Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Wakuu wanajukwaa wasalaam,
Msaada, kwa kijana anayeanza maisha na anataka kufunga ndoa ya kikristo bila kutumia gharama kidogo za harusi.
Au afanyeje ili kuepukana na gharama za harusi, je umewahi kushuhudia ndoa/ harusi ya bei rahisi? Je likuwaje?
Je umewahi kuhudhuria ndoa isiyo na harusi? Je ilikuwaje na ilitafsiriwaje na jamii?
Naomba tupeane ujuzi wakuu!
Msaada, kwa kijana anayeanza maisha na anataka kufunga ndoa ya kikristo bila kutumia gharama kidogo za harusi.
Au afanyeje ili kuepukana na gharama za harusi, je umewahi kushuhudia ndoa/ harusi ya bei rahisi? Je likuwaje?
Je umewahi kuhudhuria ndoa isiyo na harusi? Je ilikuwaje na ilitafsiriwaje na jamii?
Naomba tupeane ujuzi wakuu!