Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Watanzania tunalalamika sana inapokuja kwenye swala la soko la ajira,
nashukuru jamvi hili limetoa kipaumbele kikubwa kabisa kwenye swala
la kupashana habari juu ya nafasi za kazi mbali mbali.
lakini wakati haya yanafanyika kuna vijana huku wanacheza na kazi kweli kweli.
kuna huyu kijana alipata kazi hapa ofisini kwetu kama mwezi na nusu sasa, kijana
inaonekana kasota mtaani anatafuta kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja.
ile kuanza kazi tu, baada ya wiki moja, siku moja hakutokea kazini bila taarifa yoyote,
akipigiwa simu hapokei, akaja baada ya siku mbili na excuse kwamba alikuwa na family
issues, tukamchunia, karudia tena last week, kaacha tu kuja kazini, hakutoa taarifa si kwa
supervisor wake wala kwa rafiki yake kazini, three days kimya, akipigiwa simu hapokei,
siku ya nne kaja akakimbilia kuomba ruhusa HR hapo hapo akawafired.
Naomba tuwe na nidhamu ya kazi basi japo kidogo jamani
nashukuru jamvi hili limetoa kipaumbele kikubwa kabisa kwenye swala
la kupashana habari juu ya nafasi za kazi mbali mbali.
lakini wakati haya yanafanyika kuna vijana huku wanacheza na kazi kweli kweli.
kuna huyu kijana alipata kazi hapa ofisini kwetu kama mwezi na nusu sasa, kijana
inaonekana kasota mtaani anatafuta kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja.
ile kuanza kazi tu, baada ya wiki moja, siku moja hakutokea kazini bila taarifa yoyote,
akipigiwa simu hapokei, akaja baada ya siku mbili na excuse kwamba alikuwa na family
issues, tukamchunia, karudia tena last week, kaacha tu kuja kazini, hakutoa taarifa si kwa
supervisor wake wala kwa rafiki yake kazini, three days kimya, akipigiwa simu hapokei,
siku ya nne kaja akakimbilia kuomba ruhusa HR hapo hapo akawafired.
Naomba tuwe na nidhamu ya kazi basi japo kidogo jamani