Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Kiingereza ni wito ukiitwa na usiitike utapata taabu sana.
Kiingereza ni wito ukiitwa na usiitike utapata taabu sana.
Nimekumiss sana Mtu wangu sema niko mbali na Dunia siwezi kupiga simu.
Pathetic indeedAisee, hawa ni Wale waliopata kazi kwa vyeti vya kughushi
OK sawaLugha ilikuja na meli
Sahihi kabisaYour application for opening the FI account is being processed. You will receive a notification when your FI account has been created.
Tanzania tatizo siyo lugha ya kigeni au ya kwetu. Tatizo letu liko kwenye elimu. Ni wengi wamehitimu mpaka chuo kikuu lakini hawawezi kuandika hata kiswahili kilichonyooka. Watu hawako makini hata kidogo... bora liende. Kuna siku nilipata msg ya mhitimu wa Masters degree wa chuo kikuu cha Dar nilichoka kabisa na sikuamini kama ni yeye aliandika...Kiingereza ni wito ukiitwa na usiitike utapata taabu sana.