Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 2,776
- 4,764
rikiboy na msela Carlos The Jackal kuna mwenzetuu huku ka "pasi awei" kisa mbunyee
Huyo atanyongwa! Kesi itachukua sio chini ya miaka 10 kutolewa hukumu na kwa kuwa ameua kwa makusudi mazima adhabu iko wazi; kunyongwa hadi kufa. Ndio hivyo tena maisha yake naye ndio hivyo.Anaenda kunyea debe na mke ataliwa mbususu mpaka na kale kamtandao kanakopendwa maeneo ya Pwani
Wanawake hawanaga akili bro awachelewi kukuchomaNa mimi nae kuna mmoja alikuwa a asumbua sana. Mimi nikawa namkatalia sasa kuna siku kanitumia sms hiyo hatari sijui hakufuta kwenye simu yake asubihi yake jamaa ananipigia anaseme wewe ndio unamtumia sms mke wangu akitaja yale maneno aliyoandika mke wake nikamjibu wewe na mke wako msinichanganye. Nikaseme emu muulize huyo mke wako ila nashukuru toka hapo hajawahi kunisumbua mpaka leo
Kwa vile mke ndio aliyekubali dawa ni kutafuta marafiki wa mkewako na ikibidi ndugu zake kula papucha wote baada ya hapo tafuta mkewe jamaa kula papucha utaishi kwa amani sana wala stress utakuwa huna.SHUJAA NI YULE ANAYEWEZA KUPAMBA NYAKATI ZOTE
Nimekutana nae tukiwa watu wazima.Kwamba uko tayari kushuhudia mke wako akitombwa kwenye kitanda chako. Anageuzwa chuma mboga, popo kanyea mbingu, itege inase!!!
Ule si ushahidi halisi, yeye alikuwa anachati tu hakuwa na nia ovu.kweli mkuu lakini jamaa ilibidi amuonye tuu ikiwezekana amfikishe hata kituo cha polisi akamshitaki kwasababu ushahidi alikuwa naoo.
Sawasawa, marehemu ni mshenziMkazi wa kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Juvenal Claudi (20) ameuawa kwa kukatwa katwa na mapanga baada ya kufumaniwa akitaka kufanya mapenzi na na mke wa mtu.
Taarifa zinadai kuwa kijana huyo aliyeuawa alikuwa akichati na mke wa mtu ambapo baadaye mume wa mwanamke huyo, Riziki Shirima (22) alidaka simu ya mkewe na kukuta meseji za mapenzi.
Baada ya kukuta meseji hizo, mwanaume huyo aliweka mtego kwa kuendelea kumtumia meseji kijana huyo aliyeuawa, akijifanya yeye ndio mwanamke huku akimtaka kuja nyumbani jambo ambalo alifanya hivyo.
Baada ya kijana huyo kufika nyumbani alianza kushambuliwa kwa kukatwa mapanga na baadaye kufariki dunia.
Kamanda wa Polisi Mkoani wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio ambapo amesema tukio lilitokea usiku wa kuamkia Desemba 4 na kusema baada ya mwanaume huyo kufanya mauaji alijisalimisha mwenyewe polisi.
"Ni kweli hili tukio limetokea katika kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo ambapo mwanaume alimfumania mkewe nyumbani kwake akiwa na huyu kijana aliyeuawa wakitaka kufanya mapenzi," amesema Kamanda Maigwa
Kamanda Maigwa amesema jeshi la polisi linaendelea kumshikilia muuaji baada ya kujisalimisha mwenyewe polisi.
Chanzo cha Habari ni Mwananchi online
Na huyo mkewe alimwacha uraiani tunakula kiulani kama tunateleza.Mkazi wa kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Juvenal Claudi (20) ameuawa kwa kukatwa katwa na mapanga baada ya kufumaniwa akitaka kufanya mapenzi na na mke wa mtu.
Taarifa zinadai kuwa kijana huyo aliyeuawa alikuwa akichati na mke wa mtu ambapo baadaye mume wa mwanamke huyo, Riziki Shirima (22) alidaka simu ya mkewe na kukuta meseji za mapenzi.
Baada ya kukuta meseji hizo, mwanaume huyo aliweka mtego kwa kuendelea kumtumia meseji kijana huyo aliyeuawa, akijifanya yeye ndio mwanamke huku akimtaka kuja nyumbani jambo ambalo alifanya hivyo.
Baada ya kijana huyo kufika nyumbani alianza kushambuliwa kwa kukatwa mapanga na baadaye kufariki dunia.
Kamanda wa Polisi Mkoani wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio ambapo amesema tukio lilitokea usiku wa kuamkia Desemba 4 na kusema baada ya mwanaume huyo kufanya mauaji alijisalimisha mwenyewe polisi.
"Ni kweli hili tukio limetokea katika kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo ambapo mwanaume alimfumania mkewe nyumbani kwake akiwa na huyu kijana aliyeuawa wakitaka kufanya mapenzi," amesema Kamanda Maigwa
Kamanda Maigwa amesema jeshi la polisi linaendelea kumshikilia muuaji baada ya kujisalimisha mwenyewe polisi.
Chanzo cha Habari ni Mwananchi online
kweli aisee inasikitisha mkuu,Kafa bado mdogo sana wengine kaka zake tunaogopa mapenzi anyway hao wote watoto
Mmoja tusalimir kuzimu huyu kijana wa ovyo akanyee ndoo kwanza
kweli aisee inasikitisha mkuu,
Anyway mkuu hiyo avatar Yako Kila siku nikajua hizo ni revolver mbili Moja ya gold nyingine nyeusi Leo Ndio kuzoom nikaona uhalisia hahahahaha nimecheka Sana!
πππππ π π π
kweli aisee inasikitisha mkuu,
Anyway mkuu hiyo avatar Yako Kila siku nikajua hizo ni revolver mbili Moja ya gold nyingine nyeusi Leo Ndio kuzoom nikaona uhalisia hahahahaha nimecheka Sana!
ππππ
π π π π π π Wachaga gani wa ovyo ivyo wametia aibu yaani hapo kijijini naona mjini huo umri sisi kaka zake hatuna wake wao wanaparangana kwa Mpanga kisa mkekweli aisee inasikitisha mkuu,
Anyway mkuu hiyo avatar Yako Kila siku nikajua hizo ni revolver mbili Moja ya gold nyingine nyeusi Leo Ndio kuzoom nikaona uhalisia hahahahaha nimecheka Sana!
ππππ
hahahahaha Aisee inasikitisha mbususu yenyewe usikute hakukuta hata sio bikra na utashangaa jamaa aliyeuwawa Ndio alitangulia kuichakata na hapo alikua anapasha kiporo tu sema Ndio bahati mbaya Haina mwenyewe kaisha!π π π π π π Wachaga gani wa ovyo ivyo wametia aibu yaani hapo kijijini naona mjini huo umri sisi kaka zake hatuna wake wao wanaparangana kwa Mpanga kisa mke
Hizi pombe zisizo na TBS zinavuruga vichwa kabisa...ingawa mke wa mtu ni sumuDah jamaa ni katili sana hata hajafumania mbususu ikiliwa na wala hakumuonya yeye ni kufanya appointment ya kumuingiza mtegoni na kumuua tu. Dah Dunia hii ina watu makatili sana
Ulimalizana vipi na mtu mwenye hasira? Ulimpa "goti" yako, sivyo?So sad nakumbuka mwaka juzi kuna mke wa mtu aliwahi kunielewa akawa anafosi sana mapenzi namimi mi nikawa nampotezea baadae akaanza kuniletea dharau nikaona huu ujinga nikachukua namba tukaanza kuchat aisee tulikuja kuwa close sana bac kuna siku tumechat dem akajisahau kufuta text akasinzia jamaa yake akazikuta kesho yake tukaendelea kuchat kama kawaida kumbe nachat na mwamba dem kanyang'anywa cm kitambo aisee mwamba aliniset nikajaa. Baadae akaniambia nimpigie, ile kupiga naskia sauti ya kiume aisee nilipagawa sema mshkaj alikuwa mtu poa tu tukayamaliza kiume angekuwa anaroho kama ya huyu mwamba saiz kitambo tu ningesha rest in hell. Baada ya siku mbili nakutana na yule dem akaanza kujiliza et baby nilijua washakuuwa nikamwambia achana namimi. Toka siku hiyo wake za watu nakaa nao mbali sana. Maana wanawake wenyewe akili awana anytime wanakuchoma
Tatizo liko kwa wamiliki wa mbususuSiku hizi Mbususu za wake za watu zinaliwa sana, tatizo lipo wapi?