Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

nguogani

New Member
Aug 20, 2008
1
0
HI JEFF, nimejiunga rasmi leo ingawa nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali kwenye hii forum. kilichonikuna ni mada ya sipo kuhusu sup hapo UDSM. kusema kweli imenigusa sana na nimesoma michango ya watu, kuna ya kuipa credit na kuna ya kuipuuza, ndio uhuru wa kusema huu. nianze kusema nami ni muathirika wa tatizo hili na si kweli kuwa hatusomi kama baadhi ya washiriki walivyosema ingawa ni kweli kuna ambao dhahiri hawasomi lakini haina maana ya kufanya generalization. kuna mambo makuu ninayotaka kusema:
1. sup ni kawaida na sehemu ya shule lakini kinachotokea hapa ni sup za lazima na za kukomoana baina ya lecturer na mwanafunzi, kwasababu mwalimu huyu toka mwanzo wa semister anasema ya kuwa hakuna wa kupata B+ hapa na kweli matokeo yakitoka ndivyo ilivyo. je hii ni sahihi kwenye ufundishaji?
2. somo la huyu mwalimu sio gumu kiasi hicho na kwa wale wanaokumbuka zamani lililkuwa likifundishwa na hayati Prof. Chachage na historia inaonyesha wanafunzi walielewa na aliyefeli alikubali kuwa mzembe. sasa huyu mwalimu toka apokee ni kilio na kusaga meno
3. hoja ya kusoma vitabu kwa huyu mwalimu sio sahihi kwani tulikuwa tunafuata mbinu zake zote za usomaji alizotaka yeye lakini kwakuwa alishapanga kukamata alikuwa haoni hivyo vitabu kwenye scripts wakati wa kusahihisha.
4. huyu sipo na mimi au wengine sio tunalalamika ila tunataka watanzania wajue kuwa kuna walimu wachache wanaharibu mfumo wa elimu Tanzania kwa malengo yao binafsi na kuyafanya maisha ya watoto wa maskini kuwa magumu, hata wale wanaojitahidi kwa kila hali.
5. tabia ya kukemea kwa huyu mwalimu pia ni kuwa na uhusiano na baadhi ya wanafunzi ambapo hudiriki hata kuwapa matokeo kabla hayajawa released. hii tumefanya uchunguzi na tunaongea kwa ushahidi madhubuti na sio bla bla.
6. kuhusu ku-appeal, jamani nyie sijui mnaujua ukweli kuhusu kuappeal, procedure ni nzuri lakini uhalisia sio hivyo. mwalimu huyu huyu anakwambia katika social sciences hakuna appeal na ukijaribu tu ni lazima udondokee pua. je nani wa kudhubutu. ebu fanyeni uchunguzi kabla ya kushauri jamani
7. halafu kuhusu dept kurudisha heshima yake, hivi heshima inakuja kwa kufelisha? mbona dept ya PSPA inaheshima yake kubwa tu na haijapatikana kwa kufelisha. hata dept ya GEOGRAPHY hipo juu sana kwa heshima ingawa sio kwa kufelisha.
8. halafu jamani hata mkuu wa dept ya sociology DR. MVUNGI, ABUU A.K alikuwa na kozi ngumu sana kuliko hata ya huyu DR lakini watu walisoma na wametoka waliokamatwa wanakiri kweli walifanya mistake sehemu fulani fulani.
9. jamani hakuna wanafunzi wanaosoma siku hizi kama dept ya sociology, hii ni kutokana na nature ya walimu lakini bado walimu wanawakamata vibaya mno. jaribuni kuangalia ratiba ya supllimentary hipo pale utawala inatisha sana upande wa hii dept. na hii inasababishwa na walimu kujisifu wanapokamata wanfunzi wengi kuliko wengine
10. hivi mnaposema degree sio vyeti mnamaanisha nini? M.A tutasomaje na GPA za 2.6 na 3.0 wakati vyuo vingine wanapata 3.5 mpaka 3.9. jamani elimu bongo inarudi nyuma. na kazi siku hizi zinapatikana kwa GPA nzuri na sio una nini kichwani, na mwajiri ataamini vipi una mambo kichwani wakati una GPA ya 2.0? GPA za sociology zinatisha sana na tutabaki tung'aa sharubu mtaani tu na wenye pesa ndio watakaosoma M.A ulaya kwa mapesa yao.

mwisho wanaoharibu shule zaidi ni ASSISTANT LECTURER na TUTORIALS nenda kafanye uchunguzi UDSM wana mademu kila seminar anayosimamia. wanawapendelea washkaji na mademu zao kwa kuwapa coursework za juu wakati wale wanao-toil library wanapata 2 ya 10.

SITULALAMIKI KWANI SUP LAZIMA NIFANYE NA NAAMINI NITATOKA TU ILA NINATOA HALI HALISI KWANI INAUMA SANA KUBANIWA WAKATI ULISTAHILI KUPITA NA KUFANYA MAMBO MENGINE YA KIMAISHA.
 
nakuunga mkono nguogani
ukweli ni kua pale department ya sociology waalim wapo kujisifia kufelisha! nakumbuka kipindi namaliza mm first class zilikua km 20 kwa wahitim zaidi ya 500!, upper second km30 au hamsini lakini lower second du kama jamvi yaani kibao na walimu walikua wanajifagilia kwa matokeo hayo yanayotokana na kufelisha kimakusudi!
pia ktk department hiyo ukiingia kuanza mwaka mnatishwa..waulizenu wenzenu wa miaka hiyo..mm kiboko..ntawakamata lazima nihakikishe sept mnarudi kibao for sup! tena kulikua na prof issa msoke aka ustaadh.. ilikua noma yaani sipendi hata kukumbuka
ubaya unakuja waalim wanaojifanya wanajua kukamata km MWAMI utakuta wanamadem wao wanawaacha tena ni vilaza wa kutupwa! na sio siri huwa inajulikana kbs kua demu flani ndo anachukuliwa na dr. au prof na hata mkitaka matokeo kabla mtayapata kupitia hao mademu yaani inaumiza mno
pia kwa wanaume huko sociology wenyewe utakuta wanahonga pombe kwa ma prof/ ma dr na wanapita..kwa hili MISANYA ANAJUA kichwani kitu hakuna lakini wanatoa pombe, mafuta mradi wapite na sio siri wanapita tena kwa GPA kali hadi mbabaki mkijiuliza!
maseminar leader nao balaa utakuta wao ndo wana act uprof! yaani pale sociology department panahitajika mkuu ambae ametulia na apasimamie ki umakini la sivo sup zitaendelea kuwapo na pia watoto wetu wa kike wataendelea kupata virus ili wasirudi sept/for sup!
mdau nguogani upo kweli 99.9999%
mengine baadae ila
 
Poleni sana. Sasa nimepata picha halisi. Ninachoweza kuuliza je hakubna sehemu ya kuushitakia upuuzi huu?... Mkikaa kimya pasipo kuchukua hatua watakaoumia ni ninyi na si kina Mwami wala Mvungu sijui. Kama mnavyokuwaga msitari wa mbele kudai nyongeza ya BOOM basi mfanye hivyo katika kudai elimu bora.

nguogani umefafanua vizuri huku ukionyesha kuwa una ushahidi ni wakati mzuri wa kuchukua hatua.

Hapo chuoni si kuna DARUSO inayoshughulikia academics au hakuna??
 
HI JEFF, nimejiunga rasmi leo ingawa nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali kwenye hii forum. kilichonikuna ni mada ya sipo kuhusu sup hapo UDSM. kusema kweli imenigusa sana na nimesoma michango ya watu, kuna ya kuipa credit na kuna ya kuipuuza, ndio uhuru wa kusema huu. nianze kusema nami ni muathirika wa tatizo hili na si kweli kuwa hatusomi kama baadhi ya washiriki walivyosema ingawa ni kweli kuna ambao dhahiri hawasomi lakini haina maana ya kufanya generalization. kuna mambo makuu ninayotaka kusema:
1. sup ni kawaida na sehemu ya shule lakini kinachotokea hapa ni sup za lazima na za kukomoana baina ya lecturer na mwanafunzi, kwasababu mwalimu huyu toka mwanzo wa semister anasema ya kuwa hakuna wa kupata B+ hapa na kweli matokeo yakitoka ndivyo ilivyo. je hii ni sahihi kwenye ufundishaji?
2. somo la huyu mwalimu sio gumu kiasi hicho na kwa wale wanaokumbuka zamani lililkuwa likifundishwa na hayati Prof. Chachage na historia inaonyesha wanafunzi walielewa na aliyefeli alikubali kuwa mzembe. sasa huyu mwalimu toka apokee ni kilio na kusaga meno
3. hoja ya kusoma vitabu kwa huyu mwalimu sio sahihi kwani tulikuwa tunafuata mbinu zake zote za usomaji alizotaka yeye lakini kwakuwa alishapanga kukamata alikuwa haoni hivyo vitabu kwenye scripts wakati wa kusahihisha.
4. huyu sipo na mimi au wengine sio tunalalamika ila tunataka watanzania wajue kuwa kuna walimu wachache wanaharibu mfumo wa elimu Tanzania kwa malengo yao binafsi na kuyafanya maisha ya watoto wa maskini kuwa magumu, hata wale wanaojitahidi kwa kila hali.
5. tabia ya kukemea kwa huyu mwalimu pia ni kuwa na uhusiano na baadhi ya wanafunzi ambapo hudiriki hata kuwapa matokeo kabla hayajawa released. hii tumefanya uchunguzi na tunaongea kwa ushahidi madhubuti na sio bla bla.
6. kuhusu ku-appeal, jamani nyie sijui mnaujua ukweli kuhusu kuappeal, procedure ni nzuri lakini uhalisia sio hivyo. mwalimu huyu huyu anakwambia katika social sciences hakuna appeal na ukijaribu tu ni lazima udondokee pua. je nani wa kudhubutu. ebu fanyeni uchunguzi kabla ya kushauri jamani
7. halafu kuhusu dept kurudisha heshima yake, hivi heshima inakuja kwa kufelisha? mbona dept ya PSPA inaheshima yake kubwa tu na haijapatikana kwa kufelisha. hata dept ya GEOGRAPHY hipo juu sana kwa heshima ingawa sio kwa kufelisha.
8. halafu jamani hata mkuu wa dept ya sociology DR. MVUNGI, ABUU A.K alikuwa na kozi ngumu sana kuliko hata ya huyu DR lakini watu walisoma na wametoka waliokamatwa wanakiri kweli walifanya mistake sehemu fulani fulani.
9. jamani hakuna wanafunzi wanaosoma siku hizi kama dept ya sociology, hii ni kutokana na nature ya walimu lakini bado walimu wanawakamata vibaya mno. jaribuni kuangalia ratiba ya supllimentary hipo pale utawala inatisha sana upande wa hii dept. na hii inasababishwa na walimu kujisifu wanapokamata wanfunzi wengi kuliko wengine
10. hivi mnaposema degree sio vyeti mnamaanisha nini? M.A tutasomaje na GPA za 2.6 na 3.0 wakati vyuo vingine wanapata 3.5 mpaka 3.9. jamani elimu bongo inarudi nyuma. na kazi siku hizi zinapatikana kwa GPA nzuri na sio una nini kichwani, na mwajiri ataamini vipi una mambo kichwani wakati una GPA ya 2.0? GPA za sociology zinatisha sana na tutabaki tung'aa sharubu mtaani tu na wenye pesa ndio watakaosoma M.A ulaya kwa mapesa yao.

aisee nguogani umenigusa sana na naamini wewe umeweka mambo kiundani zaidi, na ndivyo ilivyo. Ila uliponiliza ni kwenye GPA jamani hapa ni tatizo, GPA ni mbovu ajabu, FAITH mwaka huu kuna first class moja, can you imagine? yaani grade C ndio fashion. Kwa hali hii masters tutasoma wapi??? hata vyuo vya nje SCHOLARSHIP hupati kwa LOWER SECOND... Hilo la vitabu nalo ni issue jamani....DR anasema msome kitabu cha KARL MARX & FREDRICK ENGELS ''collected works'' mtatafuta library yote hampati...na hapo mjue mnatakiwa mfanye BOOK REVIEW...kitabu kinakuja kupatikana kwake pekee bado wiki moja mkusanye kazi....kwanini msizime moto kama hali yenyewe ndio hiyo?. Na hapa pa kuappeal ndio kabisa umemaliza... kuna DR mmoja aliwahi kuniambia FASS hakuna APPEAL...labda uko ENGINEER NA B-COM. Nilimuelewa vizuri, nanyi fikirieni mtaelewa anamaanisha.
Aisee sipo sina mengi ila habari ndio hiyo na ukweli ndio huo... DR MVUNGI A.A.K (mkuu wa dept) lifanyie kazi hili vinginevyo maisha ya wanafunzi yataishia kuaribiwa na watu wachache ambao watoto wao wanasoma CAPETOWN UNIVERSITY na kwingineko.. Pia FAITH bigup dada unaifahamu vizuri dept na unaonyesha kweli umesoma kwenye ile dept inayoboa kuliko EPA au RICHMOND
 
aisee nguogani umenigusa sana na naamini wewe umeweka mambo kiundani zaidi, na ndivyo ilivyo. Ila uliponiliza ni kwenye GPA jamani hapa ni tatizo, GPA ni mbovu ajabu, FAITH mwaka huu kuna first class moja, can you imagine? yaani grade C ndio fashion. Kwa hali hii masters tutasoma wapi??? hata vyuo vya nje SCHOLARSHIP hupati kwa LOWER SECOND... Hilo la vitabu nalo ni issue jamani....DR anasema msome kitabu cha KARL MARX & FREDRICK ENGELS ''collected works'' mtatafuta library yote hampati...na hapo mjue mnatakiwa mfanye BOOK REVIEW...kitabu kinakuja kupatikana kwake pekee bado wiki moja mkusanye kazi....kwanini msizime moto kama hali yenyewe ndio hiyo?. Na hapa pa kuappeal ndio kabisa umemaliza... kuna DR mmoja aliwahi kuniambia FASS hakuna APPEAL...labda uko ENGINEER NA B-COM. Nilimuelewa vizuri, nanyi fikirieni mtaelewa anamaanisha.
Aisee sipo sina mengi ila habari ndio hiyo na ukweli ndio huo... DR MVUNGI A.A.K (mkuu wa dept) lifanyie kazi hili vinginevyo maisha ya wanafunzi yataishia kuaribiwa na watu wachache ambao watoto wao wanasoma CAPETOWN UNIVERSITY na kwingineko.. Pia FAITH bigup dada unaifahamu vizuri dept na unaonyesha kweli umesoma kwenye ile dept inayoboa kuliko EPA au RICHMOND
 
FAITH bigup dada unaifahamu vizuri dept na unaonyesha kweli umesoma kwenye ile dept inayoboa kuliko EPA au RICHMOND

mimi nimepita hapo FASS japo ni miaka mingi kidogo lakini hali ni ile ile nilioiacha,
maana enzi zetu kulikua na kina MUSOKE, CHACHAGE hata MVUNGI, hawa kwa kweli walikua wakali mno lakini very fair! japo walikua wanakamata walikua wanakamata ki-haki kabisa!
kulikua na DR.MESAKI huyu namfagilia kwani alikua na utu sana yaani akiona mna MWAMI, CHACHAGE, MSOKEyeye alikua anajaribu kutowabania maks ili angalau mrudi masomo machache tu
hata DR. MASANJA ALIKUA VERY FAIR+dr.sanga, lyimo
ila kuna mwanamama yeye klas alikua naingia mara 2 kwa semister lkn du kukamata balaa(nimemsahau kidogo nikimkumbuka nitamtaja ila alikua anafundisha research)
kuna waalim kama dora hawakua wabaya
tatizo lilikua kwa MWAMIyaani ni balaa tatizo kubwa huyu dr. ni UNFAIR KABISA!
ACHUNGUZWE NA IKIBIDI UTAWALA UMCHUKULIE HATUA MAANA DEPARTMENT WANABEBANA SANA!na si kua hawalijui hilo!
nina mengi juu ya hii deprtment
ntarudi baadae
ila kwa ufupi niwafagilie
DR. SANGA-RIP
PROF CHACHAGE-RIP
DR.MESAKI
DR.COMMORO
DR.MVUNGI
DR.MASANJA
DORA

MM! KUNA THOMAS NILIMSAHAU HUYU NAE DU!SAUTI HANA KUTWA KUTOA BOOK REVIEW yaani anaact km ndo head wa department anafuata nyayo za MWAMI
BAADAE
 
ila kuna mwanamama yeye klas alikua naingia mara 2 kwa semister lkn du kukamata balaa(nimemsahau kidogo nikimkumbuka nitamtaja ila alikua anafundisha research)

Anaitwa NYONI huyu mama, ni noma kwanza haingii darasani, halafu test zake multiple choice na fill in the blanks...lakini anaua vibaya....DR MESACK umenena...this man give what one deserve to get... hana bias... siku hizi faith yupo MOSES anaua... na yeye alituambia kwenye somo lake la SOCIAL WORK kwamba hakuna mtu wa kupata A mpaka yeye aache kufundisha hiyo kozi... sasa huyu mwalimu au KICHEFUCHEFU...??? jamani hii dept nasema tena MORE THAN REFORMATION vinginevyo mabinti wote watavua G-STRINGS zao bila kupenda ili kupata maksi.... kamwe mimi mdogo wangu hawezi kusoma au kufanya option ndani ya ile dept.... siku ikibidi asome pale UDSM... ITS TERRIBLE JAMANI... mimi sijui kama wenzetu mliosoma vyuo vingine mnatuelewa......halafu SEMINAR LEADERS ndio VICHOMI kabisa na wanaaribu maisha ya wengine..... kwanza system hii ni mbovu kumpa maksi 40 za course work seminar leader na kuzitumia hizi kuwatesa wanafunzi kwa kuwa tu anataka demu halafu ni domo zege. halafu semister iliyopita kulitokea kisa seminar leader mmoja wa M.A mwaka wa kwanza alibambwa akisolvia demu wake wa SECOND YEAR pepa la U.E siku mbili kabla ya pepa... lakini huwezi kuamini kwa kuwa wenzake waliomkamata wote ni wakware hili jambo lilifichwa mkuu wa dept DR MVUNGI hakulipata... jamaa anaendelea kupeta na demu wake akapiga banda... halafu demu kama huyo mwakani unamkuta nae ni seminar leader....huu si UPUMBAVU mkubwa.... kilaza kama huyu kusimamia presentation na kutoa comments hatutafika kwa hali hii.... DARUSO okoeni jahazi kwa kulisimamia hili kidete..... shule sio kubebana ni kukomaa...

[GEMBE]umepata hiyo ya nguo gani??? nataka kuona comment zako kwenye hili ili wadogo zetu wasome kwa amani na kupata kile wanachostahili kutokana na bongo zao na sio kununulia DR's pombe na wengine kuvua G-STRINGS zao wakati wameacha masela wao mtaani...kwa hali hiii ngoma haitoisha
 
wengine kuvua G-STRINGS zao wakati wameacha masela wao mtaani...kwa hali hiii ngoma haitoisha
Looool wa karibu yangu anasoma Sociolgy hapo Udsm....chonde chonde nyie waalimu mkigusa hapo tutafikishana mbali....taafadhali sana
 
Looool wa karibu yangu anasoma Sociolgy hapo Udsm....chonde chonde nyie waalimu mkigusa hapo tutafikishana mbali....taafadhali sana

Kama yuko mwaka wa kwanza bado hawajammega ila mwaka wa 2 na 3 hatapona
 
Looool wa karibu yangu anasoma Sociolgy hapo Udsm....chonde chonde nyie waalimu mkigusa hapo tutafikishana mbali....taafadhali sana


mmmmmmmmmmmmmm may be kashaguswa mana kina MWA.. balaa kwa vitoto vya watu!..usihofu wanakutunzia!
(utani)lol
 
Kama yuko mwaka wa kwanza bado hawajammega ila mwaka wa 2 na 3 hatapona

kwi kwi kwi!
Duh hapo kazi sasa kwa hiyo mrembo mzuri hapo MLIMANI lazima wakubwa wammege??Dah bora kuoa kijijini uzindue mwenyewe.
 
ila kuna mwanamama yeye klas alikua naingia mara 2 kwa semister lkn du kukamata balaa(nimemsahau kidogo nikimkumbuka nitamtaja ila alikua anafundisha research)


huyu nimemkumbuka anaitwa DR. MWAIPOPO hivi bado yupo??
yeye alikua kutwa kwenye research zake, akirudi test tena anarudi karibu na UE kwa kukamata nae alikua tishio ila alikua fair mana anakamata kwakua watu hawana cha kujibu kwenye pepa lake!kisa yeye hayupo klas so hakuna anachofundisha hadi mwishonimwishoni mwa semister ndo anakuja!hapo unategemea nn..kwakweli alikua 'anawavua' sana 'samaki'
alikua anakamata yaani alikua anakimbizana na mwami
ntarudi tena
Anaitwa NYONI huyu mama, ni noma kwanza haingii darasani, halafu test zake multiple choice na fill in the blanks...​

Nyoni kipindi chetu was just tutorial assistant alikua anamshikiashikia MUSOKE ila seminar zake watu walikua wanamkimbia mana kimeo alikua
 
Duh kwa stahili hii kweli Department imeoza..... sasa tufanye nini ? tatizo ni nini? je sheria za chuo za kazi zikoje? kwa nini walimu hawa wanaidharau kazi inayowapa kunya kiasi hiki?
 
Nimesikia MISANYA nae wakati anasoma alikuwa kilaza ila Marehemu Prof. Chachage alimbeba
 
Nimesikia MISANYA nae wakati anasoma alikuwa kilaza ila Marehemu Prof. Chachage alimbeba

habari ndio hiyo ndugu yaani kilaza balaa/kuliko, mbaya zaidi kilaza hadi sasa!yaani ukiskia maprofesa uchwara wa baadae mmojawapo yeye
ntarudi ngoja nifanye kazi kidoooooooogo
 
wewe FAITH nani kakwambia baadae tutakuwa na MAPROF kama akina CHACHAGE, MUSHI, HAROUB HOUTHMAN, SHIVJI, MGOGO FIMBO na wengineo,,,kama wapo basi wachache sana,,, hawa wa kuvaa cheni na kuja darasani hakuna lolote,,,, lakini kuna akina DR. KAMATA, NG''WANZA na wengine very few they know what they are doing,,,

GEMBE na MAMA MIA jamani hamjaiona hii ya NGUOGANI,,,????
 
poleni wadogo zangu. inasikitisha ila wewe kuwa mwaminifu kama bado unasoma. ninaomba kuwa mwanadini kuwa 'mungu alichokuifadhia kinaweza kucheleweshwa ila hakiwezi kunyang'anywa na mtu yeyote"
 
HI JEFF, nimejiunga rasmi leo ingawa nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali kwenye hii forum. kilichonikuna ni mada ya sipo kuhusu sup hapo UDSM. kusema kweli imenigusa sana na nimesoma michango ya watu, kuna ya kuipa credit na kuna ya kuipuuza, ndio uhuru wa kusema huu. nianze kusema nami ni muathirika wa tatizo hili na si kweli kuwa hatusomi kama baadhi ya washiriki walivyosema ingawa ni kweli kuna ambao dhahiri hawasomi lakini haina maana ya kufanya generalization. kuna mambo makuu ninayotaka kusema:
1. sup ni kawaida na sehemu ya shule lakini kinachotokea hapa ni sup za lazima na za kukomoana baina ya lecturer na mwanafunzi, kwasababu mwalimu huyu toka mwanzo wa semister anasema ya kuwa hakuna wa kupata B+ hapa na kweli matokeo yakitoka ndivyo ilivyo. je hii ni sahihi kwenye ufundishaji?
2. somo la huyu mwalimu sio gumu kiasi hicho na kwa wale wanaokumbuka zamani lililkuwa likifundishwa na hayati Prof. Chachage na historia inaonyesha wanafunzi walielewa na aliyefeli alikubali kuwa mzembe. sasa huyu mwalimu toka apokee ni kilio na kusaga meno
3. hoja ya kusoma vitabu kwa huyu mwalimu sio sahihi kwani tulikuwa tunafuata mbinu zake zote za usomaji alizotaka yeye lakini kwakuwa alishapanga kukamata alikuwa haoni hivyo vitabu kwenye scripts wakati wa kusahihisha.
4. huyu sipo na mimi au wengine sio tunalalamika ila tunataka watanzania wajue kuwa kuna walimu wachache wanaharibu mfumo wa elimu Tanzania kwa malengo yao binafsi na kuyafanya maisha ya watoto wa maskini kuwa magumu, hata wale wanaojitahidi kwa kila hali.
5. tabia ya kukemea kwa huyu mwalimu pia ni kuwa na uhusiano na baadhi ya wanafunzi ambapo hudiriki hata kuwapa matokeo kabla hayajawa released. hii tumefanya uchunguzi na tunaongea kwa ushahidi madhubuti na sio bla bla.
6. kuhusu ku-appeal, jamani nyie sijui mnaujua ukweli kuhusu kuappeal, procedure ni nzuri lakini uhalisia sio hivyo. mwalimu huyu huyu anakwambia katika social sciences hakuna appeal na ukijaribu tu ni lazima udondokee pua. je nani wa kudhubutu. ebu fanyeni uchunguzi kabla ya kushauri jamani
7. halafu kuhusu dept kurudisha heshima yake, hivi heshima inakuja kwa kufelisha? mbona dept ya PSPA inaheshima yake kubwa tu na haijapatikana kwa kufelisha. hata dept ya GEOGRAPHY hipo juu sana kwa heshima ingawa sio kwa kufelisha.
8. halafu jamani hata mkuu wa dept ya sociology DR. MVUNGI, ABUU A.K alikuwa na kozi ngumu sana kuliko hata ya huyu DR lakini watu walisoma na wametoka waliokamatwa wanakiri kweli walifanya mistake sehemu fulani fulani.
9. jamani hakuna wanafunzi wanaosoma siku hizi kama dept ya sociology, hii ni kutokana na nature ya walimu lakini bado walimu wanawakamata vibaya mno. jaribuni kuangalia ratiba ya supllimentary hipo pale utawala inatisha sana upande wa hii dept. na hii inasababishwa na walimu kujisifu wanapokamata wanfunzi wengi kuliko wengine
10. hivi mnaposema degree sio vyeti mnamaanisha nini? M.A tutasomaje na GPA za 2.6 na 3.0 wakati vyuo vingine wanapata 3.5 mpaka 3.9. jamani elimu bongo inarudi nyuma. na kazi siku hizi zinapatikana kwa GPA nzuri na sio una nini kichwani, na mwajiri ataamini vipi una mambo kichwani wakati una GPA ya 2.0? GPA za sociology zinatisha sana na tutabaki tung'aa sharubu mtaani tu na wenye pesa ndio watakaosoma M.A ulaya kwa mapesa yao.

mwisho wanaoharibu shule zaidi ni ASSISTANT LECTURER na TUTORIALS nenda kafanye uchunguzi UDSM wana mademu kila seminar anayosimamia. wanawapendelea washkaji na mademu zao kwa kuwapa coursework za juu wakati wale wanao-toil library wanapata 2 ya 10.

SITULALAMIKI KWANI SUP LAZIMA NIFANYE NA NAAMINI NITATOKA TU ILA NINATOA HALI HALISI KWANI INAUMA SANA KUBANIWA WAKATI ULISTAHILI KUPITA NA KUFANYA MAMBO MENGINE YA KIMAISHA.

Pole sana ndugu Nguogani. Hiyo hali inatisha sana. Nashauri njia hii - inaweza kusaidia. Unaweza kukusanya malalamiko yote na yaandikwe vizuri kama [COLOR="Blue"anonymous letter[/COLOR].

Lakini inabidi iandikwe ikielezea matatizo yote kwa namna ambayo mwandishi anaomba mamlaka ya juu iyafanyie kazi. Huenda wakuu wa juu wataanza kufuatilia kwa vile watakuwa na 'clue' ya yale yanayoendelea kwa huyo njemba wa sociology. Huenda ameshachoka kufundisha na hapendi aondoke mwenyewe kwa hiyo anataka aondolewe.

Try that and we'll see. Hata kama huna hakika kama njia hii itasaidia, ni vizuri kujaribu kuliko kushindwa kujaribu kabisa! Who knows! Inaweza ikafanya kazi.
 
Jamani mi naona hapa Dar waajiri waangalie vingi kwani for sure GPA za wadau wa sociology zimeharibiwa sana na hawa walimu wasiojali kabisa hata maisha ya wanafunzi wao ya badae!watu hawana dili za kuwa malecturer wanataka tu GPA zao waendelee na maisha yao.

For real Sociology inaboa hata kumshauri mtu ajiunge nayo kuna upuuzi mwingi!!

mademu vilaza sana lakini uliza sasa GPA zao mmmh masuala ya kurembua macho watu wanapeta!

Lakini poa tu keep on struggling mbona watu hawana hata degree lakini wanatoka!
 
Back
Top Bottom