Kigwangalla amtaka Profesa Mkenda kujiuzulu Uwaziri

crankshaft

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,410
3,376
Kufuatia sakata la Bodi ya Mkopo linaloendelea Bungeni, Mbunge huyu amemtaka Waziri wa Elimu kujiuzulu kwa kosa la kulidanganya Bunge huku akishangiliwa na wabunge wengi.

Hii inafuatia ripoti iliyoundwa na Bunge kuwahoji wakuu wa bodi ya mkopo kwa tuhuma za kukaidi maagizo ya Serikali.

Ripoti hiyo haijabaini makosa ambayo Profesa Mkenda amewatuhumu na hivyo kuzua tuhuma za Waziri huyo kulidanya Bunge.

Huku akishangiliwa na wabunge wengi amemtaka Waziri huyo kuliomba ladhi Bunge, watanzania na kujitafakari kama bado anatosha kuhudumu katika nafasi hiyo.
 
Kigwangallah ana bif na Prof Mkenda tangu wakiwa wote Wizara ya Maliasili na Utalii.

Wabunge walipaswa kujitenga na Kigwangallah kwakuwa tangu aondolewe nafasi ya Waziri amekuwa kituko.
Kwani alichosema ni cha uongo? Kamati ya Bunge si ndio iliyobainisha hayo au?
 
Kufuatia sakata la bodi ya mkopo linaloendelea bungeni mbunge huyu amemtaka waziri wa elimu kujiuzulu kwa kosa la kulidanganya bunge huku akishangiliwa na wabunge wengi.

hii inafuatia ripoti iliyoundwa na bunge kuwahoji wakuu wa bodi ya mkopo kwa tuhuma za kukaidi maagizo ya serikari.

ripoti hiyo haijabaini makosa ambayo prof. Mkenda amewatuhumu na hivyo kuzua tuhuma za waziri huyo kulidanya bunge.

huku akishangiliwa na wabunge wengi amemtaka waziri huyo kuliomba ladhi bunge, watanzania na kujitafakari kama bado anatosha kuhudumu katika nafasi hiyo.
Nyote humo bungeni ni walamba Miguu ya mwenda! Jitafakarini kama kweli mwatosha hapo mlipo na kukumbatia COVID 19 Hovyo!!
 
Huyu chawa anachuki na mkenda muda mrefu
Hao wabunge ni wajinga wanaingia kwenye bifu la watu kuchochea chuki watu wazima ovyooo kabsaaa

Wanaelewa vzr kabsaaa huyo chawa anachuki binafsi wao wanashangilia

Spika simamia miongozo usiendeshwe na hao wahuni
Sikiliza mapendekezo ya kamati
 
Kufuatia sakata la bodi ya mkopo linaloendelea bungeni mbunge huyu amemtaka waziri wa elimu kujiuzulu kwa kosa la kulidanganya bunge huku akishangiliwa na wabunge wengi.

hii inafuatia ripoti iliyoundwa na bunge kuwahoji wakuu wa bodi ya mkopo kwa tuhuma za kukaidi maagizo ya serikari.

ripoti hiyo haijabaini makosa ambayo prof. Mkenda amewatuhumu na hivyo kuzua tuhuma za waziri huyo kulidanya bunge.

huku akishangiliwa na wabunge wengi amemtaka waziri huyo kuliomba ladhi bunge, watanzania na kujitafakari kama bado anatosha kuhudumu katika nafasi hiyo.
Akiomba ladhi mnishtue wakuu
 
Kigwangallah ana bif na Prof Mkenda tangu wakiwa wote Wizara ya Maliasili na Utalii.

Wabunge walipaswa kujitenga na Kigwangallah kwakuwa tangu aondolewe nafasi ya Waziri amekuwa kituko.

Ni jambo jema kutoa hoja ambazo zinaweza kusaidia mjadala, kama Kigwangallah amesema kweli na wabunge wanahakika alichosema Waziri ni uongo basi hata km humpendi Hamis basi penda aliyoyasema.
Kwa kua walitofautiana ndio ukweli usisemwe?
 
Huyu chawa anachuki na mkenda muda mrefu
Hao wabunge ni wajinga wanaingia kwenye bifu la watu kuchochea chuki watu wazima ovyooo kabsaaa

Wanaelewa vzr kabsaaa huyo chawa anachuki binafsi wao wanashangilia

Spika simamia miongozo usiendeshwe na hao wahuni
Sikiliza mapendekezo ya kamati
Kamati ya Bunge ndio iliyobainisha hayo siyo Kingwangala.
 
Back
Top Bottom