Kiingereza Tanzania kimebomolewa na grader sasa tunachekana

zigii

JF-Expert Member
Apr 28, 2017
516
210
Ninasikitika sana mtanzania kumcheka mtanzania mwenzake eti hajui kiingereza huku akijua fika kiingereza nchini ni marufuku mpango huu upo kwa makusudi ili mtanzania asiwe na uelewa mpana wa elimu kiingereza kimebaki kwa watoto wa maboss tu kwa kuwa wao hupeleka watoto wao katika shule za level ya juu kwa ajili ya kupata ajira takatifu

Mtoto wa Tanzania aliemaliza chuo kikuu hapa hawezi kuongea kiingereza labda apate scholership nje sasa kama hii tunaijua kwa nini umcheke mwenzio mbona wakenya hamuwacheki kwa kutojua kiswahili? Imefikia wakati sasa tuihamasisha serekali ianzishe kiingereza kama lugha ya kufundishia kuepuka aibu kwa watoto wetu wa baadae imefikia mahala hutaki kukutana na mzungu ni aibu sana

Ushauri wangu tujilazimishe kuongea na wazungu hata kama tutakosea mbona wao wanalazimisha kiswahili hawaogopi kuchekwa?
 
Ninasikitika sana mtanzania kumcheka mtanzania mwenzake eti hajui kiingereza huku akijua fika kiingereza nchini ni marufuku mpango huu upo kwa makusudi ili mtanzania asiwe na uelewa mpana wa elimu kiingereza kimebaki kwa watoto wa maboss tu kwa kuwa wao hupeleka watoto wao katika shule za level ya juu kwa ajili ya kupata ajira takatifu

Mtoto wa Tanzania aliemaliza chuo kikuu hapa hawezi kuongea kiingereza labda apate scholership nje sasa kama hii tunaijua kwa nini umcheke mwenzio mbona wakenya hamuwacheki kwa kutojua kiswahili? Imefikia wakati sasa tuihamasisha serekali ianzishe kiingereza kama lugha ya kufundishia kuepuka aibu kwa watoto wetu wa baadae imefikia mahala hutaki kukutana na mzungu ni aibu sana

Ushauri wangu tujilazimishe kuongea na wazungu hata kama tutakosea mbona wao wanalazimisha kiswahili hawaogopi kuchekwa?

Nothing in all the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity.
You can proceed to keep on these nonsense
 
Ni kweli mkuu bora mimi ninayejaribu kuongea na kukosea kuliko yule anayenicheka
 
Back
Top Bottom