Kijana apiga mbizi kutekeleza agizo la Magufuli!

Usalama wa taifa mmeacha kuwajibika, sasa mnapiga mahepe, ngoma za ramli
 
Ama Kweli wewe ni mwafrikahalisi! Hapa anayetakiwa kushitakiwa ni Mgufuli aliyewaamuru wananchi wa Kigamboni waogelee mahali palipo na njia ya meli. kwani Magufuli alipokuwa anatoa agizo la wananchi wasio napesa wavuke kwa kuogele hakujua kuwa ni njia ya meli :A S embarassed:?

kama ni kosa kweli basi huyo magufuli alitakiwa awe amekwishafikishwa
kwa pilato kwa kosa la kuchochea wananchi wavunje sheria
 
Sasa sijui anashitakiwa kwa kosa lipi....yaani watu mnawaambia wapige mbizi halafu wakipiga mbizi mnawakamata ...serikali legelege
Hiyo ndio chichiemu maan,wababe mpaka kwenye kula hata wakishiba hawakupi kiporo utaishia kunawa tuu maan.Ahadi zao miloni mia laki halafu geeee.
 
Kabla ya kupingana na magufuli vyema kujiuliza hiyo TShs 100 iliyoongezeka inanunua nini kwa hali ya sasa (opportunity Cost). Msipende kuwa daraja la wanasiasa. Magufuli yuko sahihi kabisa, ni kiongozi mkweli. Kuhusu kauli aliyotoa ni kutokana na mazingira yaliyokuwepo wakati anahutubia. Magufuli Songa Mbele Tujenge Nchi !
 
ulisema utatupa details nyingi juu ya jinsi mlivyofanilisha kumuweka KABILA madarakani, hivi ulishaweka hizo details? TUnazingoja kwa hamu sana mkuu
 
Kabla ya kupingana na magufuli vyema kujiuliza hiyo TShs 100 iliyoongezeka inanunua nini kwa hali ya sasa (opportunity Cost). Msipende kuwa daraja la wanasiasa. Magufuli yuko sahihi kabisa, ni kiongozi mkweli. Kuhusu kauli aliyotoa ni kutokana na mazingira yaliyokuwepo wakati anahutubia. Magufuli Songa Mbele Tujenge Nchi !

Kuna mijitu humu kutokana na kuishi maisha ya kiyai yai tangu utoto wao hadi uzeeni hawajui kwamba kuna watu wamechomwa spoku na makonda kwa kukosa sh 50 kujazia nauli ya 300 ktk safari zao za daladala. Mijitu mingine ni zaidi ya *****si!
 
tatizo lenu mnafikiria upande mmoja tu.
kwanza ieleweke wanaopanda pantoni si kwamba wakishuka kwenye pantoni ndio wamefika safari zao, yaani mtu ametoka nyumbani kwake anaenda k.koo kazini kwake, analipa nauli ya basi hadi ferry sh 300 then pantoni 200, then basi kutoka ferry hadi k.koo asubuhi ni sh 300, jumla 800 times 2 ni 1600. hiyo ni nauli tu. mwenye pikipiki, mafuta ya piki piki lita moja ni shill 2000. jumlisha nauli ya pantoni kwa sasa ni 3000 kwenda na kurudi, jumla ni sh 5000. sasa wewe unafikiria hapo kuna maisha?

Maguta yamepandishiwa nauli zaidi ya 300%. kwa hiyo wenye bidhaa wamepandisha bidhaa zao bei ili kufidia ongezeko la bei za ubebaji ambazo zimechangiwa na ongezeko la nauli za kivuko. sasa hapo unasupport vipi?

uzembe wa serikali wa kuchelewesha kujenga daraja isiwe ni sababu ya kuwakandamiza raia masikini
 
Kuna mijitu humu kutokana na kuishi maisha ya kiyai yai tangu utoto wao hadi uzeeni hawajui kwamba kuna watu wamechomwa spoku na makonda kwa kukosa sh 50 kujazia nauli ya 300 ktk safari zao za daladala. Mijitu mingine ni zaidi ya *****si!

Kwa hiyo hata nauli ingekuwa TShs 50 kuna watu wasingemudu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom