Kiingereza cha Waziri wa Elimu Profesa Ndalichako akiwa MUHAS. Inasikitisha

Alipata PhD in Educational psychology (Major in educational statistics & measurement and evaluation.) Kutoka University of Alberta, m Edmonton, Alberta, Canada ni chuo ambacho ni very prestigious kwa Canada na duniani kiujumla ! Kwa habari za chini chini hakusoma alirushwa kutoka Masters kwenda PhD kwa sababu alikuwa an exceptional scholar

Upo sahihi kabisa, kitaaluma ni mmoja wa vipsnga wakali sana wa Mathematics!
 
Harvard alisoma shahada gani?

Maana shahada za postgraduate kwenye hizo Ivy League institutions hazina prestige kama za undergrad. Selection yake si sawa na selection ya undergrad.

Hata Kinana na Sumaye ‘wamesoma’ Harvard.

Kama Chenge alisoma undergrad yake Harvard, then I’ll be impressed.

Nje ya hapo, hakuna kilicho impressive maana hata Swizz Beatz ‘kasoma’ Harvard.

Ila jiulize, kasoma nini na katika kiwango kipi…

Naona watu wakiona tu neno ‘Harvard’ basi wanadhani chochote kile cha kutoka hapo ni cha ujiko.

Si kweli.

Undergraduate degree!
 
Kujua lugha na kuelimika au kuwa na maarifa ni vitu viwili tofauti kabisa
 
Kiingereza cha huyo mama kinawakilisha Watanzania wengi sana!

Naamini hata wanaomsema humu kwamba hajui Kiingereza, ukivisikia Viingereza vyao, si ajabu havina tofauti na cha kwake.

Natamani sana siku nivisikie Viingereza vya wana JF….hahahahaa.

I can guarantee you havina tofauti kubwa na cha huyo mama.

Pamoja na kiingereza chako. Usijitoe hapa, we are sailing in the same boat labda kama hukijui kabisa!
 
Kujua lugha na kuelimika au kuwa na maarifa ni vitu viwili tofauti kabisa
 
Nilikua namjibu jamaa hapo juu kuwa kasoma huko huko kwa wazungu hajasoma hapa bongo hiyo shahada yake ya uzamivu.

Binafsi sioni tatizo la mtu ambaye kiingereza sio lugha yako namba moja ktk matamshi ila unapaswa uwe na mawasiliano yaliyonyooka kwa kuandika au kuzungumza.

Nimesoma na wajerumani darasa moja walikuwa na shahada zao za kwanza kutoka chuo kikuu cha Ludwig Maximilians (Munich) ila walikuwa wanapata shida sana kuzungumza kiingereza.

Munchen
 
Na alikuwa anasoma
emoji16.png
View attachment 1869103
View attachment 1869111
By the way, JAMIIFORUMS is more reliable than Forbes!
 
Daahhhhhh Ila sawa, amejitahidi. Ni ngumu sana kunua kiingereza vzuri kama umesoma mtaala wa kiswahili kutoka primary hadi juu.

Tutumie tu kiswahili ktk hotuba zetu
Na tusilalamike pale wakenya na waganda wanapokuja kuchukua kazi za juu kwenye international corporates nchini!
Kama Taifa ni lazima tujue ni wapi tumefeli, kuendelea kutumia kiswahili kama lugha ya kufundishia ni sawa na kuukimbia ulimwengu unapokwenda
 
Alipata PhD in Educational psychology (Major in educational statistics & measurement and evaluation.) Kutoka University of Alberta, m Edmonton, Alberta, Canada ni chuo ambacho ni very prestigious kwa Canada na duniani kiujumla ! Kwa habari za chini chini hakusoma alirushwa kutoka Masters kwenda PhD kwa sababu alikuwa an exceptional scholar
Kama ni kweli basi uchawi upo asee. Haiwezekani kabisa huyu akawa exceptional. Ni moja ya mawaziri wa hovyo kuwahi kutokea duniani.
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom