Kigwangalla aiagiza TAKUKURU imchunguze Nyalandu, amtuhumu kuipotezea Serikali mabilioni kupitia tozo za hoteli

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,426
7,735
Kwa ufupi
Waziri huyo amemshukia Nyalandu akidai kuwa ameipotezea Serikali mabilioni

By Daniel Mjema, Mwananchi
Dodoma. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangala amemlipua waziri wa zamani wa wizara hiyo, Lazaro Nyalandu akimtuhumu kwa matumizi mabaya ya madaraka.

Akichangia Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 207/2018, Dk Kigwangalla ameiagiza Takukuru na polisi kumchunguza Nyalandu.

Dk Kigwangala amesema Nyalandu aliikosesha Serikali mapato ya Sh32 bilioni kwa miaka miwili aliyohudumu katika wizara hiyo kwa kushindwa kusaini sheria ya tozo kwa hoteli za kitalii.

Mbali na tuhuma hiyo, pia alimtuhumu kutumia helkopta ya mwekezaji mmoja raia wa kigeni, kipindi cha kampeni zake za kugombea urais 2015, wakati kampuni ya raia huyo ilikuwa ikituhumiwa kwa ujangili.

Hata hivyo wakati Kigwangala akitoa tuhuma hizo tayari Nyalandu alishasema kuwa tuhuma ambazo zimeanza kuibuliwa mitandao dhidi yake si za kweli bali zinalenga tu kumchafua.

Akizungumza na Mwananchi hivi karibuni alishangaa iweje ziibuliwe sasa zaidi ya miaka miwili tangu aachie uwaziri.



 
hahahahahahahahhaahhaahahahahhaha...CCM vichekesho kweli

eti tuhuma kwa nyalandu

na wala sio tuhuma kwa Maghembe..wala sio kwa Maige....wala sio kwa Kagasheki


Hhahahahaha

Kweli mnachekesha

Nyalandu amehudumu miaka 2 tu wizarani pale..na hajatoa kitalu chochote cha uwindaji...

Hakusaini ndio ,.....kwani mlitaka mje kumwingiza kingi kwamba na yeye ni sehemu ya uchafu

Ukiona mtu anaihama CCM ujue amejitafiti na ni msafi kweli kweli

Manake wanaoshindwa kutoka CCM ni majizi kweli kweli
 
Chadema watampigania asijali Sana.!

na wewe naweeee..badala ya kujiongeza akili zako ndio hapo umegota

mambo mengine ni common sense tu..Jiulize why Nyalandu?

Hakuna mtu anakataa hatua kuchukuliwa kwa walioingiza nchi hasara

Lakini zinapaswa zichukuliwe hatua na sio kuonea watu kwa sababu tu wameikataa CCM

Ila common sense inasema...mtu mwenye uhakika na usafi wake ndiye mwenye guts za kutoka CCM
 
Kwa ufupi
Waziri huyo amemshukia Nyalandu akidai kuwa ameipotezea Serikali mabilioni

By Daniel Mjema, Mwananchi
Dodoma. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangala amemlipua waziri wa zamani wa wizara hiyo, Lazaro Nyalandu akimtuhumu kwa matumizi mabaya ya madaraka.

Akichangia Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 207/2018, Dk Kigwangalla ameiagiza Takukuru na polisi kumchunguza Nyalandu.

Dk Kigwangala amesema Nyalandu aliikosesha Serikali mapato ya Sh32 bilioni kwa miaka miwili aliyohudumu katika wizara hiyo kwa kushindwa kusaini sheria ya tozo kwa hoteli za kitalii.

Mbali na tuhuma hiyo, pia alimtuhumu kutumia helkopta ya mwekezaji mmoja raia wa kigeni, kipindi cha kampeni zake za kugombea urais 2015, wakati kampuni ya raia huyo ilikuwa ikituhumiwa kwa ujangili.

Hata hivyo wakati Kigwangala akitoa tuhuma hizo tayari Nyalandu alishasema kuwa tuhuma ambazo zimeanza kuibuliwa mitandao dhidi yake si za kweli bali zinalenga tu kumchafua.

Akizungumza na Mwananchi hivi karibuni alishangaa iweje ziibuliwe sasa zaidi ya miaka miwili tangu aachie uwaziri.
Huwa namuamini sana Kigwa ila kwa namna anavyotaka kufanya sasa naanza kuingiwa na hofu na nina amini huyu sio Kigwa yule wa mitizamo mwanana ninaye mfahamu. Ngoja tuone kwa kuwa tunasubiri.
 
Kwa ufupi
Waziri huyo amemshukia Nyalandu akidai kuwa ameipotezea Serikali mabilioni

By Daniel Mjema, Mwananchi
Dodoma. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangala amemlipua waziri wa zamani wa wizara hiyo, Lazaro Nyalandu akimtuhumu kwa matumizi mabaya ya madaraka.

Akichangia Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 207/2018, Dk Kigwangalla ameiagiza Takukuru na polisi kumchunguza Nyalandu.

Dk Kigwangala amesema Nyalandu aliikosesha Serikali mapato ya Sh32 bilioni kwa miaka miwili aliyohudumu katika wizara hiyo kwa kushindwa kusaini sheria ya tozo kwa hoteli za kitalii.

Mbali na tuhuma hiyo, pia alimtuhumu kutumia helkopta ya mwekezaji mmoja raia wa kigeni, kipindi cha kampeni zake za kugombea urais 2015, wakati kampuni ya raia huyo ilikuwa ikituhumiwa kwa ujangili.

Hata hivyo wakati Kigwangala akitoa tuhuma hizo tayari Nyalandu alishasema kuwa tuhuma ambazo zimeanza kuibuliwa mitandao dhidi yake si za kweli bali zinalenga tu kumchafua.

Akizungumza na Mwananchi hivi karibuni alishangaa iweje ziibuliwe sasa zaidi ya miaka miwili tangu aachie uwaziri.
Vijna wanapenda 'witch hunting'
 
bila mihemko yoyote..hebu elezea hapa Lowasa amefanya kosa lipi?

na kwanini hadi leo hajapelekwa kwenye mahakama ya mafisadi?

Ujue msiwe mnaonge atuuuu kwa sababu Mungu amewapa akili za bure
Hizi ni HOJA dhaifu sana.Kwahiyo naye chenge msafi?mbona mliendelea kumwita fisadi na ushahid mlikua nao badala ya kumpeleka mahakaman?Au hamkua na ushahid?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom