mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,223
- 4,673
Kigwangwala ni moja wanasiasa vijana machachali wa zama hizi ambaye safari yake ya kisiasa uhenda ndio imemalizika.
Naona anatumia nguvu kubwa sana kujaribu kuweka mambo sawa kulinda jina lake, anashinda Twitter akijisafisha. Mara utamuona Instagram akijisafisha. Ametembea baadhi ya media kujisafisha. Juzi kaita wazee wa jimboni kwake kujisafisha. Well and good ila the damage is done.
Kuna matukio matatu ambayo yamechangia kumporomosha kisiasa.
Jambo la kwanza, ni kuingilia masuala ya uhendeshaji wa Simba. Hapa aligusa hisia za wanasimba walio wengi wanamuona kama anataka kuwarudisha nyuma so popote watapopata chance ya kumpiga watamtandika kweli kweli.
Pili, kutoka hadharani baada ya kifo cha Magufuli na kuanza kupromoti chanjo ya COVID 19. Hapa aligusa hisia za wafuasi na mashabiki kindakindaki wa Magufuli waliona kama ni msaliti. Wengi walikuwa wanamuuliza ulikuwa wapi kusema hapo nyuma? Lakini pia ili kundi la chanjo lina mizizi sio tu kwa waliompenda Magufuli bali mpaka kwa watu wa imani na mitazamo ya kiafrica hao wote aliwagusa pabaya. Wanasiasa wabobezi hutowasikia wakitoa maoni kuhusu chanjo.
Tatu na lililopigilia msumali wa ndoto za kisiasa za Hamis haswa kwenye kusaka influence kwa vijana ni ishu ya ripoti ya CAG ambayo iligusa moja kwa moja sio tu wizara yake bali ofisi yake kama waziri. Hapa HK walimmaliza.
Mchanganyiko wa haya matukio matatu umempotezea Kigwangwala weledi wa kisiasa.
Inawezekana Kigwangwala alikuwa sahihi kwenye kila jambo hapo ila shida yake kubwa jamaa anakosa namna nzuri ya kuwasilisha mambo yake.
Pia sio mtu mwenye subira, hawezi kusubiri wakati sahihi wa kuzungumza jambo na hii ndio weakness yake kubwa. Ni mtu mwepesi sana kuwa provoked.
Namalizia kwa kusema Kigwangwala amefata njia ya January Makamba. Vijana machachali wa kisiasa walioangukia pua sababu ya kutojua kucheza na wakati.
Ajali zao za kisiasa zinaweza zikawaacha walemavu milele.
Naona anatumia nguvu kubwa sana kujaribu kuweka mambo sawa kulinda jina lake, anashinda Twitter akijisafisha. Mara utamuona Instagram akijisafisha. Ametembea baadhi ya media kujisafisha. Juzi kaita wazee wa jimboni kwake kujisafisha. Well and good ila the damage is done.
Kuna matukio matatu ambayo yamechangia kumporomosha kisiasa.
Jambo la kwanza, ni kuingilia masuala ya uhendeshaji wa Simba. Hapa aligusa hisia za wanasimba walio wengi wanamuona kama anataka kuwarudisha nyuma so popote watapopata chance ya kumpiga watamtandika kweli kweli.
Pili, kutoka hadharani baada ya kifo cha Magufuli na kuanza kupromoti chanjo ya COVID 19. Hapa aligusa hisia za wafuasi na mashabiki kindakindaki wa Magufuli waliona kama ni msaliti. Wengi walikuwa wanamuuliza ulikuwa wapi kusema hapo nyuma? Lakini pia ili kundi la chanjo lina mizizi sio tu kwa waliompenda Magufuli bali mpaka kwa watu wa imani na mitazamo ya kiafrica hao wote aliwagusa pabaya. Wanasiasa wabobezi hutowasikia wakitoa maoni kuhusu chanjo.
Tatu na lililopigilia msumali wa ndoto za kisiasa za Hamis haswa kwenye kusaka influence kwa vijana ni ishu ya ripoti ya CAG ambayo iligusa moja kwa moja sio tu wizara yake bali ofisi yake kama waziri. Hapa HK walimmaliza.
Mchanganyiko wa haya matukio matatu umempotezea Kigwangwala weledi wa kisiasa.
Inawezekana Kigwangwala alikuwa sahihi kwenye kila jambo hapo ila shida yake kubwa jamaa anakosa namna nzuri ya kuwasilisha mambo yake.
Pia sio mtu mwenye subira, hawezi kusubiri wakati sahihi wa kuzungumza jambo na hii ndio weakness yake kubwa. Ni mtu mwepesi sana kuwa provoked.
Namalizia kwa kusema Kigwangwala amefata njia ya January Makamba. Vijana machachali wa kisiasa walioangukia pua sababu ya kutojua kucheza na wakati.
Ajali zao za kisiasa zinaweza zikawaacha walemavu milele.