Kiingereza na somo la computer ni muhimu kwa maendeleo ya elimu yetu Tanzania

Mkuu, mm wala sina shaka na kiswahili mkuu ila ukweli tuuzungumze, hata lile suala la serikali kuwataka shule binafsi zishushe ada sidhani kama ilikuwa ndiyo suluhisho bali wange introduce English na computer katika mtaala wetu huu basi shule binafsi wangeshusha wenyewe ada lkn pia hata performance ya wanafunzi ingepanda sn cz mtu anajengewa msingi tangu chini, ebu angalia maajabu haya mwanafunzi anaambiwa kigawo kikubwa cha shirika zen akifika form 1 anakutana na habari za GCF au LCM, au mtu anafundishwa miaka saba habari za yai-lava-buu-mdudu akifika sekondari mambo yanabadilika ghafla huoni km tunawaharibu kisaikolojia watoto ambapo inapelekea hata kukosa wataalamu wabobezi, lkn shule za medium hata vitabu tu ni tofauti kabisa kule mtoto wa std 5 anasoma vitu ambavyo hawa watoto wetu wanakuja kuvisoma sekondari, na ndiyo maana nika suggest hata vitabu inapaswa nchi nzima tutumie vitabu vya aina moja na co hv vyenye hesabu za kuchagua, uliona wapi hesabu mtu akachagua jibu km history
Utakapokwenda kuishi Ujerumani, Ufaransa au hata Denmark utaanza kunielewa vizuri zaidi. Wote hao wanaheshimu lugha zao, ingawa wanaelewa Kiingereza. Kiingereza ni lugha tu kama zilivyo lugha nyingine, sio sawa na kuifananisha na lugha ya kitaalam. Eti ujenzi au kwa kitaalam tuinaita construction.
 
Utakapokwenda kuishi Ujerumani, Ufaransa au hata Denmark utaanza kunielewa vizuri zaidi. Wote hao wanaheshimu lugha zao, ingawa wanaelewa Kiingereza. Kiingereza ni lugha tu kama zilivyo lugha nyingine, sio sawa na kuifananisha na lugha ya kitaalam. Eti ujenzi au kwa kitaalam tuinaita construction.
Nisikilize hapa kwa umakini kdg ndugu yangu, tena hapo ndipo ulipogusa penyewe, iko hivi, nchi ambazo zina lugha zenye nguvu duniani mfano France, Italy, Spain, Greece, Norway, Sweeden, Germany and even Chinese nowadays wameanza kujifunza English cz imekuwa ndiyo lugha kiunganishi duniani yn fahamu lugha nyingi duniani ila kati ya hizo unazozifahamu English haitakiwi kukosa ili kurahisisha mawasiliano katika dunia hii kwnn unajifanya huelewi mkuu au kwnn unakimbia kivuli chako
 
Nisikilize hapa kwa umakini kdg ndugu yangu, tena hapo ndipo ulipogusa penyewe, iko hivi, nchi ambazo zina lugha zenye nguvu duniani mfano France, Italy, Spain, Greece, Norway, Sweeden, Germany and even Chinese nowadays wameanza kujifunza English cz imekuwa ndiyo lugha kiunganishi duniani yn fahamu lugha nyingi duniani ila kati ya hizo unazozifahamu English haitakiwi kukosa ili kurahisisha mawasiliano katika dunia hii kwnn unajifanya huelewi mkuu au kwnn unakimbia kivuli chako
Naona kama hunielewi. Hizo nchi zinafundisha kwa Kiingereza toka chekechea au wanathamini kwanza lugha zao. Unafikiri walianzaje kufanya hivyo kama wangekuwa wana mawazo uliyo nayo? Nimeshakuambia simaanishi kupuuza Kiingereza lakini bado umekazana kusujudu hiyo lugha.
 
Naona kama hunielewi. Hizo nchi zinafundisha kwa Kiingereza toka chekechea au wanathamini kwanza lugha zao. Unafikiri walianzaje kufanya hivyo kama wangekuwa wana mawazo uliyo nayo? Nimeshakuambia simaanishi kupuuza Kiingereza lakini bado umekazana kusujudu hiyo lugha.
Hzo nchi ni developed ndg zinajitolesheza technologically and economically km utaangalia hata vitabu vyao wanatumia lugha zao cc huku tunatumia vitabu vyenye lugha gn? Kwnn tunapenda kujidanganya?
 
Back
Top Bottom