Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Jeshi la Polisi linamshikilia Arnold Mlay kwa tuhuma za kuwalawiti Watoto 12 katika kituo chake cha Michezo ya Watoto 'Video Games' huko Semtema Iringa.
Kati ya wahanga wa ulawiti wapo Wanafunzi wa Sekondari.
Adhabu ya kubaka kwa mujibu wa kanuni ya adhabu:
Kifungu cha 131.-(1): Mtu yeyote atakayetenda kosa la kubaka, atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha, na kwa kila kesi ambayo kifungo chake hakipungui miaka thelathini pamoja na adhabu ya viboko na faini.
Atatakiwa kulipa fidia ya kiasi ambacho kitatamkwa na Mahakama, kwa mtu ambaye ametendewa kosa hilo.
Kati ya wahanga wa ulawiti wapo Wanafunzi wa Sekondari.
Adhabu ya kubaka kwa mujibu wa kanuni ya adhabu:
Kifungu cha 131.-(1): Mtu yeyote atakayetenda kosa la kubaka, atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha, na kwa kila kesi ambayo kifungo chake hakipungui miaka thelathini pamoja na adhabu ya viboko na faini.
Atatakiwa kulipa fidia ya kiasi ambacho kitatamkwa na Mahakama, kwa mtu ambaye ametendewa kosa hilo.