nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Usiniharibie jina langu, naomba u-spell vizuri, naitwa 'Kigwangalla'. Unaweza kumdanganya mtoto tu kuwa humjui huyo uliyemtaja...maana maneno yako na jinsi ulivyochangia mjadala huu na mingine yote inayonihusu vinaeleza wazi kuwa wewe ni nani...endelea kutumika tu kaka...kwanza hauna sababu ya kukaa kwenye thread hii moja muda wote huo toka uchangie mara ya kwanza mpaka sasa hivi, na michango yako yote ikawa negative...nimekufuatilia kwa muda mrefu na kujua kuwa upo hapa kwa ajili ya kazi maalum...BASI ENDELEA TU
watu wenye kama akina MM Mwanakijiji, Pasco, Mkandara hawawezi kufanya kama wewe...jifunze toka kwao sasa ili uje kuwa mchagngiaji mwenye kuheshimika badala ya kidampa kuwadi wa marafiki zako mafisadi
What matters is not a persons name SPELLING what always matter is Humanity and 2 you has only
scratched the surface of its real potential...