We Jason bourn na kitengo cha usalama wa taifa kwangu ni sifuri, ndoa yenu na mafisadi, ushirika wenu na wawekezaji hata wasio na viwango, ninyi ndo waficha nyaraka za ushahidi wa ubadhilfu kisa zinawahusu washirika wenu wana siasa, ninyi ndo waratibu wa uchakachuaji wa kura, sasa naona mmeanza kufuatilia wapiga mbizi, kesho mtakuwa waganga wa kienyeji!