Kigwangala yuko Wizara gani?

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
Naibu Waziri wa Afya, Daktari kijana na mwanaharakati wa muda mrefu katika kutetea haki za madaktari (ameshiriki mengi) ametoa kauli akitaka maelezo kuhusu kukosekana chanjo na amefikia hatua ya kuhoji hatua zilizochukuliwa dhidi ya waliokwamisha ndani ya wizara na hata Hazina.

Bahati mbaya sana suala analozungumzia limeshafanyiwa kazi na mtendaji wa hazina amethibitisha kwamba muda mrefu walishatoa Shilingi Bilioni 1.6 kwenda Wizara ya afya kwa ajili ya chanjo.

Naibu Waziri alipaswa kujua kuwa fedha hizo zilishaingia wizarani kwake na zilishaanza kazi.

Lakini wakati wenzake wanashughulikia suala hilo, yeye aliulizwa Instagram akasema hajui na atafuatilia lakini badala ya kufuatilia katika ofisi yake, anatoa matamko tata mtandaoni.

Pengine anafanya hivyo baada ya kuona watu wanahoji mtandaoni, lakini angefanya hivyo kwa kuwa na taarifa za uhakika na za wakati na asingeanza kulaumu hazina na kuhoji hatua dhidi ya watumishi wa hazina ambao wana waziri wao.

Naona kama Kigwangala ameanza kujisahau na kujiona kama ni Waziri Mkuu ama Rais (aligombea kuteuliwa na CCM awe mgombea uraisi). Alifanya hivyo kuliagiza Jeshi la Polisi kukamata watu kwa sababu tu aliulizwa swali na mwandishi kwamba ameshindwa.

Kwa uwezo alionao, ni vyema Naibu Waziri akajikita katika kufanya kazi kwa umakini zaidi ikiwa ni pamoja na kusoma majalada ya masuala anayotaka kuyatolea matamko kuepuka kutoa taarifa ambazo zinakinzana.

Bado kama kijana anayo nafasi nzuri ya kujirekebisha na kuongeza umakini wa kushiriki vikao na kusoma majalada badala ya kufunika muda wa kazi aliotumia kufuatilia biashara zake za ununuzi wa pamba kwa kisingizio cha kwenda kufanya ukaguzi wa vituo vya afya.


1471774826130.jpg
 
#Repost @mangekimambi_ with @repostapp
・・・
Baada ya ile posti ya jana. Hiki ndo alichosema Kingwangwala. Aibu yani! Eti alikuwa hajui kuna upungufu wa chanjo nchini... imebidi nimecheke. Mange Kimambi Niko Marekani najua kuna upungufu mkubwa wa chanjo Tanzania Ila naibu Waziri wa Afya anaeishi Tanzania hajui kuna upungufu wa chanjo..... . Nilidhani mawaziri wa Magufuli wako makini! . .
.
Nawaambia Hivi alikuwa anajua vizuri, wote wanajua mpaka Rais anajua. Haiwezekani hospitali za serikali hazijapeleka taarifa serikalini. Wanajua vizuri ila Tatizo pesa, kununua chanjo hawawezi kula juu Kwa juuu. Wanaona bora wakajenge mji Dodoma watajirike kuliko kuokoa Maisha ya Watoto wenu.
.
.

#Repost @hamisi_kigwangalla
・・・
Kumekuwa na upungufu wa chanjo ya 'yellow fever' kwenye kituo cha Mnazi Mmoja, ambapo watu wengi wamezoea kuipata kabla ya Safari. Wakati tukitatua changamoto hii, tunawaelekeza wananchi wote wanaohitaji chanjo hii Kwa ajili ya Safari waende Bandarini sea port wataipata. Samahani Kwa kuchelewa kutoa maelezo haya. Niko jimboni, tulikuwa Na ugeni wa Mhe. Rais. Kuhusu chanjo nyingine, sijapata taarifa za upungufu. Naomba niendelee kufuatilia, nitawapa taarifa sahihi Wakati muafaka. #MzeeWaField #BaloziWaWanawake #Mtemi #Dr_Kigwangalla #Hapakazitu


Hii Post ya Agosti 2, 2016... Naibu Waziri kweli alikua hajapata muda kuongea na watendaji wake ama viongozi wenzake? Hajapata mda kusoma majalada?
 
Like Hillary like Kigwangala...hiyo anayoitumia kutoa misimamo na matamko ya kiofisi in account ya wizara au ni yake binafsi?
 
Like Hillary like Kugwangalla...hiyo anayoitumia kutoa misimamo na matamko ya kiofisi in account ya wizara au ni yake binafsi?
Hilo nalo tatizo jingine. Anatoa matamko mara kwa mara na hata kujibu instagram na hata kuripoti instagram hatua alizochukua baada ya kusoma hoja instagram! Kuna mambo kweli anaweza kutumia nafasi yake kuwa social kufanikisha lakini umakini ni muhimu sana kwake.

Mfano alipaswa kujua kwamba serikali imeshatoa pesa
 
#Repost @mangekimambi_ with @repostapp
・・・
Baada ya ile posti ya jana. Hiki ndo alichosema Kingwangwala. Aibu yani! Eti alikuwa hajui kuna upungufu wa chanjo nchini... imebidi nimecheke. Mange Kimambi Niko Marekani najua kuna upungufu mkubwa wa chanjo Tanzania Ila naibu Waziri wa Afya anaeishi Tanzania hajui kuna upungufu wa chanjo..... . Nilidhani mawaziri wa Magufuli wako makini! . .
.
Nawaambia Hivi alikuwa anajua vizuri, wote wanajua mpaka Rais anajua. Haiwezekani hospitali za serikali hazijapeleka taarifa serikalini. Wanajua vizuri ila Tatizo pesa, kununua chanjo hawawezi kula juu Kwa juuu. Wanaona bora wakajenge mji Dodoma watajirike kuliko kuokoa Maisha ya Watoto wenu.
.
.

#Repost @hamisi_kigwangalla
・・・
Kumekuwa na upungufu wa chanjo ya 'yellow fever' kwenye kituo cha Mnazi Mmoja, ambapo watu wengi wamezoea kuipata kabla ya Safari. Wakati tukitatua changamoto hii, tunawaelekeza wananchi wote wanaohitaji chanjo hii Kwa ajili ya Safari waende Bandarini sea port wataipata. Samahani Kwa kuchelewa kutoa maelezo haya. Niko jimboni, tulikuwa Na ugeni wa Mhe. Rais. Kuhusu chanjo nyingine, sijapata taarifa za upungufu. Naomba niendelee kufuatilia, nitawapa taarifa sahihi Wakati muafaka. #MzeeWaField #BaloziWaWanawake #Mtemi #Dr_Kigwangalla #Hapakazitu


Hii Post ya Agosti 2, 2016... Naibu Waziri kweli alikua hajapata muda kuongea na watendaji wake ama viongozi wenzake? Hajapata mda kusoma majalada?


Huyu jamii ni mzigo tu lakini anapenda kujitutumua ,nimeamini uongozi ni kipaji,Kigwangalla ni daktari ,naibu wizara ya afya kwa hiyo yupo kwenye uongozi wa fani aliyoisomea ,Ukifuatilia kati taarifa anazo toa Ummy - ziko well planned kuliko huyu naibu ,angekuwa makini kila anapozungumza watu wangempenda lakini statements zake majanga ,Well done Ummy ! I admire your perfomance
 
Anafanya Kazi fore plan kwa dokta Mwaka kama brand manager.
...ukiangalia TV haipiti mwezi utamuona anaitaja foreplan
 
Anangaika na Dr. Mwaka badala ya kuangaika na matatizo ya wizara yake. Poor Kigwangala
 
Huyu jamii ni mzigo tu lakini anapenda kujitutumua ,nimeamini uongozi ni kipaji,Kigwangalla ni daktari ,naibu wizara ya afya kwa hiyo yupo kwenye uongozi wa fani aliyoisomea ,Ukifuatilia kati taarifa anazo toa Ummy - ziko well planned kuliko huyu naibu ,angekuwa makini kila anapozungumza watu wangempenda lakini statements zake majanga ,Well done Ummy ! I admire your perfomance
 
Huyu jamii ni mzigo tu lakini anapenda kujitutumua ,nimeamini uongozi ni kipaji,Kigwangalla ni daktari ,naibu wizara ya afya kwa hiyo yupo kwenye uongozi wa fani aliyoisomea ,Ukifuatilia kati taarifa anazo toa Ummy - ziko well planned kuliko huyu naibu ,angekuwa makini kila anapozungumza watu wangempenda lakini statements zake majanga ,Well done Ummy ! I admire your perfomance
Unapozungumzia Afya sio Daktari pekee. Chanjo ipo Upande wa Afya kinga. Na madaktari wapo upande wa Afya Tiba. Hivyo ni dhahiri mambo yahusuyo Kinga yanaweza leta taabu kidogo
 
Unapozungumzia Afya sio Daktari pekee. Chanjo ipo Upande wa Afya kinga. Na madaktari wapo upande wa Afya Tiba. Hivyo ni dhahiri mambo yahusuyo Kinga yanaweza leta taabu kidogo
Uko sahihi. Kuwa daktari si kwamba wizara nzima yeye ni mjuaji wa kila kitu na hahitaji vikao, ushauri na ushirikishaji. Anapaswa ajue uongozi ni dhamana na ushirikishaji si one man show... anamuiga JPM bila kujua mwenzake ana mbinu na vyanzo vingi vya taarifa na ana vyombo vingi vinavyomsaidia
 
....halisi..... nice to see you back with serious inputs on the performance of this minister ( i recall your serious inputs wakati wa kushughulika na issue ya zile gati za bandari na kampuni za kichina...issue iliyoondoka na kina Athumani Mfutakamba na yule waziri wake)...


....ni kweli huyu waziri kila kikiwa na issue ya afya anakimbilia mitandaoni kutoa matamko yasiyofanyiwa utafiti....wakati yeye ni waziri na ana watendaji chini yake anaoweza kupata taarifa za kina kwao kabla ya kukimbilia mitandaoni....

...haya matamko ya chanzo ni moja tu ya matamko yake....lakini nimeona pia tamko lake akiwataka ma DMOs kuhakikisha hospital zina theatres....ametoa matamko kwa kuangalia mapato ya sehemu husika...lakini hajagusia uwepo wa surgeons kwenye hizo surgical theatres(hili ndio tatizo sugu)....yaani ni sawa na zile kelele za kuwepo madarasa bila kujali kama kuna waalimu....

....that said...kigwa ni aina ya mawaziri wanaofikiri kujitangaza sana mitandaoni kutawaongezea credibility kwa mteuzi wao....kwake yeye uwepo wa chanjo ni secondary....wakati kuonekana ametoa tamko ndio primary....so sad....
 
Mimi toka siku ile Kigwangala alipoiba speecha ya Obama karibu yoote
na kuitumia kutangaza nia yake ya kugombea urais nilishamtoa katika kundi la watu serious....

Sishangazwi na lolote lile...nashangazwa na watu wa Magufuli kumuona huyu nae anafaa...

kuna mengi yatakuja yakushangaza...
 
....halisi..... nice to see you back with serious inputs on the performance of this minister ( i recall your serious inputs wakati wa kushughulika na issue ya zile gati za bandari na kampuni za kichina...issue iliyoondoka na kina Athumani Mfutakamba na yule waziri wake)...


....ni kweli huyu waziri kila kikiwa na issue ya afya anakimbilia mitandaoni kutoa matamko yasiyofanyiwa utafiti....wakati yeye ni waziri na ana watendaji chini yake anaoweza kupata taarifa za kina kwao kabla ya kukimbilia mitandaoni....

...haya matamko ya chanzo ni moja tu ya matamko yake....lakini nimeona pia tamko lake akiwataka ma DMOs kuhakikisha hospital zina theatres....ametoa matamko kwa kuangalia mapato ya sehemu husika...lakini hajagusia uwepo wa surgeons kwenye hizo surgical theatres(hili ndio tatizo sugu)....yaani ni sawa na zile kelele za kuwepo madarasa bila kujali kama kuna waalimu....

....that said...kigwa ni aina ya mawaziri wanaofikiri kujitangaza sana mitandaoni kutawaongezea credibility kwa mteuzi wao....kwake yeye uwepo wa chanjo ni secondary....wakati kuonekana ametoa tamko ndio primary....so sad....
Surgery haihitaji Surgeon pekee bali anatakiwa na Anaesthetist awepo vile vile. Kuna utaratibu gani kuhakikisha wataalam hawa wapo wa kutosha kabla hatujatoa matamko ya aina hii?
 
Surgery haihitaji Surgeon pekee bali anatakiwa na Anaesthetist awepo vile vile. Kuna utaratibu gani kuhakikisha wataalam hawa wapo wa kutosha kabla hatujatoa matamko ya aina hii?
....hilo ndio swali la kumuuliza huyu waziri wa matamko....hamna logic ya kuhangaika kuwa na theatres wakati wa kuzitumia hawapo...inasikitisha waziri ambae ni MD hajui kipi kinaanza.....yeye kinachoanza ni matamko....
 
Anangaika na Dr. Mwaka badala ya kuangaika na matatizo ya wizara yake. Poor Kigwangala
Uko sahihi kuna is hu za kushughulika nazo nyingi wizarani kwako anahangaika Na mjasiriamali mwaka.hatuoni akitoa elimu juu ya malaria .miongozo .kwani net si suluhisho la kuzuia mbu
 
Uko sahihi kuna is hu za kushughulika nazo nyingi wizarani kwako anahangaika Na mjasiriamali mwaka.hatuoni akitoa elimu juu ya malaria .miongozo .kwani net si suluhisho la kuzuia mbu
Sasa kama Maafisa Afya mazingira Hawapewi kipaumbele unategemea nini? Hapo ni mwendo wa net tena ukute za wafadhiri. Na pesa kuelekezwa kwenye kununua madawa ya.malaria. wanajari Tiba kuliko kinga kuisoma namba kupo tu.
 
Back
Top Bottom