Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,659
Kigwangallah kajimix hapo vipi? Kila Waziri akiamua kujichomeka kwenye kila tangazo si itakuwa tafrani? Siku akitumbuliwa nadhani ndio itakuwa nafasi nzuri ya kuboresha hiyo english yenye matege na makengeza