Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla amesema Serikali haitaruhusu tena usafirishaji wa wanyama pori hai kutoka Tanzania kwenda nchi nyingine
Waziri Kigwangalla amesema wanaenda kubadilisha sheria ili kupiga marufuku kabisa biashara hii
Ametoa majibu hayo baada ya kuulizwa ni wakati akijibu zuio la kuuza vipepeo nje ya Tanzania linaisha lini
Waziri Kigwangalla amesema wanaenda kubadilisha sheria ili kupiga marufuku kabisa biashara hii
Ametoa majibu hayo baada ya kuulizwa ni wakati akijibu zuio la kuuza vipepeo nje ya Tanzania linaisha lini