Kijana, kujenga nyumba ni uoga wa maisha

Inategemea nakiasi chafedha ambacho unacho. Mimi ninazo mbili nimepangisha mwaka huu nanunua yatatu kutokana nakodi yahizo nyumba. Biashara yangu ni nyumba kipato cha uhakika nahesabu miezi tu.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kijana umemaliza zako chuo ukapata ajira (msahara hauzid 1m) basi ukafanikiwa kupata ki-mkopo kisichozd 14m kisha unajitesa eti unaenda kununua kiwanja ili ujenge nyumba hv niulize utajenga chumba ama nyumba na 14m? achen mawazo ya kimaskini hiyo hela iingize kwenye biznes uzichange kwanza
Jenga usiogope. Biashara yahitaji nafasi. Cha msingi anza nyumba ya kukutosha usijali lazima iishe. Utakuwa umepiga hatua na kumalizia nyumba ni rahisi sana kwani kila mwezi unapunguza kitu kimoja
 
Kila mtu ana vipaumbele vyake,japo mawazo yako n mazur,ila kwa maisha ya kbongo nyumba kwanza maana wapangaj n biashara tosha isiyopasau kichwa
 
kujenga nyumba kwa watanzania wengi ni jambo la kijamii zaidi na si kwa sababu ya mahitaji..ili kuleta heshima mbele ya jamii kuwa nae ana nyumba. Mi nawaangaliaga wahindi hawa jamaa anaweza hata kuwa na viwanda kadhaa hapa TZ hata nchi jirani but unaweza kukuta amepanga nyumba si kujenga mpaka leo sijaelewa kwa nn wanafanya hiv
 
Wahenga walisema. KWA MUOGA UNAKWENDA KICHEKO NA KWA SHUJAA ..NI. KILIO. It is good to learn by examples. but it is very bad for you to be the example.

Senki yuu vere macheee build the house because the father of the house is so danger.
 
Du,akiri ya mtanzania kweri ni matope,uoga wa maisha eti kujenga nyumba!
bihashara utafanyaje ngali upo kazini takiribani masaa 10?ama unataka kuwatengenezea watu mitaji,
anyway naisi uwo utoto bado unakusumbua kuwa uyaone.
 
Kijana umemaliza zako chuo ukapata ajira (msahara hauzid 1m) basi ukafanikiwa kupata ki-mkopo kisichozd 14m kisha unajitesa eti unaenda kununua kiwanja ili ujenge nyumba hv niulize utajenga chumba ama nyumba na 14m? achen mawazo ya kimaskini hiyo hela iingize kwenye biznes uzichange kwanza
hivi huwezi kuzichanga kupitia nyumba...??? Tena ina aprishieti, hayo makochokocho mengine yanadiprishieti...
 
kujenga nyumba kwa watanzania wengi ni jambo la kijamii zaidi na si kwa sababu ya mahitaji..ili kuleta heshima mbele ya jamii kuwa nae ana nyumba. Mi nawaangaliaga wahindi hawa jamaa anaweza hata kuwa na viwanda kadhaa hapa TZ hata nchi jirani but unaweza kukuta amepanga nyumba si kujenga mpaka leo sijaelewa kwa nn wanafanya hiv
na ujiulize, kwa nini wanakaa katikati ya miji tu, huwezi wakuta wanaishi uswahilini... Hawajengi kwa sababu maisha yao wanataka wakae katikati ya miji, na katikati ndo kushajaa majengo na bei ya maeneo hayo kila mmoja anajuwa... Kama anaeneo kimbiji, huyo anasubiri ajenge dodown....

Vile vile jiulize kwa nini walio wengi wanakaa kwenye nyumba za NHC..??
 
Kijana umemaliza zako chuo ukapata ajira (msahara hauzid 1m) basi ukafanikiwa kupata ki-mkopo kisichozd 14m kisha unajitesa eti unaenda kununua kiwanja ili ujenge nyumba hv niulize utajenga chumba ama nyumba na 14m? achen mawazo ya kimaskini hiyo hela iingize kwenye biznes uzichange kwanza

Hakuna biashara nzuri kama kujenga...niambie ukiwa unapanga unalipa kiasi gani kwa mwezi, he huoni kupitia nyumba yako utawezq kupata mkopo sehemu nyingine labda nikusaidie tu kuwa kuna nyumba na hekaru kwa mwajiri kuhenga itakuchukua muda lakini kama ni kujenga mil 14 unajenga nyumba yaikuishi familia...
 
Back
Top Bottom