Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
Soma maelezo vzr ujigundue ulivyo mjinga,kama mshtakiwa amekiri kosa unadhan kuna nn tena hpo kilichobaki.
bora wanaotishia wao wanaua kabisa where's Alfonsi Mawazo?Hata kama kuna uhuru hii si sawa kutishia kumuua mtu YEYOTE yule si sahihi hata kidogo. Sijui hata kama huko majuu wanafanya haya
Wako mahabusu kwa ajili ya ile kauli ya, "Si kweli" huku ukiwa umenyosha ka mkono. Ukisomewa mashtaka, ukakili, mahakama inao uwezo wa kukuhukumu siku hiyohiyo.Katenda kosa tarehe 26/nov Leo tarehe 4/12 na hukumu tayari imeshatoka!!! Pongezi kubwa kwa Mahakama kwa kuendesha kesi ushaidi kukamilika na kutoa hukumu ndani ya wiki moja toka mshtakiwa kutenda kosa.Mahakama nyingine nchini kote ziige mfano huu maana kuna ndg, rafiki, jamaa zetu wengi sana wapo mahabusu bila kujua hatma ya mashtaka yao.
Kwa hiyo alimaanisha kumuua rais au ukweli unaoufahamu wewe ni upi?
Vyovyote iwavyo point yangu ni kuwa watu wausome utawala uliopo na kujua waende nao vipi.
Akitoka huko anaweza kuwa katili tofauti na sasa.
Nchi imejaa masnich kila konaMasnitch wakamsnitch dogo... Noma sana.
Ko ulitaka amuue,We unadhani alichokifanya jamaa ni kizuri afu emu jaribu wwe kuvaa uhusika wa Magufuli afu mtu anakutamkia kuwa atakuua!!Nchi imejaa masnich kila kona
Hivi mtu anaweza kuua rais kweli ?, huyu rais nae ni janga la taifa.unajuaje alikuwa anafanya masihara?
usifuatishe vichwa vya habari vya magazeti uozo yetu haya
masihara ni utetezi wake kizimbani, ambao mahakama imeukataa...
Ataenda kupewazawadi hata ya chumvi kwa kusababisha mwenzake afungwe jelaHuyo raia mwema mwenye kihere here hivyo ni sijawahi ona.
Wapi nimesema nilitaka amuue?Ko ulitaka amuue kwa mKo ulitaka amuue,We unadhani alichokifanya jamaa ni kizuri afu emu jaribu wwe kuvaa uhusika wa Magufuli afu mtu anakutamkia kuwa atakuua!!