Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,772
- 3,160
Mwingineee atakayemsupport Membe???
mkewe,kidumu chake,wanae
Mwingineee atakayemsupport Membe???
Huyo mjinga alikuwa mshindi wa tatu katika kura za maoni
Mbona hata Kigwa mwenyewe naskia anautaka Urais? Na keshaanza kupiga jaramba kwa ziara za nje na Rais!
Atawezaje maana hata ubunge alibebwa!
I like ua SIGNATURETanzania haiiishi vituko! Huyu so ndio alibebwa na mbeleko ya mke wa rais ubunge nzega?
Waandishi wa habari wameshindwa kumuuliza Dr Hamis Kigwangalla maswali ambayo nilifikiri ni muhimu wakati anatangaza nia yake ya kugombea urais mwakani.
Mosi, kwa mujibu wa wasifu wake ulioko kwenye tovuti ya bunge, atakuwa hajafikisha miaka 40 CCM itakapochangua mgombea wake wa urais.
Pili, Dr Kigwangalla alinukuliwa na vyombo vya habari mwaka jana mwezi wa tatu akisema kuwa Waziri Membe alikuwa rais kwa asilimia 60 na yeye alikuwa anamuunga mkono.
MKuu acha kumtukana Mbayumbayu kwa kumliganisha na huyu jamaa
Hii ni kutudharau watz maana anajua kama Chama chake Kikimpitisha watz tutampigia kura maana hatujui kipi ni bora na kipi ni bogus........ili mradi tumekula Wali na kupewa kanga.
Hatuna waandishi wa habari Tanzania ......