Hahhhhha yawezekanaHata kuiteulia majaji ni kuingilia uhuru wa mahakama pia, hawa watoto wamepewa vyeo naona hata uwezo wa kufikiri vizuri hawana.
Mpuuzi huyu angeanza kukanusha kile Jaji mstaafu Chande alipomwambia Mgagufuli ( mwendazake) kuwa vimemo vinavyoingilia mahakama vinawapa wakati mgumu."Wenzetu wa CHADEMA wamekuwa wakitoa kauli za kuitaka mahakama kumuachia kiongozi wao, tunapenda kuwaambia kuwa mahakama haingiliwi,waiache ifanye kazi yake ya utoaji wa haki kama kiongozi huyo ameonewa au tuhuma hizo ni za kweli mahakama itasema".
Darmpya
View attachment 1987736