Nakazia.Uzi uishie hapa.
Ukioa wewe inatosha mkuu 🤣🤣🤣Wandugu natumai wote wazima. Kama kichwa kinavyoeleza, una umri wa miaka 30 unataka kuoa/lakini hujapata mwenza, bila kupepesa utakuwa na matatizo sio bure.
Jichunguze kasoro zako sehemu hizi, ukikosa niite mchawi
Kiakili
Kiafya
Kimtazamo
Kiitikadi.
Sasa ili muamini ninachosema kuwa ni kweli,kila mtu mwenye umri huo aje na sababu kwanini alitoswa alipotaka kuoa. Kijana ukiwa smart huwezi kukosa mke kwa sababu wengi wa wanawake wanatamani sana ya kuolewa ili waheshimike. Unakosaje mke?
Karibuni
Na mpaka sasa hivi anaishi kwa baba yake huko mbinguni
siku puff dady aka p diddy aka diddy aka diddy dirty money akiingia kanisani kuoa na sisi tutafuata mkondo
eeeh wengine tunapendezewa na lifestyle za watu kama hawa
Nina 33,wa kuwaoa wapo kama 5 wote wanalilia.Ila sijaamua kuoa. Labda yaweza kuwa kwa sababu bado sijawa well financially kiviile
Fikiria kama kungekuwa na sheria kuwa ukizini kabla ya kuoa unakufa. Ungekuwa na maoni kama hayo? Iyo pesa unayotafuta ni ya nini?Unawapa vijana pressure bure. Kwanza kuoa siyo lazima. Pili hata ukiwa na 35 au 40, kijana unaoa na mambo yanakuwa super bado. Wee tafuta pesa kelele zingine waachie wapiga debe.
Ushagundua kasoro yako mpaka sasa? Ww unasema waliobak hawakuvutii,una hakika gani kama ww una mvuto kwao? Huenda wewe sio level zao kwaio badala ya kutaka size yako unataka size kubwa.... NdioHatujapata wakuwaoa wanawake wengi chagua chagua wazee wa opportunity waliobaki hawatuvutii
Kasoro gani tena yaani ww demu kashachakazwa ndio anakumbuka shuka unamuhitaji ?huku wale ambao hawajachakaa wanakula ujana hawahitaji ndoaUshagundua kasoro yako mpaka sasa? Ww unasema waliobak hawakuvutii,una hakika gani kama ww una mvuto kwao? Huenda wewe sio level zao kwaio badala ya kutaka size yako unataka size kubwa.... Ndio
Duh, Jamii Forum ' Unaweza kuta Joanah ndo Mama Salma Kikwete'Na mpaka sasa hivi anaishi kwa baba yake huko mbinguni
Duh, Jamii Forum ' Unaweza kuta Joanah ndo Mama Salma Kikwete'