Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Kumbe hakumuunga mkono Magufuli?Akizungumza saa 12jioni hii katika kipindi cha hotmix kinachorushwa na EATV amesema endapo mheshimiwa membe atachukua fomu ya kuwania urais yeye atakuwa wa kwanza kumuunga mkono.