Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Kijana huyu ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye kiwanda cha kutengenezea viatu vya yeboyebo ambapo mmiliki wa hicho kiwanda ni mtu mwenye asili ya China (Mchina).
Kwa mujibu wa kijana huyo anadai muajiri wake huyo mchina alimtupa kwenye banda la mbwa wanne ambao watatu ndio walimshambulia na yeye akawa anapambana nao.
Mmoja wa mbwa hao wanne alikuwa mbwa mkubwa ambaye hakumshambulia ila alipoona kijana ameanguka chini na hawezi kupambana tena na wale watatu ndipo alipowakoromea mbwa hao wengine watatu wakaacha kumshambulia
Baadae wafanyakazi wengine wa kiwanda walikuja kumtoa kijana huyo hospitali na akenda kujitibu lakini kutokana na uhaba wa fedha hajapona vizuri mpaka sasa
Kisa cha muajiri huyo kufanya hivyo kwa mujibu wa kijana anasema alimwambia kuwa hawezi kufanya kazikatika kitendo ambacho alipangiwa kwa kua kulikuwa na moshi mkali
Msikilize zaidi hapa
Kwa mujibu wa kijana huyo anadai muajiri wake huyo mchina alimtupa kwenye banda la mbwa wanne ambao watatu ndio walimshambulia na yeye akawa anapambana nao.
Mmoja wa mbwa hao wanne alikuwa mbwa mkubwa ambaye hakumshambulia ila alipoona kijana ameanguka chini na hawezi kupambana tena na wale watatu ndipo alipowakoromea mbwa hao wengine watatu wakaacha kumshambulia
Baadae wafanyakazi wengine wa kiwanda walikuja kumtoa kijana huyo hospitali na akenda kujitibu lakini kutokana na uhaba wa fedha hajapona vizuri mpaka sasa
Kisa cha muajiri huyo kufanya hivyo kwa mujibu wa kijana anasema alimwambia kuwa hawezi kufanya kazikatika kitendo ambacho alipangiwa kwa kua kulikuwa na moshi mkali
Msikilize zaidi hapa