Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,441
- 7,778
Mbunge wa Nzega vijijini, Hamis Kigwangala amesema uchumi wa gesi hauzungumziwi tena nchini ilhali yeye alidhani ungekuwa neema akikumbuka jinsi walivyozungumza Bungeni Mwaka 2010. Kigwangalla anasema bei ya gesi inazidi kushuka duniani.
Amesema makadirio ya bei ya Gesi miaka 15 ijayo itazidi kushuka na kumpa mashaka kizazi kijacho hakitazungumza aina ya nishati iliyopo leo.
Kigwangala amesema gesi isipotumika ipasavyo leo, itapotea bure na haitakuja kuwa na faida na kuitaka serikali kufikiria namna ya kuitumia gesi kwa namna yoyote ile badala ya kudhani kuna kufaidika zaidi mbele kuliko sasa kwani hata matarajio yalikyokuwepo miaka 11 nyuma sasa hayapo.
Amesema makadirio ya bei ya Gesi miaka 15 ijayo itazidi kushuka na kumpa mashaka kizazi kijacho hakitazungumza aina ya nishati iliyopo leo.
Kigwangala amesema gesi isipotumika ipasavyo leo, itapotea bure na haitakuja kuwa na faida na kuitaka serikali kufikiria namna ya kuitumia gesi kwa namna yoyote ile badala ya kudhani kuna kufaidika zaidi mbele kuliko sasa kwani hata matarajio yalikyokuwepo miaka 11 nyuma sasa hayapo.