Tanwise
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 466
- 1,031
Ukimya wa Rafiki zako huumiza zaidi ya Kelele za maadui Zako.(In ananias Edgar Voice)Nimekua nikiwahusia pamoja na kuihusia Nafsi yangu pia Maisha ya uanaharakati kwa awamu hii naona ni mwiba tunawaumiza wazazi wetu ambao kwa wakati mwingine hawahusiki na Kutuagiza hayo ambayo tumekua tukifanya kwa kivuli cha uanaharakati.
Binafsi kejeli na matusi kwa mamlaka zinazotuongoza ambazo zinatolewa miongoni mwetu zimekua zikinihuzunisha sana.
Wanapopata matatizo kinaniumiza zaidi kibinadamu tuu siwezi kushangilia binadamu mwenzangu anapokua rumande kwa muda wowote ule Msingi wa kusota rumande kwa kizazi hiki ni kwa sababu ambazo zinaweza kuepukika mob saikoloji zimekua zikituangamiza vijana.
Mwisho, tuache Uanaharakati tutaishia gerezani.