Kijana kawa fired

Sangarara

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
13,100
5,649
Watanzania tunalalamika sana inapokuja kwenye swala la soko la ajira,
nashukuru jamvi hili limetoa kipaumbele kikubwa kabisa kwenye swala
la kupashana habari juu ya nafasi za kazi mbali mbali.

lakini wakati haya yanafanyika kuna vijana huku wanacheza na kazi kweli kweli.
kuna huyu kijana alipata kazi hapa ofisini kwetu kama mwezi na nusu sasa, kijana
inaonekana kasota mtaani anatafuta kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja.

ile kuanza kazi tu, baada ya wiki moja, siku moja hakutokea kazini bila taarifa yoyote,
akipigiwa simu hapokei, akaja baada ya siku mbili na excuse kwamba alikuwa na family
issues, tukamchunia, karudia tena last week, kaacha tu kuja kazini, hakutoa taarifa si kwa
supervisor wake wala kwa rafiki yake kazini, three days kimya, akipigiwa simu hapokei,
siku ya nne kaja akakimbilia kuomba ruhusa HR hapo hapo akawafired.

Naomba tuwe na nidhamu ya kazi basi japo kidogo jamani
 
Dah, Kweli Maisha ni zaidi ya shule. Au Maslahi hapo ni madogo alikuwa anatafuta chaka jipya?
 
Hahui sheria za ajira.Ukikosa kazini siku tano mfululizo umejifukuzisha mwenyewe.Tuwe makini na kazi kwani sasa hivi soko la ajira halifai.Wapo vijana wengi wenye sifa lakini kazi hakuna.
 
Hayo ndio matatizo yetu Tanzania, wengi hatuthamini kazi kwa ajili ya kuleana. Utakuta mtu kishaota mvi (za ukubwa si za ukoo) lakini bado analelewa. Bila ya kubadili msimamo na kuwalea watoto zetu kuwa "independent" hayatokwisha haya, we are too "dependent" na ndio maana kila siku hatuishi kuilalamikia Serikali, haijfanya hivi haijafanya vile, its all in our heads. We need to change we do not need a change.
 
Watanzania tunalalamika sana inapokuja kwenye swala la soko la ajira,
nashukuru jamvi hili limetoa kipaumbele kikubwa kabisa kwenye swala
la kupashana habari juu ya nafasi za kazi mbali mbali.

lakini wakati haya yanafanyika kuna vijana huku wanacheza na kazi kweli kweli.
kuna huyu kijana alipata kazi hapa ofisini kwetu kama mwezi na nusu sasa, kijana
inaonekana kasota mtaani anatafuta kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja.

ile kuanza kazi tu, baada ya wiki moja, siku moja hakutokea kazini bila taarifa yoyote,
akipigiwa simu hapokei, akaja baada ya siku mbili na excuse kwamba alikuwa na family
issues, tukamchunia, karudia tena last week, kaacha tu kuja kazini, hakutoa taarifa si kwa
supervisor wake wala kwa rafiki yake kazini, three days kimya, akipigiwa simu hapokei,
siku ya nne kaja akakimbilia kuomba ruhusa HR hapo hapo akawafired.

Naomba tuwe na nidhamu ya kazi basi japo kidogo jamani

Duh!! Basi bwana kufa kufaana, mi naomba hiyo position yake, nichape kazi mpaka kieleweke Mkuu.
 
Hayo ndio matatizo yetu Tanzania, wengi hatuthamini kazi kwa ajili ya kuleana. Utakuta mtu kishaota mvi (za ukubwa si za ukoo) lakini bado analelewa. Bila ya kubadili msimamo na kuwalea watoto zetu kuwa "independent" hayatokwisha haya, we are too "dependent" na ndio maana kila siku hatuishi kuilalamikia Serikali, haijfanya hivi haijafanya vile, its all in our heads. We need to change we do not need a change.

Kwa mara ya kwanza leo umekwa point.BIG UP.
 
Watanzania kwenye suala la ajira huwa tunakuwa na so many excuses sijui shangazi mgonjwa mara mtoto wa baba mkubwa anaumwa nimeambiwa nimpeleke hospitali
 
Hayo ndio matatizo yetu Tanzania, wengi hatuthamini kazi kwa ajili ya kuleana. Utakuta mtu kishaota mvi (za ukubwa si za ukoo) lakini bado analelewa. Bila ya kubadili msimamo na kuwalea watoto zetu kuwa "independent" hayatokwisha haya, we are too "dependent" na ndio maana kila siku hatuishi kuilalamikia Serikali, haijfanya hivi haijafanya vile, its all in our heads. We need to change we do not need a change.

Ushauri mzuri sana big up sista ff!!
 
Watanzania kwenye suala la ajira huwa tunakuwa na so many excuses sijui shangazi mgonjwa mara mtoto wa baba mkubwa anaumwa nimeambiwa nimpeleke hospitali

Kwa kweli ki2 hiki kinaumiza sana, wakati wengine 2kiwa busy na utafutaji wa kaz, wengine wanatengeza mazingira ya wa2 kukosa kaz.
Infact kijana huyo anaweza kuwatia nuksi wenzake waliosoma pamoja chuo, maana muda mwingine waajiri hutumia experience, hivyo anaweza kuwa na NEGATV ATTITUDE na wengine kutokana na generalization. tuwe makni 2napopata ofic ili 2peperushe vema bendera ya VIJANA.
 
Watanzania tunalalamika sana inapokuja kwenye swala la soko la ajira,
nashukuru jamvi hili limetoa kipaumbele kikubwa kabisa kwenye swala
la kupashana habari juu ya nafasi za kazi mbali mbali.

lakini wakati haya yanafanyika kuna vijana huku wanacheza na kazi kweli kweli.
kuna huyu kijana alipata kazi hapa ofisini kwetu kama mwezi na nusu sasa, kijana
inaonekana kasota mtaani anatafuta kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja.

ile kuanza kazi tu, baada ya wiki moja, siku moja hakutokea kazini bila taarifa yoyote,
akipigiwa simu hapokei, akaja baada ya siku mbili na excuse kwamba alikuwa na family
issues, tukamchunia, karudia tena last week, kaacha tu kuja kazini, hakutoa taarifa si kwa
supervisor wake wala kwa rafiki yake kazini, three days kimya, akipigiwa simu hapokei,
siku ya nne kaja akakimbilia kuomba ruhusa HR hapo hapo akawafired.

Naomba tuwe na nidhamu ya kazi basi japo kidogo jamani

Dah, huyo mwana nazani ufahamu wake unaenda in descending order unless kama kuna sehemu alishapata! Wenzake tulikuwa tunapiga ndela skonga; yeye mzigoni?! Nakumbuka tangu O-Level hadi Versity; nilikuwa mtu wa kuingia chimbo kishenzi kiasi kwamba mtu anayenifahamu kutokea huko hawezi amini kwamba cku hzi mi ndo wa kwanza kufika mzigoni, na wa mwisho mwisho kuondoka!!! YEYE anaenda kinyume chake?! Hapana, itakuwa kapata sehemu huyo, lakini angekua mjanja angetoa unquestionable excuse hapo job kisha akatumia hiyo excuse kwenda kupima upepo wa huko aendako!
 
uko sawa kabisa. interpretation ya haraka haraka ni kwamba, wote wanaotoka kwenye hicho chuo
watakua wanaonekana wamebeba similar characters
 
Na mtu wa aina hii anaweza kwenda kwa mganga...na mganga akimwambia kuna mtu anamfanyia majungu anaamini...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom