Jibu ni tatizo la kiakiliTatizo letu tunakimbilia kutoa justification ya kila kitu mtoa mada unadhani kila ambaye hajaoa kwa umri huo ana matatizo kama uonavyo wewe? Huo ni mtazamo wako mkuu.. ushawahi jiuliza wangapi wamefiwa na wenzi/wachumba wao kwa ajali, ugonjwa na visabishi vingine hali iliyopelekea wao kutokuoa mpaka sasa.. unadhani mtu kama huyo utamlazimisha kupata mchumba mapema? Mke ni uchaguzi si suala la kukurupuka na kuja kuzaja kurasa za JamiiForum kwa kulalamika..
nilikua naunganisha via vyangu vya uzazi na AnnaNaona kipindi hiki kina dronedrake na wenzio mlikua bado hamjazaliwa😃😃 mshamba_hachekwi
kumbe anna ndo sababu ☺☺️☺️nilikua naunganisha via vyangu vya uzazi na Anna
Mmh🤔,, bila sababu tu😃Mtu anaweza akaamua asioe kwa sababu sio lazima
Kilikupata nini mkuu😃😃🤔Tatizo mnajipa umuhimu kwenye maisha ya watu
😆 😆 😆 baada ya Anna akaja Chiku, kisha akaja B(huyu ndiye sababu)kumbe anna ndo sababu ☺☺️☺️
B for baby care sio😃😃😃😃😆 😆 😆 baada ya Anna akaja Chiku, kisha akaja B(huyu ndiye sababu)
Wapi nimesema kunakitu kimenipata!?Kilikupata nini mkuu
Tafuta mke uoe wewe 😃😃In policy....? How
Basi sawa🤗,, ila the way ulivyoongea it's like ulipigwa na tukio🤒Wapi nimesema kunakitu kimenipata!?
🤣 i waNt to enjoy the life i dont want marryTafuta mke uoe wewe 😃😃
B for BreeB for baby care sio😃😃😃😃
Kwahiyo Bree nae alikupiga tukio 😃🤒B for Bree