Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Huna haja ya kumtetea. Lugha aliyotumia na namna alivyojibu hoja mbali mbali hapa siyo ya kistaarabu. Wapiga kura wake wangekuwa na uwezo wa kusoma hizi posts zake wangesikitika sana!! Ushauri wako wa yeye kutumia JF sidhani kama anatakiwa auzingatie cuz huko Nzega ni wananchi wangapi wenye access na internet???mkuu,ulitaka ajibu vipi,?
mtu kuwa mbunge hakubadili utu wako na utashi,, mimi naamini wapo wabunge ccm wanaojibu kimipasho ( mfano;livingstone lusinde, mwigulu chemba) ila sio mh kigwangala !
mh kigwangala nakushauri utumie sana mitandao ya kijamii hasa jf, maana wewe humiliki magazeti na redio . huku ndiko utatendewa haki sawasawa na matendo.