Kihoja cha mwaka moshi kilimanjaro

Au ni volcano??🤔
Lakin kwa sababu saiv ni majilio ya x mass tutaona mengi
Screenshot_20181208-164041.png
 
Angalau ww umejitahidi
Ukifungua video, ukiona haifunguki, nenda pale juu kulia, utaona alama ya mshale, na vinukta vilivyobebana.

Bonyeza kwenye hivyo vinukta, utakuta neno refresh, liko juu, bonyeza hiyo refresh alafu nenda kafungue video, itafunguka tu.
 
VIdeo hii hapa
Moshi Kiwanda cha kahawa pale darajani kama waenda Majengo.
 

Attachments

  • VID-20181208-WA0024.mp4
    12.5 MB · Views: 13
Vipi moto umezima au bado mpaka leo? Usikute mlima Kilimanjaro unalipuka volcano taratibu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom