johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Niombe tu mjeshi mmoja awe kutoka JW au polisi ajitolee kumfundisha kamanda mkuu wa jeshi la wanyamapori Dr Kigwangalla namna ya kupiga salute kiaskari.
Leo pale mbughani salute za Waziri zilikuwa zinafurahisha sana hazikutofautiana kabisa na zile za Joti wa orijino komedi.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Leo pale mbughani salute za Waziri zilikuwa zinafurahisha sana hazikutofautiana kabisa na zile za Joti wa orijino komedi.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!