Kijana uliechaguliwa na TCU umebakiza masaa 30 kupata hatma ya degree yako

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,426
Lowasa kasema elimu itakua bure kuanzia nursery mpaka chuo,
Wadogo zangu
1.hamna kitu kigumu kama kusoma halafu una njaa
2.hamna kitu kigumu kama kusoma huku unaenda loan board kufuatilia mkopo
3.hamna kitu kigumu kama mtihani umefika halafu hauna valid ID
4.hamna kitu kigumu kama una mtihani saa 1 halafu huna nauli ya kutoka mabibo kwenda campus


Matatizo hayo na mengine ukichanganya lazima udisco hata kama ulikua wa kupata 4.8,Lowassa kasema elimu,elimu,elimu na itakua bure
Ebu jitahidi kufanya maamuzi sahihi ili uepukane na kero zisizo za msingi
 
Lowasa kasema elimu itakua bure kuanzia nursery mpaka chuo,
Wadogo zangu
1.hamna kitu kigumu kama kusoma halafu una njaa
2.hamna kitu kigumu kama kusoma huku unaenda loan board kufuatilia mkopo
3.hamna kitu kigumu kama mtihani umefika halafu hauna valid ID
4.hamna kitu kigumu kama una mtihani saa 1 halafu huna nauli ya kutoka mabibo kwenda campus


Matatizo hayo na mengine ukichanganya lazima udisco hata kama ulikua wa kupata 4.8,Lowassa kasema elimu,elimu,elimu na itakua bure
Ebu jitahidi kufanya maamuzi sahihi ili uepukane na kero zisizo za msingi

Japo unania nzuri kichwa cha habari hakiendani na mada uliyoiweka.
 
Ila watanzania sisi sijui Mungu atupe nini? Yani mijitu ina watoto 10 haijui itawasomeshaje ila bado wamekomaa na ccm.
 
Back
Top Bottom