Kuna sehemu dar inaitwa gongo la mboto, nataka kujua chanzo cha jina hili.Hivi ni kweli zamani kuna jamaa aliyekuwa anaitwa mboto alishambuliwa na simba wakamla kila kitu wakaacha mgongo wake tu.Hiyo sehemu alipoliwa ikaitwa gongo la mboto mpaka sasa? Je hii story ni kweli au ?