweza kujaribu nikamroga jamaa angu kweli na ninampenda kuliko kitu chochote kile inabidi tu nivunge

Mwaka jana hao jamaa wa kusoma kuna mtoto mmoja wa kishua alinyea kambi kampa mtoto wa kilokole mimba na familia yake swala tano, wakaamua kumtenga na jamaa ndo kafa kaoza kwa mtoto wa kirokole, akaone sio mbaya mbona wengine tunasurvive tu ile hali tuliwahi kunyea kambi, akaja mtaani nikamtia moyo pambana ila nikiwa najua huyu mshamba atakimbilia biashara na ataagukia pua, kweli week moja kafungua glocelly maana kunaballance alikuwa nayo kwa account yake kabla hajawa betrayal in the city, alivyofulia akaweka gari lake bondi kwa laki tano ili aishi, kashindwa kulitoa BREVIS namba DTX ikabidi anifuate akitaka tuliuze ikabidi nimvue Kwa 7.5 hapa nikipita mtaani jamaa walionikazia kwenye disc chuo napishana nao wanakula vumbi huko kwa heavy work za saidia fund ili wapate kula nawapigia vumbi tu, Na mnaosema ninawalingia nawaombeni mnisamehe sana hawa kenge walinisemaga sana acha na mimi niwaseme kwanza

siazi hapa pori huwa siingii mara kwa mara ila nikihitaji hela ya fasta kama kawaida jasiri haachi asiri napaki kabrevis kangu hom natupia makoti na toyo yangu naingia chimbo nikirudi nina miambili yangu safi nafanyia kazi zangu kisha the rest product naweza ofsin untill the next season, Jamaa wa kusoma hadi sasa nimewapa wawili kati yao bodaboda za mkataba kila siku buku 10 kwa miezi kumi na tatu wakimaliza tuachane nao wakajipambanie wenyewe, na mwingine mwezi huu tunakamamilisha mkataba nimpe Bajaj TVS 7.6milion mkataba miaka miwili kila siku elfu 20, nategemea kuingiza karbia 14m kupita yeye.

Kuhusu familia ya wife kuna kupindi mawasiliano yalirudi na walivyoskia ninajenga maana niliwaambia tu nimefungua kaofisi kadogo na kibanda cha kujihifadhi hawakuona deal, ila mungu mkubwa kaka ake wife kahamia kikazi hapa mjini na alipokuja hom alikuwa suprised kukuta nakaa katika kamjengo flani ivii na usafir nje umepakiwa, na mtoto wao yuko vizuri baada ya wiki moja mama mkwe alinipigia mwenyewe anaomba msamaha.

Ushauri, kazi yeyote inaweza kukufanya ufikie malengo yako ikiwa unaiheshimu na kuithamini

atakaehitaji maelezo ya hii kazi aje pm
Duh kweli mrefu
 
Habari wakuu,

Nimekaa na mada hii ni takribani miaka miwili kila nikianza kuandika uzi hapa najikuta naufuta na kwenda kwenye jukwaa cha chitchati na mahusiano kuandika stori za kusadikika, Ila sio kwamba huwa nashindwa kuandika lah hasha, huwa nashindwa kutoa connection bure bila malipo, Connection ambayo ilipaswa niitoe kwa galama kubwa, kama mnavyopewa connection za ajira, ila connection hii hapa ni zaidi ya ajira maana kufanikiwa ni 100% kwa atakaeifanya kwa malengo, na ninarudia tena HII ITAKUFANIKISHIA NDOTO ZAKO KAMA UKIIFANYA KWA MALENGO,

Kwanza kabla ya yote natoa angalizo kuwa uzi huu utakuwa mrefu sana, ili wale wanaopenda shortcut wapite kushoto tubaki na wanaoamini katika maisha hakuna mkato, ili wapate kusoma uzi huu hatua kwa hatua na waelewe

Ndani ya uzi huu kutakuwa na falsafa mbalimbali ambazo ingefaa kwa yeyote atakaechukua maamzi yampasa azifuate ili afanikiwe, Pia nawatahadharisha kuwa hakuna shortcut katika maisha na hakuna mafanikio ya urahisi.

Pia hakuna Dunia ya wasomi wala maisha ya wasomi kwa maana hiyo namaanisha hata ukisoma ukapata madegree 300 mwisho wa siku hautapata dunia yako peke yako bali maisha utakayoishi ni hayahaya ya jamii ambayo wanaishi akina Pwagu na Pwaguzi ambao hata darasa la kwanza hawakuingia na michongo mtakayofanya ni hii hii tu ambayo na hao akina Pwagu wanafanya ila tungetegemea kuona elimu yako inakupa uziada yaani ujitofautishe kidogo kwa maana kwamba ufanye kazi hizohizo wanazofanya wao ila wewe uweke uziada wa elimu yako kujitofautisha na wao na hapo wataona vumbi tu hakuna atakaekuwa karibu na wewe kimafanikio niaminini mafanikio sio uchawi japokuwa pia sikatai kuwa hakuna mafanikio ya uchawi, ila swali ni kwanini uroge na huku pesa ipo ukipata connection nzuri?

Yaani hilo la kuroga inatakiwa uliweke last periolity kuwa umepambana kwa kila njia umeshindwa hapo kama ni kuroga karoge bro Umasikini ni laana, Umasikini ni wakukimbiwa na kuogopwa, hata kabla hujaogopa simba na wanyama wote wa kutisha cha kwanza ogopa Umasikini bro, nakuruhusu karoge kama ukishindwa kabisa kwa kila namna kama unaamini mafanikio yapo katika uchawi basi roga boss wangu mara kumi kutembea mtaani uchi badae ukivaa nguo upate pesa ya kutosha kuliko kutembea uchi na kishinda njaa kisa hauna hela ya mavazi na chakula ukiona mtu anakuambia kuwa bora yeye na umasikini wake ila anaishi kwa amani mhurumie maana hajui alinenalo wala atendayo hakuna masikini wenye amani dunia hii.

Tuendelee na kipengere cha Connection ila kabla ya connection yenyewe napenda kuwafumbua macho kwa wasiojua kuwa
KUNA BIASHARA NA KUNA MICHONGO YA HELA. Yaani kuna biashara na kuna michongo ya hela, hivi ni vitu viwili tofauti na havifanani kabisa, na moja ya tofauti zilizopo kati ya hivi vitu ni kwamba Biashara zipo wazi sana yaani biashara zipo katika kila kichwa cha mtu, ila michongo ya hela imejificha na sio rahisi sana mtu kuwazia kuwa kupitia hio shughuli atapata pesa nzuri.

Pia biashara haihitaji connection maana kila mtu anaona na anamawazo ya biashara ila michongo ya hela lazima connection maana watu wengi hawawazii shughuli hizo, Biashara ni rahisi kuheshimisha mtu katika jamii hata kama anaugulia maumivu ya hasara lakini jamii itamuona shujaa hadi siku atakayofunga biashara baada ya kufiriska kwa kukosa masirahi ila michongo ya hela haiheshimishi mhusika hadi atakapofanya makubwa katika jamii ndio watashtuka na watakuwa washachelewa na huishia kusema ameroga, Utofauti wa mwisho ni kwamba biashara hukabiliwa na changamoto za macho ya husda na wivu ila michongo ya pesa haikabiliwi na macho ya husda na wivu maana wenye husda wenyewe wanaweza kuwa side ya kukuombea ufanikiwe au kukuhurumia, nadhani hapa mtanielewa vizuri mkiendelea na huu uzi.

Hapa tuendelee na mada yetu ila kwa sasa turudi kwanza kwenye wasfu binafsi wa mtoa uzi.

Yaani lengo langu ni kuwakera wapenda shotcuts ili wasiendelee na uzi maana watu wa aina hii wavivu wa kusoma ndio haohao wavivu wa kufikiria na ndio wepesi wa kuropoka na kuongea vitu pasipo reference sasa dawa yao ni ndogo tu ni kwenda nao route ndefu wakipumua wakiishiwa pumzi njiani ndio ushindi wenyewe tunatangazwa wanabaki hukohuko sisi tunalisongesha mbele, Mpambanaji hachoki sasa wewe unachokaje kirahisi hivyo bro!

OK tuendelee, Miaka kadhaa nilichaguliwa kusoma chuo kikuu maarufu sana hapa Bongoland kozi Ilikuwa inaitwa BACHELOR OF ARTS IN KISWAHILI LITERATURE kama sikosei maana hiyo kozi yenyewe nimeandika kizungu na kama mlivyoona kozi yenyewe ni ya waswahili kwa hiyo kama nimekosea uandishi turekebishane kwa wema kama na mimi nilivyodhamiria kuandika kwa wema, Kozi zipo nyingi bwana mkiona wadogo zenu wanasoma vyuo vikuu mjue kuwa huko kuna masomo mengi sana.

Ila kibarua binafsi wasomi wa kozi hiyo ukiwauliza wamesomea nini kwa maana ya kazi gani wakiwa pamoja wawili lazima kila mtu atakupa majibu kulingana na mtazamo wake binafsi, yaani ninavyodhani ni miongoni mwa kozi ambazo wasomi wake kila mtu anajua alichokisomea kwa mtazamo wake binafsi, japokuwa kozi kama hizi zipo nyingi sana pale UDSM.

Mwanzoni kipindi nalipoti nilijua naenda kusomea ualimu wa kiswahili ila kufika huko mambo yalibadilika kumbe nilikuwa nimeingia cha kike ila sikujilaumu sana maana tulikuwa wengi kwa hiyo kwa kipindi kile tulikuwa tunatiana mioyo kuwa tukisoma Masters na kuendelea tutakuja kwenda ulaya kufundisha kiswahili huko, ila hizi zilikuwa akili za kitoto maana kila mtu alikuwa anajua tunasema vile kwa sababu ya nguvu ya mkopo, Tulijua na mastars tutapata mkopo.anyway tuachane na hayo yashapita.

Tulikula msuli miaka kama miwili yaani ile funika funua sup zinakuja tunarudi tunazichomoa kama kawaida maisha ya chuo ni kukamiana sup ni kawaida sana kwa mwanachuo hasa sisi tuliokuwa mabishoo, Pia hapa niwapongeze ndugu zangu wasukuma wako vizuri sana kwa kweli huwa sio wepesi kusarrenda yaani mpe hata sup hata 5 kikubwa tu asiwe na bellow GPA ujue hizo sup zote zimeumia yaani akirudi anazichomoa zote anarudi piruu piruru kabisa anabaki anasubiria module za next semista, Heshima yenu ndugu zetu wasukuma. Tumekimbiza module hadi ikafika mwaka wa pili tunatakiwa kwenda fild au elimu ya vitendo, ila kabla twende mbali kote naomba niwarejeshe nyuma kidogo kuna kitu nimekisahau hapa.

Nakumbuka mwaka wa kwanza tu nikawa nimemtundika mimba mtoto wawatu, mda tumerudi rikizo ya mwaka wa kwanza kujiandaa kurudi mwaka wa pili Binti alirudi kwao na zygote kama miezi mitatu hivi ile tapikatapika alikumbana nayo akiwa rikizo kwao japokuwa yeye alikuwa kozi tofauti na mimi kwa mwaka ule alikuwa na fild huko kwao, Kibaya zaidi kumbe yule mtoto alikuwa ashafanyiwa booking kitambo kwao walishakula vya watu na kule chuoni jamaa ndie anawajibika anasomesha cha ajabu manzi karudi kwao na zygote ni balaa kwao hawamtaki na kwenda kwa jamaa manzi hataki tena kikawa kimbembe, Wanasema siku ya kufa nyani miti yote huteleza yule manzi kwa kuwa alikuwa na ile pesa ya kujikimu fild akaona isiwe noma akapanga mtaani ili amalize fild arudi zake chuo, ila matokeo yametoka manzi yupo Bellow GPA inamaana chuo kwake tena imebaki stori.

Tegemeo lake limebaki kwangu na mimi kwao na yule jamaa kanipiga kanichimba mkwara ile mbaya kasema anakuja chuo kunishtaki kwa kumpa mimba mke wake, yaani imekuwa mvurugano tupu, Manzi anadai anataka kuja hom na hom nikiangalia sina kitanda wala pakulala kuna chumba kimoja tu tena nyumba ya majani na hiko kibanda tunashare na bro zangu wawili, pili hom kuna bro wangu watatu mbele hawajaoa kiutamaduni hairuhusiwi niowe kabla ya kaka zangu, kwa hiyo ni balaa tupu kila ninapogusa pagumu, hamna unafuu, Mungu saidia kwenye matokeo nikawa nimelamba sup kama mbili hivi hii nilimshukuru mungu maana ililazimu niondoke hom mapema ili nikapige sup, hapo nikachangiwa na familia nikaondoka mwezi wa tisa kurudi chuo, kufika nikapanga chumba kwa mda kigodoro nchi mbili chini na sahani moja na kakomputor kangu over!

Nikawaza nikawazua nimemharibia maisha mtoto wawatu japokuwa kwa upande mwingine ningemlaumu kwa kuwa hakuwahi kuniambia kuwa alikuwa ana mchumba anaemsomesha, ila nilijijibu mwenyewe kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu na sikuona haja ya kuendelea kumlaumu na kumtesa, kwao wamempa option ya kutoa ile mimba aende kwa jamaa na mtoto kagoma kutoa ikafkia mda akawa analala hadi nje kwao hawamtaki na kwa jamaa hataki kwenda, japokuwa jamaa alikubali hata kulea mimba ila mwanamke ndio akawa hamtaki tena(mungu amzidishie yule mwamba kwa upendo aliokuwa nao maana kuna kipindi alikuwa ananipigia hadi analia nimemharibia familia)

Nikaona isiwe tabu nikamtumia nauli akatimba geto na maisha yakaanza kama utani ndio ikawa ndoa hivyo hadi leo tuna watoto wawili, na ni mwanamke mwema sana na mwelewa na sijawai kuona hata chembe ya usaliti kwake japo nilimpata kwa njia ya usaliti kwa mtu wake. Hapa maisha yalibadilika ubishoo ukaniisha nikawa sina furaha tena chuoni, mahudhurio yakawa hafifu kwenye disscussions nikawa sio mhudhuriaji nikakonda sana hadi watu walihisi ninaumwa kuna wana niliwapoteza kabisa kwa kuoan nimewahi maisha, ilifikia mda nikawa nalia peke yangu, ishalah wife akaja akajifungua mtoto wa kiume ndio akawa fuhaya yangu japokuwa kwa upande mwingine ndio ugumu ukaongezeka

Bum likitoka unaligawa ila kabla ya miezi miwili linakata najikuta nimekopa nakosa kula hata siku mbili na wife na kichanga, huku nyuma kwao wife mambo safi ila keshanyea kambi hawana msaada nae wala hawamtaki hom ndio hivyo hamna chochote hata ni aibu kuomba msaada kwake, Kwa kweli kipindi hiki hata nywele nilikuwa sichani wala kupiga mswaki yaani nikienda darasani naona kila mtu ananicheka nilipoteza mvuto kabisa imagine handsom wa darasa leo hii mimi ndio zoba wa darasa sina cha nguo mpya wala smartphone ilifikia mda nikawa nawatamani hadi wale waliokuwa wakinitamani zamani,

Turejee kwenye kwenda fild mwaka wa pili mwishoni, yani mda wote huo nilikuwa sina wazo la kuwazia maisha baada ya chuo kwa maana ajira bado nilikuwa nasomea kitu nisichokijua, ila walipoleta form za kujaza sehemu za kwenda kufanyia fild ndio ikawa balaa hakuna anaejua wapi twende hadi mwalimu mlezi wa darasa nae hajui baada ya majadiliano ikabidi wengine waende Mwanainchi uhariri na wengine ofisi za utamaduni japokuwa nafasi zilikuwa ngumu sana, yaani nafasi ya kwenda kufanya fild tulizipata kwa connection, na kuanzia hapo ndio nikaanza kuwaza maisha yangu nilivyojitowa kusomea kitu ambacho sijui ni kitu gani

Hapo nilienda fild ila hela ya kujikimu kipindi cha fild niliibana na fild niliomba sehem ambayo nilikaa kwa ndugu, baada ya fild ikabidi nitafte pikipiki used nilinunua pikipiki laki sita yaani ilikuwa imechoka balaa nikaipiga service nikawa naendea chuo na mida ya jioni napiga bodaboda mjini, mimi nilikuw aningia kupiga bodaboda usiku kuanzia saamoja jioni hadi saa nane usiku narud kulala na ninarudi na hela nzuri kidogo kwa kipindi kile nilikuwa naweza kuingiza elfu 30 hadi 40 dili likikaa vzuri, ukilinganisha na maisha ya awali nilianza kuona kaunafuu kidogo na tabasamu likaanza kurudi kwa mbaali.

Ila hapa sasa utoro uliongezeka chuoni maana tayari nilikuwa nishaanza kuwa na mashaka kuhusu kitu ninachohangaikia,

Nakumbuka semista ya kwanza mwaka wa tatu tulipewa test ambayo ilikuwa inahusisha makundi nimepigiwa simu na jamaa yangu nimefika watu wameshaingia kwenye chumba cha mtihani ijapokuwa sikuchelewa ila jamaa wakanikataa ambao tulikuwa nao group moja na almost wote walikuwa washikaji zangu awali na tulijuana ila wakanifanyia roho mbaya, huwa kwa utamaduni wangu sijui kubembeleza mtu na huwa naogopa sana kujishushia utu wangu kwa mtu yeyote nikaamua kuondoka mda uleule nikatoka nje nikachukua pikipiki yangu nikaondoka nyumbani na ikawa ndio mwisho wa kurudi chuo na sikutaka kufuatilia chochote, ilifikia mda hadi napigiwa simu na mkuu wa idara ameona sijafanya mtihani na matokeo yangu yapo vzuri ila sikutaka tena kuendelea (nikikumbuka hii siku naondoka huwa nalia na inaniongezea hasira mara100 ya kutafta hela)

Nikaigia mtaani rasmi kupiga bodaboda ila napo ikawa changamoto kila sehemu ninayopaki wananifukuza kwa kigezo kuwa sina kijiwe, ikabid niwe nashinda zangu hom hadi mida ya usiku ndio naingia mjini kupiga bodaboda by the way it was too risk ukizingatia miaka ile matukio ya utekaji yalikuwa mengi sana na baridi za usiku zikawa ndio ndugu na ndio maisha yangu.

To the point, hapa sasa ndio kuna point ya mhimu na kama mnakumbuka awali niliwaambia katika maisha usomi sio vyeti ila ni application maana hamna dunia ya msomi wala wasomi, hapa ninamaanisha kuwa nilivyorudi mtaani nilikuwa bdodaboda kitu ambacho hata akina pwagu na pwaguzi wanakimiliki ila nilijiongeza kupitia pikipiki nikawa naweza kuingiza faida ya laki 2 hadi tatu kwa siku moja na hii ndio connection yenyewe,,

Pia nikumbushe kuwa uaminifu ni hazina na kuongea na watu ni hazina kubwa zaidi, Nakumbuka kuna jamaa flani nilikuwa namuona anatoka na bodaboda yake asubhi na anaweza kurudi baada ya siku mbili na akirudi anaweka kikao baa then baada ya mda anatoka,
Mwonekano wa jamaa akitoka anakuwa amevaa makoti matatu au manne na rainbut na box kubwa na akirudi akakuwa mwili mzima amejaa vumbi sana, Rejea awali niliwaambia mishe za pesa huwa hazifikiriki kirahisi alafu haziheshimishi na zinafanyika kwa connection tu!

Hapa kwa kuwa nilikuwa nipo tayari kwa lolote ilibidi nimfuate yule bro nikamuuliza bro huwa nakuona na mwonekano flani unapotea kama siku mbili au tatu na unarudi na ikirudi naona unaweka kikao baa naomba nipe ramani kaka, Jamaa alicheka sana akaniambia nyie wasomi someni tu hizi kazi hauziwezi, yaani jamaa alikataa kabisa akidai kuwa sitaweza kitu, na mwishoe aliagiza nipewe bia tano akalipia na kuondoka, kwa kweli iliniuma sana maana hata bora ile hela angenipa kuliko kunifanyia kufuru kuninunulia kitu ambacho sijamuomba na kibaya zaidi situmii,

Basi bana sikuchukua zile bia nikaamua kuondoka ila sikuchoka nilifuata tena na round hii nilimfuata kwake nikiamini jamaa nitamkuta akiwa hajala vyombo (ulevi) ila napo jamaa nilimkuta bado akanichomolea, Sasa hapa ambao hamjakata tamaa ya kufuatilia uzi huu ndio mjiulize yaani mimi nawapa connection bure tena kwa maumivu ya vidole na kusugua benchi natype alafu mjinga mmoja anataka apate connection ya shortcut ya kusoma aya mbili, hahahahaha mwafwaaaa! ngoja nimalizie, jamaa nilifuata kama mara tano hivi ila nakumbuka mara ya mwisho aliniambia tafta kama laki 3 au nne alafu uje nitakuelekeza kitu cha kufanya, kwa kweli nilichanganyikiwa wazee kwanza kuangalia jamaa kapanga ana bonge la flat TV sofa na vitu kibao ndan amepanga chumba na sebure huku mimi na elimu yangu nimepanga eneo ninalipa kodi ya efu20 napo ikifika mda wa kulipa kodi tunataftana na maza haose, Huyu mama nikipata mda nitakuja kuwaelezea visa vyake siku nikiamka poa sema hapa ngoja niwapumzishe vijana wenye uchu wa kutaka kujua connection

Bahati nzuri nilikuwa na kakibubu nadumbukiza bukubuku, buku mbili sikuwa na uhakika katakuwa na shi ngapi ila nilikua hakawezi kupungua laki 2, safari ikaanza chap hadi ndani breki ya kwanza nilipokavunja nikatafta utulivu nikahesabu hela nikajikuta nilikuwa na laki3 na thelathini na saba kama sikosei, hata sikukaa wala kula nikarudi kwa jamaa hata ule ujasiri na imani sijui niliutoa wapi asee, nilifika nikamkabidhi jamaa kisha nikakaa zangu kwenye koch sebureni kwake jamaaa akazihesabu alipomaliza akataja kiwango kilekile nilichokiona mimi, kisha akaingia chumbani baada ya mda akatoka bila kunisemesha akaingiza mkono mfukon mwake akatoa burungutu la hela akahesabu kumikumi mara kumi jumla laki moja akachanganya na kile kiashi nilichokuwa nimempa akanikabidhi, mda huo mimi sielewi ni biashara gani ya kumpa mtu hela kisha akakuongezea zingine, akaniambia nihesabu tena nami nikafanya hivyo baada ya mda nikamjibu zipo laki nne na thelathini akaniambia twende, tukaongozana na jamaa hadi mjini kariakoo kwenye duka flani la mwarabu nikaona jamaa anapick vitu mbalimbali hapa sitavitaja maana vitakuwa vingi anaehitaji atakuja pm nitamtumia orodha.

kisha tukarudi jamaa akanipa mchanganuo bei alizochukulia kisha akaniambia kesho njoo

Usiku ule nimelala hata sielewi ni biashara gani tunatakiwa kufanya ila nakumbuka jamaa aliniambia kuwa amenikopesha laki moja kwa kuwa ana uhakika 100% kuwa hela yake nitairudisha maana bishara anayoenda kunifundisha haijawahi kuwa na hasara, hivyo hana wasiwasi laki yake itarudi

Asubuhi imefika jamaa ndio alikuja kuniamsha tukafunga mzigo tukaingia barabarani chocho to chocho kijiji kwa kijiji mara kwa mbali tukaliacha jiji tukaingia barabara ya vumbi tukazidi kwenda tukafika kakijiji flani jamaa kasimama tukaenda dukani jamaa akashuka akanadi bidhaa nashangaa jamaa palepale amempa jamaa bidhaa kama 10 hivi tumetoka pale na kama efu 80, tukahamia duka la pili hapa jamaa aliniprove wrong maana nilijua tutaanza kuuza kitu kimoja kimoja mfano tochi mojamoja ila woundwerfull enough jamaa alikuwa nauza kabox kazima, Pale duka la pili napo tukalamba kama 120 kwa mtu mmoja ila pale napo nikajifunza kitu kuwa jamaa ni mcheshi kuliko maelezo alafu anongea sana hadi kuna mda watu wanamchukulia hana akili vzuri pia nikaona kuna watu wananunua kwa kumuonea huruma ila wanampa hela nyingi , nilishangaa jamaa anauza bidhaa aliyoichukulia efu kumi anauza hadi elfu17 tena kwa bei ya jumla yaani bidhaa moja inatoa faida ya buku saba, hela mabayo kwa bodaboda unabeba abilia trip saba kutoka kariakoo hadi msimbazi

Tuliendelea hadi jioni tukarudi hom jamaa akaniambia hesabu bidhaa ziliozorudi nikakuta nimerudi na bidhaa zenye thamani nkama laki 2 na sabini hivi na kisha kuangalia mauzo nimeuza kama laki tano na themanini hapo napiga kuna faida kama laki na ushee na bado mzigo upo na unapesa nyingi ambayo ni faida maana hela ya kuchukulia tayari isharudi, Baada ya hapo jamaa akanirushia kijembe kilichonipa hasira zaidi kuwa endelea na bodaboda mjini maana ndio kazi za wasomi wa vyuo vikuu acha sisi makuruta tusio na shule tukomae na vumbi, Aisee nilishangaa siku nzima kuingiza laki kwa siku moja tena kwa kazi rahisi tu ya kuendesha pikipiki na kupaki dukani na kujiokotea hela alafu unaendelea next

Kesho yake nikachukua mzigo mwenyewe maana behind writting jamaa alinisomesha kila kitu na namna ya kuishi na wateja na namna ya kubuni route, Kwakeli next day nikaingia mwenyewe bila jamaa nikapiga kazi nikarudi na faida kama laki na themanini, sio mauzo namaanisha faida, kwa kuwa mawazo yangu hadi leo yalikuwa ya kulipiza kisasi kwa wale jamaa pale chuo walionidharau hadi nikaamua kuwaachia chuo chao, nikapiga kazi ndani ya week moja nikajikuta nina one milion, najua hapa mtabisha ila siwalazimishi muamini maana ni hela yangu amini za kwako wewe,

nikapambana after mwezi mmoja nilikuwa na kibunda changu smart ambacho sikuwahi kutegemea katika maisha yangu kukipata, yaani hela mabayo nilikuwa nafikilia pengine inaweza kupatikana kwa maiaka 10 et nimeipata kwa mwezi mmoja, nikasema ngoja ninunue kiwanja, kweli nikafanikiwa kununua kiwanja bado wana wapo chuo wanakomaa na shule

Mimi hasira zangu hadi leo ni kuwakomeshea tu nikasema ngoja nirundike tofari najua pengine nitashindwa kujenga ila kikubwa tu wakitoka chuo niwaoneshe kuwa ninakiwanja mjini, na mimeanza harakati za kujenga, Basi nikarundika tofari kimasihara nakijikuta nina bank ya tofari kama bukumbili blocks kwa hapa mjini tunaunua tofari moja buku la block hadi site ni buku na mia ila kwa tofari buku mbili zilichukua only wiki tatu ikawa tayari, kiuoga nikamleta fundi akanipiga bajet nikaona ngoja nianze msingi ili jamaa wakija wakute msingi niwakomeshee, mungu sio asumani ndani ya miezi mtatu nikawa nishanyanyua nyumba na kupaua kabisa, (sikulazimishi uamini) jamaa wametoka chuo tayari nakaa kwangu, ila nikajikuta najiona wa kawaida sana tofauti na nilivyodhani awali yaani nilijua nitawakomeshea ila baada ya kumaliza nikaona kama nyumba sio deal bado wataniona wa kawaida japokuwa nilijidanganya ni kweli jamaa walinipiga salute

Nikaamua kuchukua flem, nikawa kila nikiingia pori nikirudi naweka mali, baada ya mda maana pia mali za dukani sikuwa naziruhusu kutoka kwa kuwa nilikuwa natafta msingi na kutaka kuwaonesha nilivyojaza kweli kwa mda kadhaa mungu kajalia bidhaa zipo za kumwaga duka linasoma kwa sasa kama 10m na uchafu saizi linajiendesha jenyewe,

Wife ndio msimamizi wa duka na mimi nakomaa pori, cha kushangaza jamaa yangu alienipa connection nashangaa gafla kaninunia hata salamu hanipi naskia za chinichini anadai nimemroga na kumharibia kazi, japokuwa sijawahi kufikiria kuroga mtu alienitoa matopeni huwa nikiamka asubuhi hata kabla sijamsalimia wife huwa namuombea popote alipo mungu muongezee mara miambili ya alivyonavyo ila ndio hivyo tena shetani keshaamua kuingilia urafiki wangu na huyu binadamu ambae kwa namna moja au nyingine naamini ndie malaika wa mungu aliepo hapa dunuani

Japokuwa pia kweli nikiri nilishawahi kupata ushawishi wa kuroga ili nipate pesa zaidi maana mnajua binadamu tumeumbiwa tamaa ila naogopa kufikia huko maana naweza kujaribu nikamroga jamaa angu kweli na ninampenda kuliko kitu chochote kile inabidi tu nivunge

Mwaka jana hao jamaa wa kusoma kuna mtoto mmoja wa kishua alinyea kambi kampa mtoto wa kilokole mimba na familia yake swala tano, wakaamua kumtenga na jamaa ndo kafa kaoza kwa mtoto wa kirokole, akaone sio mbaya mbona wengine tunasurvive tu ile hali tuliwahi kunyea kambi, akaja mtaani nikamtia moyo pambana ila nikiwa najua huyu mshamba atakimbilia biashara na ataagukia pua, kweli week moja kafungua glocelly maana kunaballance alikuwa nayo kwa account yake kabla hajawa betrayal in the city, alivyofulia akaweka gari lake bondi kwa laki tano ili aishi, kashindwa kulitoa BREVIS namba DTX ikabidi anifuate akitaka tuliuze ikabidi nimvue Kwa 7.5 hapa nikipita mtaani jamaa walionikazia kwenye disc chuo napishana nao wanakula vumbi huko kwa heavy work za saidia fund ili wapate kula nawapigia vumbi tu, Na mnaosema ninawalingia nawaombeni mnisamehe sana hawa kenge walinisemaga sana acha na mimi niwaseme kwanza

siazi hapa pori huwa siingii mara kwa mara ila nikihitaji hela ya fasta kama kawaida jasiri haachi asiri napaki kabrevis kangu hom natupia makoti na toyo yangu naingia chimbo nikirudi nina miambili yangu safi nafanyia kazi zangu kisha the rest product naweza ofsin untill the next season, Jamaa wa kusoma hadi sasa nimewapa wawili kati yao bodaboda za mkataba kila siku buku 10 kwa miezi kumi na tatu wakimaliza tuachane nao wakajipambanie wenyewe, na mwingine mwezi huu tunakamamilisha mkataba nimpe Bajaj TVS 7.6milion mkataba miaka miwili kila siku elfu 20, nategemea kuingiza karbia 14m kupita yeye.

Kuhusu familia ya wife kuna kupindi mawasiliano yalirudi na walivyoskia ninajenga maana niliwaambia tu nimefungua kaofisi kadogo na kibanda cha kujihifadhi hawakuona deal, ila mungu mkubwa kaka ake wife kahamia kikazi hapa mjini na alipokuja hom alikuwa suprised kukuta nakaa katika kamjengo flani ivii na usafir nje umepakiwa, na mtoto wao yuko vizuri baada ya wiki moja mama mkwe alinipigia mwenyewe anaomba msamaha.

Ushauri, kazi yeyote inaweza kukufanya ufikie malengo yako ikiwa unaiheshimu na kuithamini

atakaehitaji maelezo ya hii kazi aje pm
Pongezi sana kidume
 
Habari wakuu,

Nimekaa na mada hii ni takribani miaka miwili kila nikianza kuandika uzi hapa najikuta naufuta na kwenda kwenye jukwaa cha chitchati na mahusiano kuandika stori za kusadikika, Ila sio kwamba huwa nashindwa kuandika lah hasha, huwa nashindwa kutoa connection bure bila malipo, Connection ambayo ilipaswa niitoe kwa galama kubwa, kama mnavyopewa connection za ajira, ila connection hii hapa ni zaidi ya ajira maana kufanikiwa ni 100% kwa atakaeifanya kwa malengo, na ninarudia tena HII ITAKUFANIKISHIA NDOTO ZAKO KAMA UKIIFANYA KWA MALENGO,

Kwanza kabla ya yote natoa angalizo kuwa uzi huu utakuwa mrefu sana, ili wale wanaopenda shortcut wapite kushoto tubaki na wanaoamini katika maisha hakuna mkato, ili wapate kusoma uzi huu hatua kwa hatua na waelewe

Ndani ya uzi huu kutakuwa na falsafa mbalimbali ambazo ingefaa kwa yeyote atakaechukua maamzi yampasa azifuate ili afanikiwe, Pia nawatahadharisha kuwa hakuna shortcut katika maisha na hakuna mafanikio ya urahisi.

Pia hakuna Dunia ya wasomi wala maisha ya wasomi kwa maana hiyo namaanisha hata ukisoma ukapata madegree 300 mwisho wa siku hautapata dunia yako peke yako bali maisha utakayoishi ni hayahaya ya jamii ambayo wanaishi akina Pwagu na Pwaguzi ambao hata darasa la kwanza hawakuingia na michongo mtakayofanya ni hii hii tu ambayo na hao akina Pwagu wanafanya ila tungetegemea kuona elimu yako inakupa uziada yaani ujitofautishe kidogo kwa maana kwamba ufanye kazi hizohizo wanazofanya wao ila wewe uweke uziada wa elimu yako kujitofautisha na wao na hapo wataona vumbi tu hakuna atakaekuwa karibu na wewe kimafanikio niaminini mafanikio sio uchawi japokuwa pia sikatai kuwa hakuna mafanikio ya uchawi, ila swali ni kwanini uroge na huku pesa ipo ukipata connection nzuri?

Yaani hilo la kuroga inatakiwa uliweke last periolity kuwa umepambana kwa kila njia umeshindwa hapo kama ni kuroga karoge bro Umasikini ni laana, Umasikini ni wakukimbiwa na kuogopwa, hata kabla hujaogopa simba na wanyama wote wa kutisha cha kwanza ogopa Umasikini bro, nakuruhusu karoge kama ukishindwa kabisa kwa kila namna kama unaamini mafanikio yapo katika uchawi basi roga boss wangu mara kumi kutembea mtaani uchi badae ukivaa nguo upate pesa ya kutosha kuliko kutembea uchi na kishinda njaa kisa hauna hela ya mavazi na chakula ukiona mtu anakuambia kuwa bora yeye na umasikini wake ila anaishi kwa amani mhurumie maana hajui alinenalo wala atendayo hakuna masikini wenye amani dunia hii.

Tuendelee na kipengere cha Connection ila kabla ya connection yenyewe napenda kuwafumbua macho kwa wasiojua kuwa
KUNA BIASHARA NA KUNA MICHONGO YA HELA. Yaani kuna biashara na kuna michongo ya hela, hivi ni vitu viwili tofauti na havifanani kabisa, na moja ya tofauti zilizopo kati ya hivi vitu ni kwamba Biashara zipo wazi sana yaani biashara zipo katika kila kichwa cha mtu, ila michongo ya hela imejificha na sio rahisi sana mtu kuwazia kuwa kupitia hio shughuli atapata pesa nzuri.

Pia biashara haihitaji connection maana kila mtu anaona na anamawazo ya biashara ila michongo ya hela lazima connection maana watu wengi hawawazii shughuli hizo, Biashara ni rahisi kuheshimisha mtu katika jamii hata kama anaugulia maumivu ya hasara lakini jamii itamuona shujaa hadi siku atakayofunga biashara baada ya kufiriska kwa kukosa masirahi ila michongo ya hela haiheshimishi mhusika hadi atakapofanya makubwa katika jamii ndio watashtuka na watakuwa washachelewa na huishia kusema ameroga, Utofauti wa mwisho ni kwamba biashara hukabiliwa na changamoto za macho ya husda na wivu ila michongo ya pesa haikabiliwi na macho ya husda na wivu maana wenye husda wenyewe wanaweza kuwa side ya kukuombea ufanikiwe au kukuhurumia, nadhani hapa mtanielewa vizuri mkiendelea na huu uzi.

Hapa tuendelee na mada yetu ila kwa sasa turudi kwanza kwenye wasfu binafsi wa mtoa uzi.

Yaani lengo langu ni kuwakera wapenda shotcuts ili wasiendelee na uzi maana watu wa aina hii wavivu wa kusoma ndio haohao wavivu wa kufikiria na ndio wepesi wa kuropoka na kuongea vitu pasipo reference sasa dawa yao ni ndogo tu ni kwenda nao route ndefu wakipumua wakiishiwa pumzi njiani ndio ushindi wenyewe tunatangazwa wanabaki hukohuko sisi tunalisongesha mbele, Mpambanaji hachoki sasa wewe unachokaje kirahisi hivyo bro!

OK tuendelee, Miaka kadhaa nilichaguliwa kusoma chuo kikuu maarufu sana hapa Bongoland kozi Ilikuwa inaitwa BACHELOR OF ARTS IN KISWAHILI LITERATURE kama sikosei maana hiyo kozi yenyewe nimeandika kizungu na kama mlivyoona kozi yenyewe ni ya waswahili kwa hiyo kama nimekosea uandishi turekebishane kwa wema kama na mimi nilivyodhamiria kuandika kwa wema, Kozi zipo nyingi bwana mkiona wadogo zenu wanasoma vyuo vikuu mjue kuwa huko kuna masomo mengi sana.

Ila kibarua binafsi wasomi wa kozi hiyo ukiwauliza wamesomea nini kwa maana ya kazi gani wakiwa pamoja wawili lazima kila mtu atakupa majibu kulingana na mtazamo wake binafsi, yaani ninavyodhani ni miongoni mwa kozi ambazo wasomi wake kila mtu anajua alichokisomea kwa mtazamo wake binafsi, japokuwa kozi kama hizi zipo nyingi sana pale UDSM.

Mwanzoni kipindi nalipoti nilijua naenda kusomea ualimu wa kiswahili ila kufika huko mambo yalibadilika kumbe nilikuwa nimeingia cha kike ila sikujilaumu sana maana tulikuwa wengi kwa hiyo kwa kipindi kile tulikuwa tunatiana mioyo kuwa tukisoma Masters na kuendelea tutakuja kwenda ulaya kufundisha kiswahili huko, ila hizi zilikuwa akili za kitoto maana kila mtu alikuwa anajua tunasema vile kwa sababu ya nguvu ya mkopo, Tulijua na mastars tutapata mkopo.anyway tuachane na hayo yashapita.

Tulikula msuli miaka kama miwili yaani ile funika funua sup zinakuja tunarudi tunazichomoa kama kawaida maisha ya chuo ni kukamiana sup ni kawaida sana kwa mwanachuo hasa sisi tuliokuwa mabishoo, Pia hapa niwapongeze ndugu zangu wasukuma wako vizuri sana kwa kweli huwa sio wepesi kusarrenda yaani mpe hata sup hata 5 kikubwa tu asiwe na bellow GPA ujue hizo sup zote zimeumia yaani akirudi anazichomoa zote anarudi piruu piruru kabisa anabaki anasubiria module za next semista, Heshima yenu ndugu zetu wasukuma. Tumekimbiza module hadi ikafika mwaka wa pili tunatakiwa kwenda fild au elimu ya vitendo, ila kabla twende mbali kote naomba niwarejeshe nyuma kidogo kuna kitu nimekisahau hapa.

Nakumbuka mwaka wa kwanza tu nikawa nimemtundika mimba mtoto wawatu, mda tumerudi rikizo ya mwaka wa kwanza kujiandaa kurudi mwaka wa pili Binti alirudi kwao na zygote kama miezi mitatu hivi ile tapikatapika alikumbana nayo akiwa rikizo kwao japokuwa yeye alikuwa kozi tofauti na mimi kwa mwaka ule alikuwa na fild huko kwao, Kibaya zaidi kumbe yule mtoto alikuwa ashafanyiwa booking kitambo kwao walishakula vya watu na kule chuoni jamaa ndie anawajibika anasomesha cha ajabu manzi karudi kwao na zygote ni balaa kwao hawamtaki na kwenda kwa jamaa manzi hataki tena kikawa kimbembe, Wanasema siku ya kufa nyani miti yote huteleza yule manzi kwa kuwa alikuwa na ile pesa ya kujikimu fild akaona isiwe noma akapanga mtaani ili amalize fild arudi zake chuo, ila matokeo yametoka manzi yupo Bellow GPA inamaana chuo kwake tena imebaki stori.

Tegemeo lake limebaki kwangu na mimi kwao na yule jamaa kanipiga kanichimba mkwara ile mbaya kasema anakuja chuo kunishtaki kwa kumpa mimba mke wake, yaani imekuwa mvurugano tupu, Manzi anadai anataka kuja hom na hom nikiangalia sina kitanda wala pakulala kuna chumba kimoja tu tena nyumba ya majani na hiko kibanda tunashare na bro zangu wawili, pili hom kuna bro wangu watatu mbele hawajaoa kiutamaduni hairuhusiwi niowe kabla ya kaka zangu, kwa hiyo ni balaa tupu kila ninapogusa pagumu, hamna unafuu, Mungu saidia kwenye matokeo nikawa nimelamba sup kama mbili hivi hii nilimshukuru mungu maana ililazimu niondoke hom mapema ili nikapige sup, hapo nikachangiwa na familia nikaondoka mwezi wa tisa kurudi chuo, kufika nikapanga chumba kwa mda kigodoro nchi mbili chini na sahani moja na kakomputor kangu over!

Nikawaza nikawazua nimemharibia maisha mtoto wawatu japokuwa kwa upande mwingine ningemlaumu kwa kuwa hakuwahi kuniambia kuwa alikuwa ana mchumba anaemsomesha, ila nilijijibu mwenyewe kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu na sikuona haja ya kuendelea kumlaumu na kumtesa, kwao wamempa option ya kutoa ile mimba aende kwa jamaa na mtoto kagoma kutoa ikafkia mda akawa analala hadi nje kwao hawamtaki na kwa jamaa hataki kwenda, japokuwa jamaa alikubali hata kulea mimba ila mwanamke ndio akawa hamtaki tena(mungu amzidishie yule mwamba kwa upendo aliokuwa nao maana kuna kipindi alikuwa ananipigia hadi analia nimemharibia familia)

Nikaona isiwe tabu nikamtumia nauli akatimba geto na maisha yakaanza kama utani ndio ikawa ndoa hivyo hadi leo tuna watoto wawili, na ni mwanamke mwema sana na mwelewa na sijawai kuona hata chembe ya usaliti kwake japo nilimpata kwa njia ya usaliti kwa mtu wake. Hapa maisha yalibadilika ubishoo ukaniisha nikawa sina furaha tena chuoni, mahudhurio yakawa hafifu kwenye disscussions nikawa sio mhudhuriaji nikakonda sana hadi watu walihisi ninaumwa kuna wana niliwapoteza kabisa kwa kuoan nimewahi maisha, ilifikia mda nikawa nalia peke yangu, ishalah wife akaja akajifungua mtoto wa kiume ndio akawa fuhaya yangu japokuwa kwa upande mwingine ndio ugumu ukaongezeka

Bum likitoka unaligawa ila kabla ya miezi miwili linakata najikuta nimekopa nakosa kula hata siku mbili na wife na kichanga, huku nyuma kwao wife mambo safi ila keshanyea kambi hawana msaada nae wala hawamtaki hom ndio hivyo hamna chochote hata ni aibu kuomba msaada kwake, Kwa kweli kipindi hiki hata nywele nilikuwa sichani wala kupiga mswaki yaani nikienda darasani naona kila mtu ananicheka nilipoteza mvuto kabisa imagine handsom wa darasa leo hii mimi ndio zoba wa darasa sina cha nguo mpya wala smartphone ilifikia mda nikawa nawatamani hadi wale waliokuwa wakinitamani zamani,

Turejee kwenye kwenda fild mwaka wa pili mwishoni, yani mda wote huo nilikuwa sina wazo la kuwazia maisha baada ya chuo kwa maana ajira bado nilikuwa nasomea kitu nisichokijua, ila walipoleta form za kujaza sehemu za kwenda kufanyia fild ndio ikawa balaa hakuna anaejua wapi twende hadi mwalimu mlezi wa darasa nae hajui baada ya majadiliano ikabidi wengine waende Mwanainchi uhariri na wengine ofisi za utamaduni japokuwa nafasi zilikuwa ngumu sana, yaani nafasi ya kwenda kufanya fild tulizipata kwa connection, na kuanzia hapo ndio nikaanza kuwaza maisha yangu nilivyojitowa kusomea kitu ambacho sijui ni kitu gani

Hapo nilienda fild ila hela ya kujikimu kipindi cha fild niliibana na fild niliomba sehem ambayo nilikaa kwa ndugu, baada ya fild ikabidi nitafte pikipiki used nilinunua pikipiki laki sita yaani ilikuwa imechoka balaa nikaipiga service nikawa naendea chuo na mida ya jioni napiga bodaboda mjini, mimi nilikuw aningia kupiga bodaboda usiku kuanzia saamoja jioni hadi saa nane usiku narud kulala na ninarudi na hela nzuri kidogo kwa kipindi kile nilikuwa naweza kuingiza elfu 30 hadi 40 dili likikaa vzuri, ukilinganisha na maisha ya awali nilianza kuona kaunafuu kidogo na tabasamu likaanza kurudi kwa mbaali.

Ila hapa sasa utoro uliongezeka chuoni maana tayari nilikuwa nishaanza kuwa na mashaka kuhusu kitu ninachohangaikia,

Nakumbuka semista ya kwanza mwaka wa tatu tulipewa test ambayo ilikuwa inahusisha makundi nimepigiwa simu na jamaa yangu nimefika watu wameshaingia kwenye chumba cha mtihani ijapokuwa sikuchelewa ila jamaa wakanikataa ambao tulikuwa nao group moja na almost wote walikuwa washikaji zangu awali na tulijuana ila wakanifanyia roho mbaya, huwa kwa utamaduni wangu sijui kubembeleza mtu na huwa naogopa sana kujishushia utu wangu kwa mtu yeyote nikaamua kuondoka mda uleule nikatoka nje nikachukua pikipiki yangu nikaondoka nyumbani na ikawa ndio mwisho wa kurudi chuo na sikutaka kufuatilia chochote, ilifikia mda hadi napigiwa simu na mkuu wa idara ameona sijafanya mtihani na matokeo yangu yapo vzuri ila sikutaka tena kuendelea (nikikumbuka hii siku naondoka huwa nalia na inaniongezea hasira mara100 ya kutafta hela)

Nikaigia mtaani rasmi kupiga bodaboda ila napo ikawa changamoto kila sehemu ninayopaki wananifukuza kwa kigezo kuwa sina kijiwe, ikabid niwe nashinda zangu hom hadi mida ya usiku ndio naingia mjini kupiga bodaboda by the way it was too risk ukizingatia miaka ile matukio ya utekaji yalikuwa mengi sana na baridi za usiku zikawa ndio ndugu na ndio maisha yangu.

To the point, hapa sasa ndio kuna point ya mhimu na kama mnakumbuka awali niliwaambia katika maisha usomi sio vyeti ila ni application maana hamna dunia ya msomi wala wasomi, hapa ninamaanisha kuwa nilivyorudi mtaani nilikuwa bdodaboda kitu ambacho hata akina pwagu na pwaguzi wanakimiliki ila nilijiongeza kupitia pikipiki nikawa naweza kuingiza faida ya laki 2 hadi tatu kwa siku moja na hii ndio connection yenyewe,,

Pia nikumbushe kuwa uaminifu ni hazina na kuongea na watu ni hazina kubwa zaidi, Nakumbuka kuna jamaa flani nilikuwa namuona anatoka na bodaboda yake asubhi na anaweza kurudi baada ya siku mbili na akirudi anaweka kikao baa then baada ya mda anatoka,
Mwonekano wa jamaa akitoka anakuwa amevaa makoti matatu au manne na rainbut na box kubwa na akirudi akakuwa mwili mzima amejaa vumbi sana, Rejea awali niliwaambia mishe za pesa huwa hazifikiriki kirahisi alafu haziheshimishi na zinafanyika kwa connection tu!

Hapa kwa kuwa nilikuwa nipo tayari kwa lolote ilibidi nimfuate yule bro nikamuuliza bro huwa nakuona na mwonekano flani unapotea kama siku mbili au tatu na unarudi na ikirudi naona unaweka kikao baa naomba nipe ramani kaka, Jamaa alicheka sana akaniambia nyie wasomi someni tu hizi kazi hauziwezi, yaani jamaa alikataa kabisa akidai kuwa sitaweza kitu, na mwishoe aliagiza nipewe bia tano akalipia na kuondoka, kwa kweli iliniuma sana maana hata bora ile hela angenipa kuliko kunifanyia kufuru kuninunulia kitu ambacho sijamuomba na kibaya zaidi situmii,

Basi bana sikuchukua zile bia nikaamua kuondoka ila sikuchoka nilifuata tena na round hii nilimfuata kwake nikiamini jamaa nitamkuta akiwa hajala vyombo (ulevi) ila napo jamaa nilimkuta bado akanichomolea, Sasa hapa ambao hamjakata tamaa ya kufuatilia uzi huu ndio mjiulize yaani mimi nawapa connection bure tena kwa maumivu ya vidole na kusugua benchi natype alafu mjinga mmoja anataka apate connection ya shortcut ya kusoma aya mbili, hahahahaha mwafwaaaa! ngoja nimalizie, jamaa nilifuata kama mara tano hivi ila nakumbuka mara ya mwisho aliniambia tafta kama laki 3 au nne alafu uje nitakuelekeza kitu cha kufanya, kwa kweli nilichanganyikiwa wazee kwanza kuangalia jamaa kapanga ana bonge la flat TV sofa na vitu kibao ndan amepanga chumba na sebure huku mimi na elimu yangu nimepanga eneo ninalipa kodi ya efu20 napo ikifika mda wa kulipa kodi tunataftana na maza haose, Huyu mama nikipata mda nitakuja kuwaelezea visa vyake siku nikiamka poa sema hapa ngoja niwapumzishe vijana wenye uchu wa kutaka kujua connection

Bahati nzuri nilikuwa na kakibubu nadumbukiza bukubuku, buku mbili sikuwa na uhakika katakuwa na shi ngapi ila nilikua hakawezi kupungua laki 2, safari ikaanza chap hadi ndani breki ya kwanza nilipokavunja nikatafta utulivu nikahesabu hela nikajikuta nilikuwa na laki3 na thelathini na saba kama sikosei, hata sikukaa wala kula nikarudi kwa jamaa hata ule ujasiri na imani sijui niliutoa wapi asee, nilifika nikamkabidhi jamaa kisha nikakaa zangu kwenye koch sebureni kwake jamaaa akazihesabu alipomaliza akataja kiwango kilekile nilichokiona mimi, kisha akaingia chumbani baada ya mda akatoka bila kunisemesha akaingiza mkono mfukon mwake akatoa burungutu la hela akahesabu kumikumi mara kumi jumla laki moja akachanganya na kile kiashi nilichokuwa nimempa akanikabidhi, mda huo mimi sielewi ni biashara gani ya kumpa mtu hela kisha akakuongezea zingine, akaniambia nihesabu tena nami nikafanya hivyo baada ya mda nikamjibu zipo laki nne na thelathini akaniambia twende, tukaongozana na jamaa hadi mjini kariakoo kwenye duka flani la mwarabu nikaona jamaa anapick vitu mbalimbali hapa sitavitaja maana vitakuwa vingi anaehitaji atakuja pm nitamtumia orodha.

kisha tukarudi jamaa akanipa mchanganuo bei alizochukulia kisha akaniambia kesho njoo

Usiku ule nimelala hata sielewi ni biashara gani tunatakiwa kufanya ila nakumbuka jamaa aliniambia kuwa amenikopesha laki moja kwa kuwa ana uhakika 100% kuwa hela yake nitairudisha maana bishara anayoenda kunifundisha haijawahi kuwa na hasara, hivyo hana wasiwasi laki yake itarudi

Asubuhi imefika jamaa ndio alikuja kuniamsha tukafunga mzigo tukaingia barabarani chocho to chocho kijiji kwa kijiji mara kwa mbali tukaliacha jiji tukaingia barabara ya vumbi tukazidi kwenda tukafika kakijiji flani jamaa kasimama tukaenda dukani jamaa akashuka akanadi bidhaa nashangaa jamaa palepale amempa jamaa bidhaa kama 10 hivi tumetoka pale na kama efu 80, tukahamia duka la pili hapa jamaa aliniprove wrong maana nilijua tutaanza kuuza kitu kimoja kimoja mfano tochi mojamoja ila woundwerfull enough jamaa alikuwa nauza kabox kazima, Pale duka la pili napo tukalamba kama 120 kwa mtu mmoja ila pale napo nikajifunza kitu kuwa jamaa ni mcheshi kuliko maelezo alafu anongea sana hadi kuna mda watu wanamchukulia hana akili vzuri pia nikaona kuna watu wananunua kwa kumuonea huruma ila wanampa hela nyingi , nilishangaa jamaa anauza bidhaa aliyoichukulia efu kumi anauza hadi elfu17 tena kwa bei ya jumla yaani bidhaa moja inatoa faida ya buku saba, hela mabayo kwa bodaboda unabeba abilia trip saba kutoka kariakoo hadi msimbazi

Tuliendelea hadi jioni tukarudi hom jamaa akaniambia hesabu bidhaa ziliozorudi nikakuta nimerudi na bidhaa zenye thamani nkama laki 2 na sabini hivi na kisha kuangalia mauzo nimeuza kama laki tano na themanini hapo napiga kuna faida kama laki na ushee na bado mzigo upo na unapesa nyingi ambayo ni faida maana hela ya kuchukulia tayari isharudi, Baada ya hapo jamaa akanirushia kijembe kilichonipa hasira zaidi kuwa endelea na bodaboda mjini maana ndio kazi za wasomi wa vyuo vikuu acha sisi makuruta tusio na shule tukomae na vumbi, Aisee nilishangaa siku nzima kuingiza laki kwa siku moja tena kwa kazi rahisi tu ya kuendesha pikipiki na kupaki dukani na kujiokotea hela alafu unaendelea next

Kesho yake nikachukua mzigo mwenyewe maana behind writting jamaa alinisomesha kila kitu na namna ya kuishi na wateja na namna ya kubuni route, Kwakeli next day nikaingia mwenyewe bila jamaa nikapiga kazi nikarudi na faida kama laki na themanini, sio mauzo namaanisha faida, kwa kuwa mawazo yangu hadi leo yalikuwa ya kulipiza kisasi kwa wale jamaa pale chuo walionidharau hadi nikaamua kuwaachia chuo chao, nikapiga kazi ndani ya week moja nikajikuta nina one milion, najua hapa mtabisha ila siwalazimishi muamini maana ni hela yangu amini za kwako wewe,

nikapambana after mwezi mmoja nilikuwa na kibunda changu smart ambacho sikuwahi kutegemea katika maisha yangu kukipata, yaani hela mabayo nilikuwa nafikilia pengine inaweza kupatikana kwa maiaka 10 et nimeipata kwa mwezi mmoja, nikasema ngoja ninunue kiwanja, kweli nikafanikiwa kununua kiwanja bado wana wapo chuo wanakomaa na shule

Mimi hasira zangu hadi leo ni kuwakomeshea tu nikasema ngoja nirundike tofari najua pengine nitashindwa kujenga ila kikubwa tu wakitoka chuo niwaoneshe kuwa ninakiwanja mjini, na mimeanza harakati za kujenga, Basi nikarundika tofari kimasihara nakijikuta nina bank ya tofari kama bukumbili blocks kwa hapa mjini tunaunua tofari moja buku la block hadi site ni buku na mia ila kwa tofari buku mbili zilichukua only wiki tatu ikawa tayari, kiuoga nikamleta fundi akanipiga bajet nikaona ngoja nianze msingi ili jamaa wakija wakute msingi niwakomeshee, mungu sio asumani ndani ya miezi mtatu nikawa nishanyanyua nyumba na kupaua kabisa, (sikulazimishi uamini) jamaa wametoka chuo tayari nakaa kwangu, ila nikajikuta najiona wa kawaida sana tofauti na nilivyodhani awali yaani nilijua nitawakomeshea ila baada ya kumaliza nikaona kama nyumba sio deal bado wataniona wa kawaida japokuwa nilijidanganya ni kweli jamaa walinipiga salute

Nikaamua kuchukua flem, nikawa kila nikiingia pori nikirudi naweka mali, baada ya mda maana pia mali za dukani sikuwa naziruhusu kutoka kwa kuwa nilikuwa natafta msingi na kutaka kuwaonesha nilivyojaza kweli kwa mda kadhaa mungu kajalia bidhaa zipo za kumwaga duka linasoma kwa sasa kama 10m na uchafu saizi linajiendesha jenyewe,

Wife ndio msimamizi wa duka na mimi nakomaa pori, cha kushangaza jamaa yangu alienipa connection nashangaa gafla kaninunia hata salamu hanipi naskia za chinichini anadai nimemroga na kumharibia kazi, japokuwa sijawahi kufikiria kuroga mtu alienitoa matopeni huwa nikiamka asubuhi hata kabla sijamsalimia wife huwa namuombea popote alipo mungu muongezee mara miambili ya alivyonavyo ila ndio hivyo tena shetani keshaamua kuingilia urafiki wangu na huyu binadamu ambae kwa namna moja au nyingine naamini ndie malaika wa mungu aliepo hapa dunuani

Japokuwa pia kweli nikiri nilishawahi kupata ushawishi wa kuroga ili nipate pesa zaidi maana mnajua binadamu tumeumbiwa tamaa ila naogopa kufikia huko maana naweza kujaribu nikamroga jamaa angu kweli na ninampenda kuliko kitu chochote kile inabidi tu nivunge

Mwaka jana hao jamaa wa kusoma kuna mtoto mmoja wa kishua alinyea kambi kampa mtoto wa kilokole mimba na familia yake swala tano, wakaamua kumtenga na jamaa ndo kafa kaoza kwa mtoto wa kirokole, akaone sio mbaya mbona wengine tunasurvive tu ile hali tuliwahi kunyea kambi, akaja mtaani nikamtia moyo pambana ila nikiwa najua huyu mshamba atakimbilia biashara na ataagukia pua, kweli week moja kafungua glocelly maana kunaballance alikuwa nayo kwa account yake kabla hajawa betrayal in the city, alivyofulia akaweka gari lake bondi kwa laki tano ili aishi, kashindwa kulitoa BREVIS namba DTX ikabidi anifuate akitaka tuliuze ikabidi nimvue Kwa 7.5 hapa nikipita mtaani jamaa walionikazia kwenye disc chuo napishana nao wanakula vumbi huko kwa heavy work za saidia fund ili wapate kula nawapigia vumbi tu, Na mnaosema ninawalingia nawaombeni mnisamehe sana hawa kenge walinisemaga sana acha na mimi niwaseme kwanza

siazi hapa pori huwa siingii mara kwa mara ila nikihitaji hela ya fasta kama kawaida jasiri haachi asiri napaki kabrevis kangu hom natupia makoti na toyo yangu naingia chimbo nikirudi nina miambili yangu safi nafanyia kazi zangu kisha the rest product naweza ofsin untill the next season, Jamaa wa kusoma hadi sasa nimewapa wawili kati yao bodaboda za mkataba kila siku buku 10 kwa miezi kumi na tatu wakimaliza tuachane nao wakajipambanie wenyewe, na mwingine mwezi huu tunakamamilisha mkataba nimpe Bajaj TVS 7.6milion mkataba miaka miwili kila siku elfu 20, nategemea kuingiza karbia 14m kupita yeye.

Kuhusu familia ya wife kuna kupindi mawasiliano yalirudi na walivyoskia ninajenga maana niliwaambia tu nimefungua kaofisi kadogo na kibanda cha kujihifadhi hawakuona deal, ila mungu mkubwa kaka ake wife kahamia kikazi hapa mjini na alipokuja hom alikuwa suprised kukuta nakaa katika kamjengo flani ivii na usafir nje umepakiwa, na mtoto wao yuko vizuri baada ya wiki moja mama mkwe alinipigia mwenyewe anaomba msamaha.

Ushauri, kazi yeyote inaweza kukufanya ufikie malengo yako ikiwa unaiheshimu na kuithamini

atakaehitaji maelezo ya hii kazi aje pm
Habari kiongozi, uzi wako umenigusa na umenipa chachu mimi kama kijana mpambanaji, kwa bahati mbaya huu uzi ndio nimeweza kuuona na kuusoma wote leo

Nimeshawishika na mm nifanye hio biashara, nimejaribu kuku PM ila pamefungwa mkuu

Msaada wako tafadhali, naomba nipate na mm hio connection
 
Habari kiongozi, uzi wako umenigusa na umenipa chachu mimi kama kijana mpambanaji, kwa bahati mbaya huu uzi ndio nimeweza kuuona na kuusoma wote leo

Nimeshawishika na mm nifanye hio biashara, nimejaribu kuku PM ila pamefungwa mkuu

Msaada wako tafadhali, naomba nipate na mm hio connection
Bado huoni dalili za mtu mbabaishaji? Unamjuwa Ontario?
 
Habari wakuu,

Nimekaa na mada hii ni takribani miaka miwili kila nikianza kuandika uzi hapa najikuta naufuta na kwenda kwenye jukwaa cha chitchati na mahusiano kuandika stori za kusadikika, Ila sio kwamba huwa nashindwa kuandika lah hasha, huwa nashindwa kutoa connection bure bila malipo, Connection ambayo ilipaswa niitoe kwa galama kubwa, kama mnavyopewa connection za ajira, ila connection hii hapa ni zaidi ya ajira maana kufanikiwa ni 100% kwa atakaeifanya kwa malengo, na ninarudia tena HII ITAKUFANIKISHIA NDOTO ZAKO KAMA UKIIFANYA KWA MALENGO,

Kwanza kabla ya yote natoa angalizo kuwa uzi huu utakuwa mrefu sana, ili wale wanaopenda shortcut wapite kushoto tubaki na wanaoamini katika maisha hakuna mkato, ili wapate kusoma uzi huu hatua kwa hatua na waelewe

Ndani ya uzi huu kutakuwa na falsafa mbalimbali ambazo ingefaa kwa yeyote atakaechukua maamzi yampasa azifuate ili afanikiwe, Pia nawatahadharisha kuwa hakuna shortcut katika maisha na hakuna mafanikio ya urahisi.

Pia hakuna Dunia ya wasomi wala maisha ya wasomi kwa maana hiyo namaanisha hata ukisoma ukapata madegree 300 mwisho wa siku hautapata dunia yako peke yako bali maisha utakayoishi ni hayahaya ya jamii ambayo wanaishi akina Pwagu na Pwaguzi ambao hata darasa la kwanza hawakuingia na michongo mtakayofanya ni hii hii tu ambayo na hao akina Pwagu wanafanya ila tungetegemea kuona elimu yako inakupa uziada yaani ujitofautishe kidogo kwa maana kwamba ufanye kazi hizohizo wanazofanya wao ila wewe uweke uziada wa elimu yako kujitofautisha na wao na hapo wataona vumbi tu hakuna atakaekuwa karibu na wewe kimafanikio niaminini mafanikio sio uchawi japokuwa pia sikatai kuwa hakuna mafanikio ya uchawi, ila swali ni kwanini uroge na huku pesa ipo ukipata connection nzuri?

Yaani hilo la kuroga inatakiwa uliweke last periolity kuwa umepambana kwa kila njia umeshindwa hapo kama ni kuroga karoge bro Umasikini ni laana, Umasikini ni wakukimbiwa na kuogopwa, hata kabla hujaogopa simba na wanyama wote wa kutisha cha kwanza ogopa Umasikini bro, nakuruhusu karoge kama ukishindwa kabisa kwa kila namna kama unaamini mafanikio yapo katika uchawi basi roga boss wangu mara kumi kutembea mtaani uchi badae ukivaa nguo upate pesa ya kutosha kuliko kutembea uchi na kishinda njaa kisa hauna hela ya mavazi na chakula ukiona mtu anakuambia kuwa bora yeye na umasikini wake ila anaishi kwa amani mhurumie maana hajui alinenalo wala atendayo hakuna masikini wenye amani dunia hii.

Tuendelee na kipengere cha Connection ila kabla ya connection yenyewe napenda kuwafumbua macho kwa wasiojua kuwa
KUNA BIASHARA NA KUNA MICHONGO YA HELA. Yaani kuna biashara na kuna michongo ya hela, hivi ni vitu viwili tofauti na havifanani kabisa, na moja ya tofauti zilizopo kati ya hivi vitu ni kwamba Biashara zipo wazi sana yaani biashara zipo katika kila kichwa cha mtu, ila michongo ya hela imejificha na sio rahisi sana mtu kuwazia kuwa kupitia hio shughuli atapata pesa nzuri.

Pia biashara haihitaji connection maana kila mtu anaona na anamawazo ya biashara ila michongo ya hela lazima connection maana watu wengi hawawazii shughuli hizo, Biashara ni rahisi kuheshimisha mtu katika jamii hata kama anaugulia maumivu ya hasara lakini jamii itamuona shujaa hadi siku atakayofunga biashara baada ya kufiriska kwa kukosa masirahi ila michongo ya hela haiheshimishi mhusika hadi atakapofanya makubwa katika jamii ndio watashtuka na watakuwa washachelewa na huishia kusema ameroga, Utofauti wa mwisho ni kwamba biashara hukabiliwa na changamoto za macho ya husda na wivu ila michongo ya pesa haikabiliwi na macho ya husda na wivu maana wenye husda wenyewe wanaweza kuwa side ya kukuombea ufanikiwe au kukuhurumia, nadhani hapa mtanielewa vizuri mkiendelea na huu uzi.

Hapa tuendelee na mada yetu ila kwa sasa turudi kwanza kwenye wasfu binafsi wa mtoa uzi.

Yaani lengo langu ni kuwakera wapenda shotcuts ili wasiendelee na uzi maana watu wa aina hii wavivu wa kusoma ndio haohao wavivu wa kufikiria na ndio wepesi wa kuropoka na kuongea vitu pasipo reference sasa dawa yao ni ndogo tu ni kwenda nao route ndefu wakipumua wakiishiwa pumzi njiani ndio ushindi wenyewe tunatangazwa wanabaki hukohuko sisi tunalisongesha mbele, Mpambanaji hachoki sasa wewe unachokaje kirahisi hivyo bro!

OK tuendelee, Miaka kadhaa nilichaguliwa kusoma chuo kikuu maarufu sana hapa Bongoland kozi Ilikuwa inaitwa BACHELOR OF ARTS IN KISWAHILI LITERATURE kama sikosei maana hiyo kozi yenyewe nimeandika kizungu na kama mlivyoona kozi yenyewe ni ya waswahili kwa hiyo kama nimekosea uandishi turekebishane kwa wema kama na mimi nilivyodhamiria kuandika kwa wema, Kozi zipo nyingi bwana mkiona wadogo zenu wanasoma vyuo vikuu mjue kuwa huko kuna masomo mengi sana.

Ila kibarua binafsi wasomi wa kozi hiyo ukiwauliza wamesomea nini kwa maana ya kazi gani wakiwa pamoja wawili lazima kila mtu atakupa majibu kulingana na mtazamo wake binafsi, yaani ninavyodhani ni miongoni mwa kozi ambazo wasomi wake kila mtu anajua alichokisomea kwa mtazamo wake binafsi, japokuwa kozi kama hizi zipo nyingi sana pale UDSM.

Mwanzoni kipindi nalipoti nilijua naenda kusomea ualimu wa kiswahili ila kufika huko mambo yalibadilika kumbe nilikuwa nimeingia cha kike ila sikujilaumu sana maana tulikuwa wengi kwa hiyo kwa kipindi kile tulikuwa tunatiana mioyo kuwa tukisoma Masters na kuendelea tutakuja kwenda ulaya kufundisha kiswahili huko, ila hizi zilikuwa akili za kitoto maana kila mtu alikuwa anajua tunasema vile kwa sababu ya nguvu ya mkopo, Tulijua na mastars tutapata mkopo.anyway tuachane na hayo yashapita.

Tulikula msuli miaka kama miwili yaani ile funika funua sup zinakuja tunarudi tunazichomoa kama kawaida maisha ya chuo ni kukamiana sup ni kawaida sana kwa mwanachuo hasa sisi tuliokuwa mabishoo, Pia hapa niwapongeze ndugu zangu wasukuma wako vizuri sana kwa kweli huwa sio wepesi kusarrenda yaani mpe hata sup hata 5 kikubwa tu asiwe na bellow GPA ujue hizo sup zote zimeumia yaani akirudi anazichomoa zote anarudi piruu piruru kabisa anabaki anasubiria module za next semista, Heshima yenu ndugu zetu wasukuma. Tumekimbiza module hadi ikafika mwaka wa pili tunatakiwa kwenda fild au elimu ya vitendo, ila kabla twende mbali kote naomba niwarejeshe nyuma kidogo kuna kitu nimekisahau hapa.

Nakumbuka mwaka wa kwanza tu nikawa nimemtundika mimba mtoto wawatu, mda tumerudi rikizo ya mwaka wa kwanza kujiandaa kurudi mwaka wa pili Binti alirudi kwao na zygote kama miezi mitatu hivi ile tapikatapika alikumbana nayo akiwa rikizo kwao japokuwa yeye alikuwa kozi tofauti na mimi kwa mwaka ule alikuwa na fild huko kwao, Kibaya zaidi kumbe yule mtoto alikuwa ashafanyiwa booking kitambo kwao walishakula vya watu na kule chuoni jamaa ndie anawajibika anasomesha cha ajabu manzi karudi kwao na zygote ni balaa kwao hawamtaki na kwenda kwa jamaa manzi hataki tena kikawa kimbembe, Wanasema siku ya kufa nyani miti yote huteleza yule manzi kwa kuwa alikuwa na ile pesa ya kujikimu fild akaona isiwe noma akapanga mtaani ili amalize fild arudi zake chuo, ila matokeo yametoka manzi yupo Bellow GPA inamaana chuo kwake tena imebaki stori.

Tegemeo lake limebaki kwangu na mimi kwao na yule jamaa kanipiga kanichimba mkwara ile mbaya kasema anakuja chuo kunishtaki kwa kumpa mimba mke wake, yaani imekuwa mvurugano tupu, Manzi anadai anataka kuja hom na hom nikiangalia sina kitanda wala pakulala kuna chumba kimoja tu tena nyumba ya majani na hiko kibanda tunashare na bro zangu wawili, pili hom kuna bro wangu watatu mbele hawajaoa kiutamaduni hairuhusiwi niowe kabla ya kaka zangu, kwa hiyo ni balaa tupu kila ninapogusa pagumu, hamna unafuu, Mungu saidia kwenye matokeo nikawa nimelamba sup kama mbili hivi hii nilimshukuru mungu maana ililazimu niondoke hom mapema ili nikapige sup, hapo nikachangiwa na familia nikaondoka mwezi wa tisa kurudi chuo, kufika nikapanga chumba kwa mda kigodoro nchi mbili chini na sahani moja na kakomputor kangu over!

Nikawaza nikawazua nimemharibia maisha mtoto wawatu japokuwa kwa upande mwingine ningemlaumu kwa kuwa hakuwahi kuniambia kuwa alikuwa ana mchumba anaemsomesha, ila nilijijibu mwenyewe kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu na sikuona haja ya kuendelea kumlaumu na kumtesa, kwao wamempa option ya kutoa ile mimba aende kwa jamaa na mtoto kagoma kutoa ikafkia mda akawa analala hadi nje kwao hawamtaki na kwa jamaa hataki kwenda, japokuwa jamaa alikubali hata kulea mimba ila mwanamke ndio akawa hamtaki tena(mungu amzidishie yule mwamba kwa upendo aliokuwa nao maana kuna kipindi alikuwa ananipigia hadi analia nimemharibia familia)

Nikaona isiwe tabu nikamtumia nauli akatimba geto na maisha yakaanza kama utani ndio ikawa ndoa hivyo hadi leo tuna watoto wawili, na ni mwanamke mwema sana na mwelewa na sijawai kuona hata chembe ya usaliti kwake japo nilimpata kwa njia ya usaliti kwa mtu wake. Hapa maisha yalibadilika ubishoo ukaniisha nikawa sina furaha tena chuoni, mahudhurio yakawa hafifu kwenye disscussions nikawa sio mhudhuriaji nikakonda sana hadi watu walihisi ninaumwa kuna wana niliwapoteza kabisa kwa kuoan nimewahi maisha, ilifikia mda nikawa nalia peke yangu, ishalah wife akaja akajifungua mtoto wa kiume ndio akawa fuhaya yangu japokuwa kwa upande mwingine ndio ugumu ukaongezeka

Bum likitoka unaligawa ila kabla ya miezi miwili linakata najikuta nimekopa nakosa kula hata siku mbili na wife na kichanga, huku nyuma kwao wife mambo safi ila keshanyea kambi hawana msaada nae wala hawamtaki hom ndio hivyo hamna chochote hata ni aibu kuomba msaada kwake, Kwa kweli kipindi hiki hata nywele nilikuwa sichani wala kupiga mswaki yaani nikienda darasani naona kila mtu ananicheka nilipoteza mvuto kabisa imagine handsom wa darasa leo hii mimi ndio zoba wa darasa sina cha nguo mpya wala smartphone ilifikia mda nikawa nawatamani hadi wale waliokuwa wakinitamani zamani,

Turejee kwenye kwenda fild mwaka wa pili mwishoni, yani mda wote huo nilikuwa sina wazo la kuwazia maisha baada ya chuo kwa maana ajira bado nilikuwa nasomea kitu nisichokijua, ila walipoleta form za kujaza sehemu za kwenda kufanyia fild ndio ikawa balaa hakuna anaejua wapi twende hadi mwalimu mlezi wa darasa nae hajui baada ya majadiliano ikabidi wengine waende Mwanainchi uhariri na wengine ofisi za utamaduni japokuwa nafasi zilikuwa ngumu sana, yaani nafasi ya kwenda kufanya fild tulizipata kwa connection, na kuanzia hapo ndio nikaanza kuwaza maisha yangu nilivyojitowa kusomea kitu ambacho sijui ni kitu gani

Hapo nilienda fild ila hela ya kujikimu kipindi cha fild niliibana na fild niliomba sehem ambayo nilikaa kwa ndugu, baada ya fild ikabidi nitafte pikipiki used nilinunua pikipiki laki sita yaani ilikuwa imechoka balaa nikaipiga service nikawa naendea chuo na mida ya jioni napiga bodaboda mjini, mimi nilikuw aningia kupiga bodaboda usiku kuanzia saamoja jioni hadi saa nane usiku narud kulala na ninarudi na hela nzuri kidogo kwa kipindi kile nilikuwa naweza kuingiza elfu 30 hadi 40 dili likikaa vzuri, ukilinganisha na maisha ya awali nilianza kuona kaunafuu kidogo na tabasamu likaanza kurudi kwa mbaali.

Ila hapa sasa utoro uliongezeka chuoni maana tayari nilikuwa nishaanza kuwa na mashaka kuhusu kitu ninachohangaikia,

Nakumbuka semista ya kwanza mwaka wa tatu tulipewa test ambayo ilikuwa inahusisha makundi nimepigiwa simu na jamaa yangu nimefika watu wameshaingia kwenye chumba cha mtihani ijapokuwa sikuchelewa ila jamaa wakanikataa ambao tulikuwa nao group moja na almost wote walikuwa washikaji zangu awali na tulijuana ila wakanifanyia roho mbaya, huwa kwa utamaduni wangu sijui kubembeleza mtu na huwa naogopa sana kujishushia utu wangu kwa mtu yeyote nikaamua kuondoka mda uleule nikatoka nje nikachukua pikipiki yangu nikaondoka nyumbani na ikawa ndio mwisho wa kurudi chuo na sikutaka kufuatilia chochote, ilifikia mda hadi napigiwa simu na mkuu wa idara ameona sijafanya mtihani na matokeo yangu yapo vzuri ila sikutaka tena kuendelea (nikikumbuka hii siku naondoka huwa nalia na inaniongezea hasira mara100 ya kutafta hela)

Nikaigia mtaani rasmi kupiga bodaboda ila napo ikawa changamoto kila sehemu ninayopaki wananifukuza kwa kigezo kuwa sina kijiwe, ikabid niwe nashinda zangu hom hadi mida ya usiku ndio naingia mjini kupiga bodaboda by the way it was too risk ukizingatia miaka ile matukio ya utekaji yalikuwa mengi sana na baridi za usiku zikawa ndio ndugu na ndio maisha yangu.

To the point, hapa sasa ndio kuna point ya mhimu na kama mnakumbuka awali niliwaambia katika maisha usomi sio vyeti ila ni application maana hamna dunia ya msomi wala wasomi, hapa ninamaanisha kuwa nilivyorudi mtaani nilikuwa bdodaboda kitu ambacho hata akina pwagu na pwaguzi wanakimiliki ila nilijiongeza kupitia pikipiki nikawa naweza kuingiza faida ya laki 2 hadi tatu kwa siku moja na hii ndio connection yenyewe,,

Pia nikumbushe kuwa uaminifu ni hazina na kuongea na watu ni hazina kubwa zaidi, Nakumbuka kuna jamaa flani nilikuwa namuona anatoka na bodaboda yake asubhi na anaweza kurudi baada ya siku mbili na akirudi anaweka kikao baa then baada ya mda anatoka,
Mwonekano wa jamaa akitoka anakuwa amevaa makoti matatu au manne na rainbut na box kubwa na akirudi akakuwa mwili mzima amejaa vumbi sana, Rejea awali niliwaambia mishe za pesa huwa hazifikiriki kirahisi alafu haziheshimishi na zinafanyika kwa connection tu!

Hapa kwa kuwa nilikuwa nipo tayari kwa lolote ilibidi nimfuate yule bro nikamuuliza bro huwa nakuona na mwonekano flani unapotea kama siku mbili au tatu na unarudi na ikirudi naona unaweka kikao baa naomba nipe ramani kaka, Jamaa alicheka sana akaniambia nyie wasomi someni tu hizi kazi hauziwezi, yaani jamaa alikataa kabisa akidai kuwa sitaweza kitu, na mwishoe aliagiza nipewe bia tano akalipia na kuondoka, kwa kweli iliniuma sana maana hata bora ile hela angenipa kuliko kunifanyia kufuru kuninunulia kitu ambacho sijamuomba na kibaya zaidi situmii,

Basi bana sikuchukua zile bia nikaamua kuondoka ila sikuchoka nilifuata tena na round hii nilimfuata kwake nikiamini jamaa nitamkuta akiwa hajala vyombo (ulevi) ila napo jamaa nilimkuta bado akanichomolea, Sasa hapa ambao hamjakata tamaa ya kufuatilia uzi huu ndio mjiulize yaani mimi nawapa connection bure tena kwa maumivu ya vidole na kusugua benchi natype alafu mjinga mmoja anataka apate connection ya shortcut ya kusoma aya mbili, hahahahaha mwafwaaaa! ngoja nimalizie, jamaa nilifuata kama mara tano hivi ila nakumbuka mara ya mwisho aliniambia tafta kama laki 3 au nne alafu uje nitakuelekeza kitu cha kufanya, kwa kweli nilichanganyikiwa wazee kwanza kuangalia jamaa kapanga ana bonge la flat TV sofa na vitu kibao ndan amepanga chumba na sebure huku mimi na elimu yangu nimepanga eneo ninalipa kodi ya efu20 napo ikifika mda wa kulipa kodi tunataftana na maza haose, Huyu mama nikipata mda nitakuja kuwaelezea visa vyake siku nikiamka poa sema hapa ngoja niwapumzishe vijana wenye uchu wa kutaka kujua connection

Bahati nzuri nilikuwa na kakibubu nadumbukiza bukubuku, buku mbili sikuwa na uhakika katakuwa na shi ngapi ila nilikua hakawezi kupungua laki 2, safari ikaanza chap hadi ndani breki ya kwanza nilipokavunja nikatafta utulivu nikahesabu hela nikajikuta nilikuwa na laki3 na thelathini na saba kama sikosei, hata sikukaa wala kula nikarudi kwa jamaa hata ule ujasiri na imani sijui niliutoa wapi asee, nilifika nikamkabidhi jamaa kisha nikakaa zangu kwenye koch sebureni kwake jamaaa akazihesabu alipomaliza akataja kiwango kilekile nilichokiona mimi, kisha akaingia chumbani baada ya mda akatoka bila kunisemesha akaingiza mkono mfukon mwake akatoa burungutu la hela akahesabu kumikumi mara kumi jumla laki moja akachanganya na kile kiashi nilichokuwa nimempa akanikabidhi, mda huo mimi sielewi ni biashara gani ya kumpa mtu hela kisha akakuongezea zingine, akaniambia nihesabu tena nami nikafanya hivyo baada ya mda nikamjibu zipo laki nne na thelathini akaniambia twende, tukaongozana na jamaa hadi mjini kariakoo kwenye duka flani la mwarabu nikaona jamaa anapick vitu mbalimbali hapa sitavitaja maana vitakuwa vingi anaehitaji atakuja pm nitamtumia orodha.

kisha tukarudi jamaa akanipa mchanganuo bei alizochukulia kisha akaniambia kesho njoo

Usiku ule nimelala hata sielewi ni biashara gani tunatakiwa kufanya ila nakumbuka jamaa aliniambia kuwa amenikopesha laki moja kwa kuwa ana uhakika 100% kuwa hela yake nitairudisha maana bishara anayoenda kunifundisha haijawahi kuwa na hasara, hivyo hana wasiwasi laki yake itarudi

Asubuhi imefika jamaa ndio alikuja kuniamsha tukafunga mzigo tukaingia barabarani chocho to chocho kijiji kwa kijiji mara kwa mbali tukaliacha jiji tukaingia barabara ya vumbi tukazidi kwenda tukafika kakijiji flani jamaa kasimama tukaenda dukani jamaa akashuka akanadi bidhaa nashangaa jamaa palepale amempa jamaa bidhaa kama 10 hivi tumetoka pale na kama efu 80, tukahamia duka la pili hapa jamaa aliniprove wrong maana nilijua tutaanza kuuza kitu kimoja kimoja mfano tochi mojamoja ila woundwerfull enough jamaa alikuwa nauza kabox kazima, Pale duka la pili napo tukalamba kama 120 kwa mtu mmoja ila pale napo nikajifunza kitu kuwa jamaa ni mcheshi kuliko maelezo alafu anongea sana hadi kuna mda watu wanamchukulia hana akili vzuri pia nikaona kuna watu wananunua kwa kumuonea huruma ila wanampa hela nyingi , nilishangaa jamaa anauza bidhaa aliyoichukulia efu kumi anauza hadi elfu17 tena kwa bei ya jumla yaani bidhaa moja inatoa faida ya buku saba, hela mabayo kwa bodaboda unabeba abilia trip saba kutoka kariakoo hadi msimbazi

Tuliendelea hadi jioni tukarudi hom jamaa akaniambia hesabu bidhaa ziliozorudi nikakuta nimerudi na bidhaa zenye thamani nkama laki 2 na sabini hivi na kisha kuangalia mauzo nimeuza kama laki tano na themanini hapo napiga kuna faida kama laki na ushee na bado mzigo upo na unapesa nyingi ambayo ni faida maana hela ya kuchukulia tayari isharudi, Baada ya hapo jamaa akanirushia kijembe kilichonipa hasira zaidi kuwa endelea na bodaboda mjini maana ndio kazi za wasomi wa vyuo vikuu acha sisi makuruta tusio na shule tukomae na vumbi, Aisee nilishangaa siku nzima kuingiza laki kwa siku moja tena kwa kazi rahisi tu ya kuendesha pikipiki na kupaki dukani na kujiokotea hela alafu unaendelea next

Kesho yake nikachukua mzigo mwenyewe maana behind writting jamaa alinisomesha kila kitu na namna ya kuishi na wateja na namna ya kubuni route, Kwakeli next day nikaingia mwenyewe bila jamaa nikapiga kazi nikarudi na faida kama laki na themanini, sio mauzo namaanisha faida, kwa kuwa mawazo yangu hadi leo yalikuwa ya kulipiza kisasi kwa wale jamaa pale chuo walionidharau hadi nikaamua kuwaachia chuo chao, nikapiga kazi ndani ya week moja nikajikuta nina one milion, najua hapa mtabisha ila siwalazimishi muamini maana ni hela yangu amini za kwako wewe,

nikapambana after mwezi mmoja nilikuwa na kibunda changu smart ambacho sikuwahi kutegemea katika maisha yangu kukipata, yaani hela mabayo nilikuwa nafikilia pengine inaweza kupatikana kwa maiaka 10 et nimeipata kwa mwezi mmoja, nikasema ngoja ninunue kiwanja, kweli nikafanikiwa kununua kiwanja bado wana wapo chuo wanakomaa na shule

Mimi hasira zangu hadi leo ni kuwakomeshea tu nikasema ngoja nirundike tofari najua pengine nitashindwa kujenga ila kikubwa tu wakitoka chuo niwaoneshe kuwa ninakiwanja mjini, na mimeanza harakati za kujenga, Basi nikarundika tofari kimasihara nakijikuta nina bank ya tofari kama bukumbili blocks kwa hapa mjini tunaunua tofari moja buku la block hadi site ni buku na mia ila kwa tofari buku mbili zilichukua only wiki tatu ikawa tayari, kiuoga nikamleta fundi akanipiga bajet nikaona ngoja nianze msingi ili jamaa wakija wakute msingi niwakomeshee, mungu sio asumani ndani ya miezi mtatu nikawa nishanyanyua nyumba na kupaua kabisa, (sikulazimishi uamini) jamaa wametoka chuo tayari nakaa kwangu, ila nikajikuta najiona wa kawaida sana tofauti na nilivyodhani awali yaani nilijua nitawakomeshea ila baada ya kumaliza nikaona kama nyumba sio deal bado wataniona wa kawaida japokuwa nilijidanganya ni kweli jamaa walinipiga salute

Nikaamua kuchukua flem, nikawa kila nikiingia pori nikirudi naweka mali, baada ya mda maana pia mali za dukani sikuwa naziruhusu kutoka kwa kuwa nilikuwa natafta msingi na kutaka kuwaonesha nilivyojaza kweli kwa mda kadhaa mungu kajalia bidhaa zipo za kumwaga duka linasoma kwa sasa kama 10m na uchafu saizi linajiendesha jenyewe,

Wife ndio msimamizi wa duka na mimi nakomaa pori, cha kushangaza jamaa yangu alienipa connection nashangaa gafla kaninunia hata salamu hanipi naskia za chinichini anadai nimemroga na kumharibia kazi, japokuwa sijawahi kufikiria kuroga mtu alienitoa matopeni huwa nikiamka asubuhi hata kabla sijamsalimia wife huwa namuombea popote alipo mungu muongezee mara miambili ya alivyonavyo ila ndio hivyo tena shetani keshaamua kuingilia urafiki wangu na huyu binadamu ambae kwa namna moja au nyingine naamini ndie malaika wa mungu aliepo hapa dunuani

Japokuwa pia kweli nikiri nilishawahi kupata ushawishi wa kuroga ili nipate pesa zaidi maana mnajua binadamu tumeumbiwa tamaa ila naogopa kufikia huko maana naweza kujaribu nikamroga jamaa angu kweli na ninampenda kuliko kitu chochote kile inabidi tu nivunge

Mwaka jana hao jamaa wa kusoma kuna mtoto mmoja wa kishua alinyea kambi kampa mtoto wa kilokole mimba na familia yake swala tano, wakaamua kumtenga na jamaa ndo kafa kaoza kwa mtoto wa kirokole, akaone sio mbaya mbona wengine tunasurvive tu ile hali tuliwahi kunyea kambi, akaja mtaani nikamtia moyo pambana ila nikiwa najua huyu mshamba atakimbilia biashara na ataagukia pua, kweli week moja kafungua glocelly maana kunaballance alikuwa nayo kwa account yake kabla hajawa betrayal in the city, alivyofulia akaweka gari lake bondi kwa laki tano ili aishi, kashindwa kulitoa BREVIS namba DTX ikabidi anifuate akitaka tuliuze ikabidi nimvue Kwa 7.5 hapa nikipita mtaani jamaa walionikazia kwenye disc chuo napishana nao wanakula vumbi huko kwa heavy work za saidia fund ili wapate kula nawapigia vumbi tu, Na mnaosema ninawalingia nawaombeni mnisamehe sana hawa kenge walinisemaga sana acha na mimi niwaseme kwanza

siazi hapa pori huwa siingii mara kwa mara ila nikihitaji hela ya fasta kama kawaida jasiri haachi asiri napaki kabrevis kangu hom natupia makoti na toyo yangu naingia chimbo nikirudi nina miambili yangu safi nafanyia kazi zangu kisha the rest product naweza ofsin untill the next season, Jamaa wa kusoma hadi sasa nimewapa wawili kati yao bodaboda za mkataba kila siku buku 10 kwa miezi kumi na tatu wakimaliza tuachane nao wakajipambanie wenyewe, na mwingine mwezi huu tunakamamilisha mkataba nimpe Bajaj TVS 7.6milion mkataba miaka miwili kila siku elfu 20, nategemea kuingiza karbia 14m kupita yeye.

Kuhusu familia ya wife kuna kupindi mawasiliano yalirudi na walivyoskia ninajenga maana niliwaambia tu nimefungua kaofisi kadogo na kibanda cha kujihifadhi hawakuona deal, ila mungu mkubwa kaka ake wife kahamia kikazi hapa mjini na alipokuja hom alikuwa suprised kukuta nakaa katika kamjengo flani ivii na usafir nje umepakiwa, na mtoto wao yuko vizuri baada ya wiki moja mama mkwe alinipigia mwenyewe anaomba msamaha.

Ushauri, kazi yeyote inaweza kukufanya ufikie malengo yako ikiwa unaiheshimu na kuithamini

atakaehitaji maelezo ya hii kazi aje pm
Hakika hongera sana kwa kupambana bila kuchoka, hakika mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom