SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Kijana mmoja maeneo ya Tabata Liwiti amepigwa na wananchi wazalendo baada ya kuongea maneno mabovu kuhusu viongozi wa nchi.
Moja ya maneno aliyoongea kuwa "hawa viongozi ni manunda hawajielewi licha ya wenzao kufa kwa Corona ila bado hawachukui tahadhari, watalitia hasara taifa watakapoanza kufa kama kuku wa kideli".
Maneno yake mabovu yalisababisha wananchi wazalendo wampe kipigo cha mbwa koko na kuacha kutazama kuapishwa kwa Mawaziri.
Moja ya maneno aliyoongea kuwa "hawa viongozi ni manunda hawajielewi licha ya wenzao kufa kwa Corona ila bado hawachukui tahadhari, watalitia hasara taifa watakapoanza kufa kama kuku wa kideli".
Maneno yake mabovu yalisababisha wananchi wazalendo wampe kipigo cha mbwa koko na kuacha kutazama kuapishwa kwa Mawaziri.