Kwa sababu ni ccmDuh ...
kijana anajiamini sana..
Jeshi la Polisi nchini hata kama lina mapungufu yake lazima liheshimiwe. Haiwezekani mtu mimi namuita mhuni kuanza kujibizana hadharani na Askari Polisi kwa kumporomoshea matusi askari anayetekeleza wajibu wake kwa vile tu yeye ni mwanachama wa chama tawala.
Nategemea huyo kijana anayesikika kumdhalilisha askari kama bado hajakamatwa jeshi limtafute na kumfikisha kwenye vyombo husika ili kulinda heshima ya jeshi.
Iwapo polisi kwa kitendo kile itakaa kimya kuna hatari siku moja vijana wa Chama Cha Mapinduzi kwa kiburi cha kulindwa na dola, watajichukulia sheria mkononi na kumnyang'anya polisi silaha kitendo ambacho kinaweza kuhatarisha usalama wa raia wasiohusika.
HakikaKweli Mkuu, hawa ndo wale Waarabu Wa Pemba, wanaojuana kwa Vilemba.