fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,377
- 7,896
Mpe za uso mpuuzi huyoKingwangala tulia ni zamu ya wengine kula mapande ya ngamia.
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mpe za uso mpuuzi huyoKingwangala tulia ni zamu ya wengine kula mapande ya ngamia.
Kabisa mama yko wazi kabisaUzuri wa serikali yenye uwazi! Jiwe alikopa trilion 20 ndani ya miaka mitano hazijulikani zimeenda wapi, maana miradi yake anayosingizia hiyo hela aliipeleka huko yote haijakamilika ndani ya muda aliotudanganya itakamilika! Angeendelea mitano mingine angetuachia deni la tril 100 yule jamaa, na hela yote angeitafuna yeye na ndugu zake