Mkuu siyo akili ya bure tu bali na midomo ya bure ambayo haina ushirikiano na hiyo akili.bila mihemko yoyote..hebu elezea hapa Lowasa amefanya kosa lipi?
na kwanini hadi leo hajapelekwa kwenye mahakama ya mafisadi?
Ujue msiwe mnaonge atuuuu kwa sababu Mungu amewapa akili za bure
Acha vyombo vya sheria vifanye kazi yeke.....kama hausiki ataachiwa huru.na wewe naweeee..badala ya kujiongeza akili zako ndio hapo umegota
mambo mengine ni common sense tu..Jiulize why Nyalandu?
Hakuna mtu anakataa hatua kuchukuliwa kwa walioingiza nchi hasara
Lakini zinapaswa zichukuliwe hatua na sio kuonea watu kwa sababu tu wameikataa CCM
Ila common sense inasema...mtu mwenye uhakika na usafi wake ndiye mwenye guts za kutoka CCM
mimi sina mda wa kuelezea hayo yote mkuu nimekuekea link hapa unaweza kufatilia vizuri kwa utulivu kabisa bila mihemko.hebu elezea hapa Lowasa amefanya kosa lipi?
Hizi ni HOJA dhaifu sana.Kwahiyo naye chenge msafi?mbona mliendelea kumwita fisadi na ushahid mlikua nao badala ya kumpeleka mahakaman?Au hamkua na ushahid?
Akihamia Chadema makamanda mtamdekia hadi barabara.!Kama Mnyeti tulivyompigania.
Kama ana tuhuma apelekwe mahakamani.
Swali la kijinga kabisa hili, kwa hiyo walarushwa wasifungwe sababu rushwa wanayokula haitoki kwenye taasisi zao.?Kwani iyo helicopter alitumia hela za wizara
kuna mtu yeyote ..so far..amezuia vyombo kufanya kazi yake? anyway..ngoja tuwaone nyie mnaodhani kama kuna hata hivyo vyombo hasa kuhusu masuala ya Rushwa...bro umelogwa na nani? hii yote ni kwa sababu ya slaa tu?Acha vyombo vya sheria vifanye kazi yeke.....kama hausiki ataachiwa huru.
TAKUKURU hii hii iliyoshindwa kumchukulia Hatua DC Mnyeti aliyekamatwa na Rushwa red handed..You must be joking bro...kabisa yaniiHuu ni mda muafaka Chadema kuunga mkono juhudi za TAKUKURU ili Tuhuma dhidi yake zidhibitishwe....
Chadema acheni ukigeugeu.....kwa ujinga huu ccm itatawala miaka mingi ijayo.!
mimi sina mda wa kuelezea hayo yote mkuu nimekuekea link hapa unaweza kufatilia vizuri kwa utulivu kabisa bila mihemko.
Jizi lolote siku hizi likitaka kujisafisha kwa bavicha na ukawa kwa jumla ni kujiunga huko, wala hatumii nguvu!!Chadema watampigania asijali Sana.!
Yeyote mwenye ushahid anatakiwa apeleke sehem husika kwa ajili ya hatua zaid.chadema imezunguka miaka nane na ushahid wa ufisadi wa lowasa,je hawakujua kuwa kuna sehem husika inatakiwa wapeleke ushahid wao kuisaidia SERIKALI?Vipi ule ushahid chadema bado wanao ili hata Mimi mwananchi nije nichukue nipeleke sehem husika?mkuu wewe huelewi usemacho..Nani anatakiwa kumfikisha mtu mahakamani kwa makosa ya Jinai?
Kwa sheria za Tanzania.
Ivi bro una akili hata ya kuvukia barabara?
Dah! Yaani hapo umeongea kama mkulu mwenyewe. Unakumbuka ile mijizi ya Acacia? Nao waliitwa wanaume kweli kweli...!hahahahahahahahhaahhaahahahahhaha...CCM vichekesho kweli
eti tuhuma kwa nyalandu
na wala sio tuhuma kwa Maghembe..wala sio kwa Maige....wala sio kwa Kagasheki
Hhahahahaha
Kweli mnachekesha
Nyalandu amehudumu miaka 2 tu wizarani pale..na hajatoa kitalu chochote cha uwindaji...
Hakusaini ndio ,.....kwani mlitaka mje kumwingiza kingi kwamba na yeye ni sehemu ya uchafu
Ukiona mtu anaihama CCM ujue amejitafiti na ni msafi kweli kweli
Manake wanaoshindwa kutoka CCM ni majizi kweli kweli
Kwa ufupi
Waziri huyo amemshukia Nyalandu akidai kuwa ameipotezea Serikali mabilioni
By Daniel Mjema, Mwananchi
Dodoma. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangala amemlipua waziri wa zamani wa wizara hiyo, Lazaro Nyalandu akimtuhumu kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Akichangia Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 207/2018, Dk Kigwangalla ameiagiza Takukuru na polisi kumchunguza Nyalandu.
Dk Kigwangala amesema Nyalandu aliikosesha Serikali mapato ya Sh32 bilioni kwa miaka miwili aliyohudumu katika wizara hiyo kwa kushindwa kusaini sheria ya tozo kwa hoteli za kitalii.
Mbali na tuhuma hiyo, pia alimtuhumu kutumia helkopta ya mwekezaji mmoja raia wa kigeni, kipindi cha kampeni zake za kugombea urais 2015, wakati kampuni ya raia huyo ilikuwa ikituhumiwa kwa ujangili.
Hata hivyo wakati Kigwangala akitoa tuhuma hizo tayari Nyalandu alishasema kuwa tuhuma ambazo zimeanza kuibuliwa mitandao dhidi yake si za kweli bali zinalenga tu kumchafua.
Akizungumza na Mwananchi hivi karibuni alishangaa iweje ziibuliwe sasa zaidi ya miaka miwili tangu aachie uwaziri.