BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Sio lazima usome ama.ununueNaona umekuja kutangaza biashara.
Sio lazima usome ama.ununueNaona umekuja kutangaza biashara.
Coward of a countyUkiendekeza sana siasa ikiwa wewe mwanafunzi matokeo yake ndio haya.
Hakipo amazom
Kumbe unasoma ili iwe nini?Kusoma Political Science haimaniishi lazima uwe mwanasiasa au mwalimu. Na sina mpango wa kudhihaki hao wanaohangaika kutafuta ajira kwani nilihangaika zamani na nafahamu machungu yao. Naamini ipo siku nao watafanikiwa.
Cha msingi tuache siasa za mkumbo na kutaka sifa mavyuoni kwani mwisho wa siku unapeleka simanzi kwa wazazi waliokusomesha kwa gharama kubwa wakati si Mbowe au Magufuli ataangaika kukumbuka.
Upambanaji ilikuwa sifa kipindi cha kudai uhuru...sasahivi ni ujinga mtupu na ni indicator ya umasikini.Huyu mshikaji alifukuzwa pale UDSM tukiwa mwaka wa mwisho.
Ni kijana mpambanaji , amepitia magumu sana pale Mlimani.
Yaani kudai haki ni indicator ya umasikini?Upambanaji ilikuwa sifa kipindi cha kudai uhuru...sasahivi ni ujinga mtupu na ni indicator ya umasikini.
Kwan sasa kuna Uhuru?Upambanaji ilikuwa sifa kipindi cha kudai uhuru...sasahivi ni ujinga mtupu na ni indicator ya umasikini.
Mwanangu akiwa "mpambanaji" basi wamfukuze. Mbona mimi sijafukuzwa????Yaani kudai haki ni indicator ya umasikini?
Kwa hiyo matajiri huwa hawaendi mahakamani kudai haki?
Hebu weka vizuri hoja yako, kwa nini tumekuwa na mawazo ya ukandamizaji kwa weusi wenzetu kuliko hata wakoloni?
Hivi unajua yaliyomkuta huyu kijana yanaweza kumkuta hata mwanao siku moja!!&& .
Mimi na wewe hatutofautiani mkuu.Coward of a county
nafikiri kenny rogers ama don williams waliimba hivo
Hawa ndiyo vijana mwal Nyerere anawataja kama vijana taifa linawahitaji. Kuhoji na kuichokonoa serikali ili itimize majukumu yake ni kazi inayotakiwa ifanywe na vijana kuliko wazee maana hatima ya nchi iko kwa vijana. Sisemi watu watukane viongozi hapana ila kuelezea yale wanayoyataka ni jambo kibwa sana
Huyu nyumbx kashapoteza mwelekeo, kama siyo kuwa chizi ataliwa jicho na wazungu muda si mrefuChezea mzungu! Hahahaha! Kuna vijana hovyo kabisa, na huyu ni mmoja wao!
Hujafukuzwa kwa sababu wewe ni muoga na mnafiki.Mwanangu akiwa "mpambanaji" basi wamfukuze. Mbona mimi sijafukuzwa????
Mnadanganywa na wanasiasa "pendapenda totoz" mnajiingiza kwenye mapambano na Serikali na kutaka kuvifanya vyuo viwe sehemu za migomo muachwe hivihivi...
Wewe lala maana ulishachagua kujipendekeza kama njia ya kuendesha maisha yako. Wengine hawawezi kulamba viatu vya wakubwa.Ukiendekeza sana siasa ikiwa wewe mwanafunzi matokeo yake ndio haya.
Tanzania nani anasomeshwa bure mkuuNimeona vijana wengi kama hawa wakipewa visenti na wazungu wanaotetea demokrasia, matokeo yake anachanganyikiwa maisha yake yote! Huyu kijana kwishney!
CHAGUA KUISHI! THERE IS NO TIME LIKE THE PRESENT! BE WISE!
Libya ilianza hivi hivi na vijana wa chuoni ambao serikali ilikuwa inawasomesha bure, sasa hao vijana wa Libya walio danganywa na mzungu wamegeuzwa watumwa na mashoga! CHEZEA MZUNGU! WAAFRIKA MSIPO PIGANA MZUNGU ATAKULA WAPI?
Hahahaha kwa kweliHuyu nyumbx kashapoteza mwelekeo, kama siyo kuwa chizi ataliwa jicho na wazungu muda si mrefu
Tulisoma bure!Tanzania nani anasomeshwa bure mkuu
Tulisoma bure!